Evidence is now appearing indicating that the Iran Presidential Helicopter crash was an assassination

Evidence is now appearing indicating that the Iran Presidential Helicopter crash was an assassination

BIBLIA?

Really?

Yaani religious extremists are a very big problem in this world,and you sir,you are a problem!
Eliminate me if you do not want me to indoctrinate others,but as long as I am alive I will continue I will continue to indoctrinate others because I know it is the right thing to do.

But exactly why do you hate the Bible,be specific please.
 
Lets wait and see what iranian investigationa akiwa na russia expert wata conclude kwa weather satellite sio hizo tu Russia na hata hao wairan wanazo tuone wataconclude ni nini na kama itagundulika ni assasination definately its going to be a war it doesnt matter ni mmarekani au ni muisrael its war or unless iwe president for president you kill ours we kill yours ndio iwe equalizer la sivyo middle east will burn so as the israel na usa bases na mapuppet wao.

Kasome Biblia yako vizuri,you are spiritually blind.Israel unayozungumzia wewe sio hii ya Natanyahu,hii ya Natanyahu inaongozwa na kinacuoitwa Sinagogi la Shetani.Soma Ufunuo 2:9 (Ufunuo 2:9 Najua taabu zako; najua pia umaskini wako, ingawaje kwa kweli wewe ni tajiri; najua kashfa walizokufanyia wale wanaojiita Wayahudi lakini si Wayahudi wa kweli, bali ni kundi lake Shetani. | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.) na 3:9(Ufunuo 3:9 Sikiliza! Nitawapeleka kwako watu wa kundi lake Shetani, watu ambao hujisema kuwa ni Wayahudi, kumbe sivyo, ila wanasema uongo. Naam, nitawapeleka kwako na kuwafanya wapige magoti mbele yako, wapate k | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.)

Halafu niwakumbushe hasa ninyi mnaojiita Evangelicals,hii Israel mnayoipigia chapuo, sio ile Israel Mungu anayoikusudia.Hii ya sasa imeundwa na akina Rothschild through the Balfour Declaration(Balfour Declaration - Wikipedia)
kwa kujiingiza kwa hila katika mpango wa Mungu wa kuwarudisha wana wa Israel katika Taifa lao.Naomba mkumbuke kwamba kila wakati Israel Mungu alipokuwa anawarudisha Nabii ndiye aliyekuwa anahusika.Sasa Israel kurudi 1948,Nabii yupi alihusika?Jibu ni hakuna,Shetani ameteka mpango wa Mungu,lakini bado Mungu hajawarudisha Wairael,kwa hiyo tunasubiri mpango huo wa Mungu.Yote yanayoendelea sasa kwenye inayoitwa Israel ni utapeli, ikiwa ni pamoja na kujenga hekalu lao juu ya the Dome of the Rock:msikiti mkubwa kabisa duniani kote, na kumsimika Mpinga Kristo humo.

Labda nikupe homework mkuu.Hivi waliokuwa wanaoitwa Waebrania leo wako wapi?Kumbuka hata Bwana Yesu mwenyewe ni Mwebrania.
Hatuipiganii israel tunachokataa ni aridhi takatifu ya jerusalem kukaliwa na magaidi
 
Kasome Biblia yako vizuri,you are spiritually blind.Israel unayozungumzia wewe sio hii ya Natanyahu,hii ya Natanyahu inaongozwa na kinacuoitwa Sinagogi la Shetani.Soma Ufunuo 2:9 (Ufunuo 2:9 Najua taabu zako; najua pia umaskini wako, ingawaje kwa kweli wewe ni tajiri; najua kashfa walizokufanyia wale wanaojiita Wayahudi lakini si Wayahudi wa kweli, bali ni kundi lake Shetani. | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.) na 3:9(Ufunuo 3:9 Sikiliza! Nitawapeleka kwako watu wa kundi lake Shetani, watu ambao hujisema kuwa ni Wayahudi, kumbe sivyo, ila wanasema uongo. Naam, nitawapeleka kwako na kuwafanya wapige magoti mbele yako, wapate k | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.)

Halafu niwakumbushe hasa ninyi mnaojiita Evangelicals,hii Israel mnayoipigia chapuo, sio ile Israel Mungu anayoikusudia.Hii ya sasa imeundwa na akina Rothschild through the Balfour Declaration(Balfour Declaration - Wikipedia)
kwa kujiingiza kwa hila katika mpango wa Mungu wa kuwarudisha wana wa Israel katika Taifa lao.Naomba mkumbuke kwamba kila wakati Israel Mungu alipokuwa anawarudisha Nabii ndiye aliyekuwa anahusika.Sasa Israel kurudi 1948,Nabii yupi alihusika?Jibu ni hakuna,Shetani ameteka mpango wa Mungu,lakini bado Mungu hajawarudisha Wairael,kwa hiyo tunasubiri mpango huo wa Mungu.Yote yanayoendelea sasa kwenye inayoitwa Israel ni utapeli, ikiwa ni pamoja na kujenga hekalu lao juu ya the Dome of the Rock:msikiti mkubwa kabisa duniani kote, na kumsimika Mpinga Kristo humo.

Labda nikupe homework mkuu.Hivi waliokuwa wanaoitwa Waebrania leo wako wapi?Kumbuka hata Bwana Yesu mwenyewe ni Mwebrania.
Mkuu Huwa nakufatilia sana thread zako, Huwa unatoa ujumbe mzuri sana Ila watu wengi wanashindwa kukufuatilia sababu ya lugha ya kingereza, hivyo ningependa tu kukushauri uwe unatumia lugha ya kiswahili sababu itawasaidia watu wengi ambao hawajui kuhusu mifumo feki ya hii dunia inavyoendelea.
 
