Evidence is now appearing indicating that the Iran Presidential Helicopter crash was an assassination

Evidence is now appearing indicating that the Iran Presidential Helicopter crash was an assassination

Ni watu wawilit tofauti
Sijasema kama ni mtu mmoja bali nimesema kuwa jina lina maana moja.
Najua kama kuna Rohullah Khameini na Ali Khomeini wa sasa hivi.
Ila hilo jina Khameini na Khomeini zina maana moja.
Nimezungumzia maana ya jina sio watu.
 
Lets wait and see what iranian investigationa akiwa na russia expert wata conclude kwa weather satellite sio hizo tu Russia na hata hao wairan wanazo tuone wataconclude ni nini na kama itagundulika ni assasination definately its going to be a war it doesnt matter ni mmarekani au ni muisrael its war or unless iwe president for president you kill ours we kill yours ndio iwe equalizer la sivyo middle east will burn so as the israel na usa bases na mapuppet wao.
Mrusi haaminiki bro....
 
Kama ni hivyo basi Israel ni hatari ya kuogopa.
Israel hain haja na wanasiasa wa Iran. Huyo kapata ajalai ya kawaida tu.

Kwa Iran, Isareli inalenga kuwamaliza wanasayansi na mainjia tu. Sana sana labda na makamanda wa jeshi, lakini siyo hao wanasiasa wanaokuja na kuondoka.
 
Mpango wa Mungu unaujua kuhusu Jerusalem na Israel?Kasome Biblia yako usikurupuke.Always Israel ilipokaliwa na Wageni ilikuwa adhabu kwao,kwa hiyo wewe huwezi kuzuia mpango wa Mungu. Yeye mwenyewe ndiye anayewatawanya na Yeye mwenyewe ndiye anayewakusanya.Ila let me be categorical, ukusanyaji wa 1948 sio wa Mungu ni wa Ibilisi kwa kuwa Mungu hajahusika kwa njia yeyote,Shetani ndiye aliyehusika.

Fuata link ifuatayo uone how it was done.

Yaan kwamba waisrael watakusanywa tena baada ya 1948 kwa msingi upi wa kibiblia? Nyakati za mataifa zinakaribia kwisha we umebakia na conspiracy theory zako😂🤣
 
Si mnasema Kingereza sio lazima?

Evidence Is Now emerging Indicating the Iran Presidential Helicopter Crash WAS an Assassination​


MAY 20, 2024
Evidence Is Now Appearing Indicating the Iran Presidential Helicopter Crash WAS an Assassination


The crash of the Iran Presidential Helicopter is starting to appear to be a well-planned and deliberate Assassination. So thorough does the Conspiracy appear, and now the cover-up, that Weather Satellite imagery for that region on the day of the crash - is DELETED!
We begin with the basics. The President of Iran took a helicopter trip to the border with Azerbaijan, to have a brief meeting with the President of Azerbaijan.
Here is an image of the two Presidents meeting:
Presidents-of-Iran-Azerbaijan-Meeting-before-helo-crash.png

Upon leaving this meeting, the President of Iran, along with his Foreign Minister and their colleagues, boarded their helicopter and took off for home. They never made it.
Strange coincidence that the Prime Minister of Slavakia, Robert Fico, also met with the President of Azerbaijan, days before Fico was shot in an assassination attempt.Just a coincidence, right ? ? ? But, I digress.

Back to the Iran Presidential death.
The helicopter went down in the mountains of norther Iran, without even a MAYDAY call or EMERGENCY Transponder signal being activated!
Wreckage-Iran-Presidential-Helicopter-Found-2.png

Moreover, helicopters that carry important people, are equipped with homing beacons for just such a situation. Those beacons activate on a crash. The homing beacon for the Iranian Presidential Helicopter did not.
So whatever happened to this helicopter, happened either so fast or with such vast damage that there could be no MAYDAY call, no EMERGENCY TRANSPONDER SIGNAL, and the Homing Beacon was either disabled or destroyed. An explosion, perhaps?

The area in which the helicopter went down is very remote, with few roads between the treacherous mountain terrain.
Among the initial reporting about the loss of the helicopter, was information that "dense fog" existed throughout the area. That, along with heavy rain, was making it hard to even find the downed helicopter.
Since weather was implicated in this disaster, some journalists started doing research into the weather conditions in that area in the time leading up to the disappearance of the helicopter. Suddenly, they hit a roadblock. The weather satellite imagery is gone.
We now move to the Weather Satellite Imagery.

CIRA is the Cooperative Institute for Research in the Atmosphere, whose website is out of Colorado State University in Fort Collins, CO.
From their website (HERE) "The Vision" of this endeavor is:
To conduct interdisciplinary research in the atmospheric sciences by entraining skills beyond the meteorological disciplines, exploiting advances in engineering and computer science, facilitating transitional activity between pure and applied research, leveraging both national and international resources and partnerships, and assisting NOAA, Colorado State University, the State of Colorado, and the Nation through the application of our research to areas of societal benefit.
The CIRA website also states their Mission:
To serve as a nexus for multi-disciplinary cooperation between NOAA research scientists and Colorado State University research staff, faculty, and students, aligning NOAA-identified research theme areas with long-standing academic strengths of the University.

