Evidence is now appearing indicating that the Iran Presidential Helicopter crash was an assassination

Evidence is now appearing indicating that the Iran Presidential Helicopter crash was an assassination

Kama hafai kwanini ameshindwa kuiteketeza Hizbollah na Hamas?
Viongozi wa Hamas kina Ismali Haniyeh wako Gaza kwanini ameshindwa kuwa assassinate!?
Use your common sense your embiciles.
Kwa sababu wanatumia raia kama ngao.Wangekuwa wanapigana wenyewe kama wenyewe bila involvement ya raia nafikiri hiyo ndo ingekuwa vita fupi zaidi kuwahi kuwepo.Dakika tatu!
 
Lets wait and see what iranian investigationa akiwa na russia expert wata conclude kwa weather satellite sio hizo tu Russia na hata hao wairan wanazo tuone wataconclude ni nini na kama itagundulika ni assasination definately its going to be a war it doesnt matter ni mmarekani au ni muisrael its war or unless iwe president for president you kill ours we kill yours ndio iwe equalizer la sivyo middle east will burn so as the israel na usa bases na mapuppet wao.
😂😂😂
 
Lets wait and see what iranian investigationa akiwa na russia expert wata conclude kwa weather satellite sio hizo tu Russia na hata hao wairan wanazo tuone wataconclude ni nini na kama itagundulika ni assasination definately its going to be a war it doesnt matter ni mmarekani au ni muisrael its war or unless iwe president for president you kill ours we kill yours ndio iwe equalizer la sivyo middle east will burn so as the israel na usa bases na mapuppet wao.
Iran na Russia Wana Nini,zaidi ya masaa 16 hawakujua helicopter imeanguka wapi Hadi uturuki walipowapa drone zao ndio wakajua ndani tu ya dakika
 
Netanyahu alisema kuwa kila aliyehusika ni maiti inayotembea
Huyo Raisi wa Iran aliyekufa ndie aliamuru Jeshi la Iran lishambulie Israel Kwa makombora

Amekuwa maiti inayotembea kwenye Helicopter na Bado wengine

Muisrael akipigwa Huwa anaehuka anakuwa mwehu kivita atawabamiza hasa tusubiri wengine ngazi za juu Iran kuuawa na Israel
 
Kwa sababu wanatumia raia kama ngao.Wangekuwa wanapigana wenyewe kama wenyewe bila involvement ya raia nafikiri hiyo ndo ingekuwa vita fupi zaidi kuwahi kuwepo.Dakika tatu!
Hayo madai unayosema wewe IDF waliambiwa walete ushahidi walikosa.
Maeneo yote wanayoshambuliwa kwa kuvizia sio maeneo ya raia.
Hao Hamas waliodaiwa kujificha nyuma ya raia mbona kulipuliwa kote hao raia haikupatikana hata silaha ya Hamas!?
Bali maiti za wanawake na watoto?
Au Hamas wana miujiza wakiuawa wanageuka wanawake na watoto!?
Bado ni madai ya kifala haya ambayo IDF walishindwa kuyathibitisha.
 
Netanyahu alisema kuwa kila aliyehusika ni maiti inayotembea
Jibu hayo maswali hapo uache poyoyo.
Hivi ndivyo ulivyokua unajibu shuleni katika mitihani!?
Unaulizwa mlenda unajibu mchuzi!?
Leta majibu ya hayo maswali nasubiri hapa.
 
magaidi wapo nchi zote jirani na Israel na dunia nzima hata wewe hapo ukipewa jambia unaenda ila kwa Israel bado ni kama sio stiff fighting jua hilo.Wavaa kobazi mmevuliwa nguo acha povu liwatoke.nawashauri na nyie mumvizie NETA[emoji1787].
😂😂😂😂😂Kwisha habari yako.
HUNA JIBU UKIWEZA KUJIBU HAYO MASWALI NAONDOKA JF NA NAKUPA OFA YA KURITADI NIMUABUDU YESU.
Nakuongezea maswali mengine ya madai yako ya ugaidi,
1)Israel inayokamata watoto chini ya miaka 12 kila mwaka na kuwafunga jela za watoto sio magaidi?
2)Israel inayobomoa nyumba za Wapalestina kila uchwao kupanua makazi ya wazayuni sio magaidi!?
3)Israel inayoshambulia makanisa na wakristu ndani ya Israel yenyewe vipi hao sio magaidi?
4)Unajua kilichopelekea Oktoba 7 kutokea!?
Nasubiri majibu hapa.
Usilete povu la OMO AU MAQ kama mwanzo.
Lete fact.
 
