Evidence is now appearing indicating that the Iran Presidential Helicopter crash was an assassination

Evidence is now appearing indicating that the Iran Presidential Helicopter crash was an assassination

Nadharia na dhana zimekua nyingi mno.
Ilhali Israel wao wamekaa kimyaa hata kutikisika hawajatikisika.
Tusibiri uchunguzi ukamilike.
Ila kama ikabainika Israel/USA wametia mkono aisee,USA aondoe kambi zake middle east na Israel aweke ADS kila pembe ya Israel.
Maana kama kuuawa kwa askari tu ubalozi wa Syria karusha makombora yale sijui kifo cha kiongozi atafanya nini.
Mpaka idhibitike, until then its too early kushauri chochote. Huku jf kuna online experts wa mchongo wengi mno, kama mtoa post.
What will happen after hiyo report itajulikana baadae
 
mbona oktoba7 allah akbar zilikuwa nyingi ghafla zikapotea allah alishindwa?
Ona unavyoropoka!
Nakuuliza maswali matatu tu,
1)Toka oktoba 7 Israel imeweza kutuliza ghasia ndani ya mipaka?
2)Je IDF wameweza kuwateketeza Hamas?
3)Je mateka wameweza kugombolewa?

Naomba majibu tafadhali.
 
Jinsi wanavyoendelea kupambana na Israeli ndivyo wanavyoendelea kupukutika. Kama enzi zile za mfalme Ahasuero kwenye Biblia kitabu cha Ester. Haman alipotaka kuuwa wayahudi, akaishia kunyongwe yeye. Mfalme Ahasuero alikuwa ni wa Persia ambaye leo ndio Iran🤔. Soma Biblia kitabu cha Esta Sura ya 3
Brainwashed usiyejielewa wewe
 
wao akifa muisrael 1 na wao 100 ni ushindi
Hiyo vita nani mission yake ilikamilika kati ya Lebanon na Israel!?
😂😂Mbona mnaropoka sana we na jamaa yako!?
Ushindi wa vita ni mission accomplishment au number of casualties!?
Kama una ndugu mjeda nenda kamuulize huwenda huna akili ya kuchanganua.
Kiufupi Israel yenye maelfu ya wanajeshi ilizuiliwa na takriban 160+ local Lebanese fighters pale Bint jubeir.
 
Lets wait and see what iranian investigationa akiwa na russia expert wata conclude kwa weather satellite sio hizo tu Russia na hata hao wairan wanazo tuone wataconclude ni nini na kama itagundulika ni assasination definately its going to be a war it doesnt matter ni mmarekani au ni muisrael its war or unless iwe president for president you kill ours we kill yours ndio iwe equalizer la sivyo middle east will burn so as the israel na usa bases na mapuppet wao.
Assassination sio lazima iwe imetola nje inaweza kupangwa ndani ya nchi na vyombo / watu wa ndani.
 
Lets wait and see what iranian investigationa akiwa na russia expert wata conclude kwa weather satellite sio hizo tu Russia na hata hao wairan wanazo tuone wataconclude ni nini na kama itagundulika ni assasination definately its going to be a war it doesnt matter ni mmarekani au ni muisrael its war or unless iwe president for president you kill ours we kill yours ndio iwe equalizer la sivyo middle east will burn so as the israel na usa bases na mapuppet wao.
Unaota
 
Ona unavyoropoka!
Nakuuliza maswali matatu tu,
1)Toka oktoba 7 Israel imeweza kutuliza ghasia ndani ya mipaka?
2)Je IDF wameweza kuwateketeza Hamas?
3)Je mateka wameweza kugombolewa?

Naomba majibu tafadhali.
Povu jiingi hasira za kuuliwa gaidi mkuu.
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Kasome Biblia yako vizuri,you are spiritually blind.Israel unayozungumzia wewe sio hii ya Natanyahu,hii ya Natanyahu inaongozwa na kinacuoitwa Sinagogi la Shetani.Soma Ufunuo 2:9 (Ufunuo 2:9 Najua taabu zako; najua pia umaskini wako, ingawaje kwa kweli wewe ni tajiri; najua kashfa walizokufanyia wale wanaojiita Wayahudi lakini si Wayahudi wa kweli, bali ni kundi lake Shetani. | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.) na 3:9(Ufunuo 3:9 Sikiliza! Nitawapeleka kwako watu wa kundi lake Shetani, watu ambao hujisema kuwa ni Wayahudi, kumbe sivyo, ila wanasema uongo. Naam, nitawapeleka kwako na kuwafanya wapige magoti mbele yako, wapate k | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.)

Halafu niwakumbushe hasa ninyi mnaojiita Evangelicals,hii Israel mnayoipigia chapuo, sio ile Israel Mungu anayoikusudia.Hii ya sasa imeundwa na akina Rothschild through the Balfour Declaration(Balfour Declaration - Wikipedia)
kwa kujiingiza kwa hila katika mpango wa Mungu wa kuwarudisha wana wa Israel katika Taifa lao.Naomba mkumbuke kwamba kila wakati Israel Mungu alipokuwa anawarudisha Nabii ndiye aliyekuwa anahusika.Sasa Israel kurudi 1948,Nabii yupi alihusika?Jibu ni hakuna,Shetani ameteka mpango wa Mungu,lakini bado Mungu hajawarudisha Wairael,kwa hiyo tunasubiri mpango huo wa Mungu.Yote yanayoendelea sasa kwenye inayoitwa Israel ni utapeli, ikiwa ni pamoja na kujenga hekalu lao juu ya the Dome of the Rock:msikiti mkubwa kabisa duniani kote, na kumsimika Mpinga Kristo humo.

Labda nikupe homework mkuu.Hivi waliokuwa wanaoitwa Waebrania leo wako wapi?Kumbuka hata Bwana Yesu mwenyewe ni Mwebrania.
Bonge la mjinga uthibitisho wako haueleweki weka mwingine unaofafanua Israeli halisi
 
Ona unavyoropoka!
Nakuuliza maswali matatu tu,
1)Toka oktoba 7 Israel imeweza kutuliza ghasia ndani ya mipaka?
2)Je IDF wameweza kuwateketeza Hamas?
3)Je mateka wameweza kugombolewa?

Naomba majibu tafadhali.
magaidi wapo nchi zote jirani na Israel na dunia nzima hata wewe hapo ukipewa jambia unaenda ila kwa Israel bado ni kama sio stiff fighting jua hilo.Wavaa kobazi mmevuliwa nguo acha povu liwatoke.nawashauri na nyie mumvizie NETA[emoji1787].
 
Back
Top Bottom