Hatuipiganii israel tunachokataa ni aridhi takatifu ya jerusalem kukaliwa na magaidi
Mpango wa Mungu unaujua kuhusu Jerusalem na Israel?Kasome Biblia yako usikurupuke.Always Israel ilipokaliwa na Wageni ilikuwa adhabu kwao,kwa hiyo wewe huwezi kuzuia mpango wa Mungu. Yeye mwenyewe ndiye anayewatawanya na Yeye mwenyewe ndiye anayewakusanya.Ila let me be categorical, ukusanyaji wa 1948 sio wa Mungu ni wa Ibilisi kwa kuwa Mungu hajahusika kwa njia yeyote,Shetani ndiye aliyehusika.

Fuata link ifuatayo uone how it was done.

 
Upango wa Mungu unaijua kuhusu Jerusalem na Israel?Kasome Biblia yako usikurupuke.Always Israel ilipokaliwa na Wageni ilikuwa adhabu kwao,kwa hiyo wewe huwezi kuzuia mpango wa Mungu. Yeye mwenyewe ndiye anayewatawanya na Yeye ndiye anayewakusanya.Ila let me categorical ukusanyaji wa 1948 sio wake ni wa Ibilisi.
Hayo yako wewe
 
Lets wait and see what iranian investigationa akiwa na russia expert wata conclude kwa weather satellite sio hizo tu Russia na hata hao wairan wanazo tuone wataconclude ni nini na kama itagundulika ni assasination definately its going to be a war it doesnt matter ni mmarekani au ni muisrael its war or unless iwe president for president you kill ours we kill yours ndio iwe equalizer la sivyo middle east will burn so as the israel na usa bases na mapuppet wao.
Inaweza kuwa ni assassination kweli lakino waliofanya wakawa wao wenyewe wamezungukana.
 
Taarifa za ndani zinaleta uvumi kuwa huwenda "Ayatollah" kahusika.
Ila sio Iran.
Khomenei na Ebrahim hawakuwa vizuri
Ni Khamenei na siyo ulivyomuita.Khomein ni mtangulizi wake aliyengoza mapinduzi ya mwaka 1979
 
Hayo yako wewe
Hayo sio yangu,hata wewe unaweza kujua.Familia ya Rothschild,familia ya kishetani kabisa, imekiri kupitia kwa Walter Rothschild, kuwa familia yao ndio iliyohusika na kuundwa kwa Taifa la Israel mwaka 1948.

Hata hivyo tunapojifunza Biblia tunaona kwamba siku zote Mungu alipowakusanya Israel alitumia Manabii wake.Kwa hiyo ni wazi kuwa kwa kuwa hakuna Nabii aliyetumia katika ukusanyaji wa 1948,ukusanyaji huo sio wa Mungu, ila Shetani ameteka mpango wa Mungu.Mungu bado hajawarudisha Israel.Kihacho endelea Israel kwa sasa kinaonyesha wazi wanaoikalia Israel sio watu wa Mungu,ila Sinagogi la Shetani, kama Bwana Yesu mwenyewe alivyowaita katika Ufunuo 2:9 na 3:9.Huwezi kuwa mwana wa Mungu ukawa muovu kama Israel ilivyo leo mkuu,nope.



Fuata link ifuatayo uone kilichotokea 1948.

 
Mkuu Huwa nakufatilia sana thread zako, Huwa unatoa ujumbe mzuri sana Ila watu wengi wanashindwa kukufuatilia sababu ya lugha ya kingereza, hivyo ningependa tu kukushauri uwe unatumia lugha ya kiswahili sababu itawasaidia watu wengi ambao hawajui kuhusu mifumo feki ya hii dunia inavyoendelea.
Nashukuru sana kwa ushauri wako mkuu,nitajaribu,ingawa na mimi kuandika mada ndefu kwa Kiswahili na wakati mwingine technical, huwa napata shida kutafuta the right words.I find it easier to write in English than Swahili.Ila thakyou for the idea.
 
Hayo sio yangu,hata wewe unaweza kujua.Familia ya Rothschild,familia ya kishetani kabisa, imekiri kupitia kwa Walter Rothschild, kuwa familia yao ndio iliyohusika na kuundwa kwa Taifa la Israel mwaka 1948.

Hata hivyo tunapojifunza Biblia tunaona kwamba siku zote Mungu alipowakusanya Israel alitumia Manabii wake.Kwa hiyo ni wazi kuwa kwa kuwa hakuna Nabii aliyetumia katika ukusanyaji wa 1948,ukusanyaji huo sio wa Mungu, ila Shetani ameteka mpango wa Mungu.Mungu bado hajawarudisha Israel.Kihacho endelea Israel kwa sasa kinaonyesha wazi wanaoikalia Israel sio watu wa Mungu,ila Sinagogi la Shetani, kama Bwana Yesu mwenyewe alivyowaita katika Ufunuo 2:9 na 3:9.Huwezi kuwa mwana wa Mungu ukawa muovu kama Israel ilivyo leo mkuu,nope.



Fuata link ifuatayo uone kilichotokea 1948.

Vyovyote vile jerusalem haiwezi kukaliwa na wafiliati never
 
Back
Top Bottom