Kasome Biblia yako vizuri,you are spiritually blind.Israel unayozungumzia wewe sio hii ya Natanyahu,hii ya Natanyahu inaongozwa na kinacuoitwa Sinagogi la Shetani.Soma Ufunuo 2:9 (Ufunuo 2:9 Najua taabu zako; najua pia umaskini wako, ingawaje kwa kweli wewe ni tajiri; najua kashfa walizokufanyia wale wanaojiita Wayahudi lakini si Wayahudi wa kweli, bali ni kundi lake Shetani. | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.) na 3:9(Ufunuo 3:9 Sikiliza! Nitawapeleka kwako watu wa kundi lake Shetani, watu ambao hujisema kuwa ni Wayahudi, kumbe sivyo, ila wanasema uongo. Naam, nitawapeleka kwako na kuwafanya wapige magoti mbele yako, wapate k | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.)

Halafu niwakumbushe hasa ninyi mnaojiita Evangelicals,hii Israel mnayoipigia chapuo, sio ile Israel Mungu anayoikusudia.Hii ya sasa imeundwa na akina Rothschild through the Balfour Declaration(Balfour Declaration - Wikipedia)
kwa kujiingiza kwa hila katika mpango wa Mungu wa kuwarudisha wana wa Israel katika Taifa lao.Naomba mkumbuke kwamba kila wakati Israel Mungu alipokuwa anawarudisha Nabii ndiye aliyekuwa anahusika.Sasa Israel kurudi 1948,Nabii yupi alihusika?Jibu ni hakuna,Shetani ameteka mpango wa Mungu,lakini bado Mungu hajawarudisha Wairael,kwa hiyo tunasubiri mpango huo wa Mungu.Yote yanayoendelea sasa kwenye inayoitwa Israel ni utapeli, ikiwa ni pamoja na kujenga hekalu lao juu ya the Dome of the Rock:msikiti mkubwa kabisa duniani kote, na kumsimika Mpinga Kristo humo.

Labda nikupe homework mkuu.Hivi waliokuwa wanaoitwa Waebrania leo wako wapi?Kumbuka hata Bwana Yesu mwenyewe ni Mwebrania.
BIBLIA?

Really?

Yaani religious extremists are a very big problem in this world,and you sir,you are a problem!
 
Ila hii haiwezekani kwa Raisi alikuwa amebakisha miezi tu mwakani ni uchaguzi ayatollah anaweza kutumia ila assembly of experts yenye watu 89 kumkata asigombeee tena uraisi bila kufanya hivi ,labda kama kuna uhafidhina na pia kwa nchi ya kiislamu kama iran mambo ya kufanyiana assasination wao kwa wao hawana hayo wale ni waadilifu kwa misingi ya dinj yao na ndio maana despite vikwazo taifa na hali ya maisha ya watu ni nzuri uadilifu wa misingi ya dini ndio umeweza kuwafikisha mbali hapo walipk la sivyo kwa vita na fitina za nchi za magharibi basi wangekuwa wamekumbwa na fate kama ya Gaddafi na Saddam kimsingi religion ndio protection ya taifa lao strategically hata ukiwapeleka vizuri vyote vya umagharibi hawawezi kuasi dni yao wakavifuata na ndio hapo regime imeshikilia misingi hio imeweza na kuendelea kuongoza .
binamu kaniambia wairani siyo waislamu, wao ni shia wkt waislamu halisi ni Suni.
 
Mechi itaanza baada ya uchunguzi kukamilika na kama ni Israel kweli basi sio watu wa mchezo aisee.
Iran leo nimesikia wakisema kama Israel kahusikia basi wajue safari hi watajuta kugusa Iran.

Wanasema pia kama US kahusika wanalo jibu lake pia.

Huoni Israel wamenza kukanusha hawakuhusika.

Mrusi anasema USA ndiye aliye husika na uwaji huo.

Tusubiri mchezo hu aliye chezea America safari hi atajuta nadhani hapo Middle East America itabidi akimbie.
 
Back
Top Bottom