As you might imagine, a University working directly with the National Oceanographic and Atmospheric Administration (NOAA) has all the weather related resources one can find in the world, at its disposal.
CIRA is a source often used by Journalists to do "deep dive" research into weather events. Their site offers a wide array of satellite imagery for all sorts of weather conditions, including Fog.
So imagine everyone's surprise when, while attempting to view the satellite imagery and readings for weather conditions in Iran at the time of the Presidential Helicopter crash, Journalists found ALL DATA FROM MAY 19 (the day of the crash) HAS BEEN DELETED.
Here's a brief video showing the weather imagery has been DELETED:

Why has the satellite imagery for May 19 been deleted? Who deleted it? Who ORDERED it deleted? Why?
It is a well known fact that weather radar often picks up "anomalies" like swarms of locusts, debris from tornadoes and high-powered bursts of microwave energy from NEXRAD-type radar towers, even what are commonly referred to as CHEM-TRAILS, which are aerosols being released from aircraft.

Could it be that the "fog" did not occur naturally? Could it be that the CIRA Imagery might have (or did) pick that up?

A US Air Force C-17 shown in the image below, was in the air at the same time as the Iran Presidential Helicopter.It landed at Baku, Azerbaijan a while after that Presidential Helicopter went down. No American military cargo aircraft have landed in Baku for over a year, yet one just happened to be in the air and the precise time the Iran Presidential Helicopter went down? HMMMMMM. Here is the flight path of that C-17 below.Could that C-17 have been equipped with a microwave weapon? If it was fired from the C-17 at great distance toward the Presidential helicopter, could it have destroyed all the helicopters electronic control systems, causing it to plummet to the earth?Could weather radar have picked-up such a thing, thereby requiring the imagery data to be DELETED?

Finally, social media comes into play.An account called "Israel War Room" on the Social Media Platform "X" (formerly Twitter) posted a message that was blank except for a picture of a little helicopter below.
Look at the TIME STAMP on their posting . How would they have even known the Helicopter went down, to boast about it, when almost no one else in the whole world knew at that hour?Is it possible they knew because the Israelis did it?None of us know right now. The search for answers is taking place inside Iran.They have qualified experts who can analyze the helicopter debris for traces of explosives, shrapnel, and read its flight data recorder.They can review radar recordings, and radio communications tapes.Sooner or later, it will be clear to everyone whether this was an accident, or an outright assassination.In the meantime however,evidence show that Israel,the US or both are responsible.

MY TAKE:
Right now, my bet is that the assassination was carried out by Israel, or the US, or both,maybe even with help from Azerbaijan. The weather satellite imagery being deleted indicates to me a potential cover-up. Wouldn't it be something if a cover-up ended up exposing a crime?
Kwanini auwawe? Alikuwa na kitu gani kinachowatitishia amani maswahibu wake? Ukichukulia amekuwa rais ni juzi tu hapa na ameikuta Iran tayarri imeshajitambua. Kuna faida gani wanapata hao mnaowadhania wauwaj wake
 
Lets wait and see what iranian investigationa akiwa na russia expert wata conclude kwa weather satellite sio hizo tu Russia na hata hao wairan wanazo tuone wataconclude ni nini na kama itagundulika ni assasination definately its going to be a war it doesnt matter ni mmarekani au ni muisrael its war or unless iwe president for president you kill ours we kill yours ndio iwe equalizer la sivyo middle east will burn so as the israel na usa bases na mapuppet wao.
Ukiona rais wako anafanyiwa assassination na ikafanikiwa hilo Taifa usilisogelee
 
Kwanini auwawe? Alikuwa na kitu gani kinachowatitishia amani maswahibu wake? Ukichukulia amekuwa rais ni juzi tu hapa na ameikuta Iran tayarri imeshajitambua. Kuna faida gani wanapata hao mnaowadhania wauwaj wake
Wewe sijui ni kiumbe cha kutoka wapi.I reserve my comments.
 
Kwanini Iran inatumia chopa za mahasimu wake? Why asitumie za warusi
Hiyo chopper sijui kama ni ya Mrusi au the West mkuu,ila yes I concur with you,ingekuwa busara wasitumie vifaa vya wahasimu wao.
 
Lets wait and see what iranian investigationa akiwa na russia expert wata conclude kwa weather satellite sio hizo tu Russia na hata hao wairan wanazo tuone wataconclude ni nini na kama itagundulika ni assasination definately its going to be a war it doesnt matter ni mmarekani au ni muisrael its war or unless iwe president for president you kill ours we kill yours ndio iwe equalizer la sivyo middle east will burn so as the israel na usa bases na mapuppet wao.
Hiyo vita wewe ndiye utakayeenda kupigana?
 
Pale ambapo unakuja na online assumption zisizo na maana. Subiris vyombo vya uchunguzi kutoka iran wafanye kazi yao, wao ndio watatoa results
Huyu jamaa hata mwanzoni ali potosha kwamba Israel imeamua kuingia vitani na Iran baada ya shambulizi la makombora kumbe ni fake news
 
Katika siku sitosahau ni Maghayo na wenzake kama 10 kutoka Mossad walipofanya mission moja ya hatari sana pale Dubai An Al Bustan Rotana Hotel wakiwa na fake passports, al-Mabhouh ambae alikuwa kiongozi wa Hamas alimalizwa kijasusi kwenye chumba cha hotel. Ilikuwa 2010 Jan 19.

Maghayo ye alikuwa ndiye kidon aliemmaliza yule mzee.
 
Iran leo nimesikia wakisema kama Israel kahusikia basi wajue safari hi watajuta kugusa Iran.

Wanasema pia kama US kahusika wanalo jibu lake pia.

Huoni Israel wamenza kukanusha hawakuhusika.

Mrusi anasema USA ndiye aliye husika na uwaji huo.

Tusubiri mchezo hu aliye chezea America safari hi atajuta nadhani hapo Middle East America itabidi akimbie.
Hizo kauli uchwara hazimtishi beberu. Wao wajikite kwenye kuuhifadhi mwili wa marehemu waachane na jews
 
Back
Top Bottom