Evidence is now appearing indicating that the Iran Presidential Helicopter crash was an assassination

Misguided analysis
According to your thoughts we can't deprive your right of expression.
Can you get bothered with something/someone who is not in your interests!??
Starting from economic sanctions and regime change attempts by USA and allies to Iran,is USA and allies doing that for nothing??
 
Mouth diarrhoea accompanied by mental constipation.
 
Kapigwa na hizbullah 2006 israel akaomba pooh na kusalimu amri anapigika vizuri sana sana.
kelele zilikua nyingi UN hata saiv kwa hiz kelele akiwaacha pale gaze kwaakili zenu huo ni ushindi
 
Huhitaji kuwa na Phd kutambua hilo ubalozi tu ulipigwa watu wakalipiza na missile na madrone 300 sasa ikigundulika ni hivyo unategemea nini ??kama huna think tank jiwekee basi hata think kibakuli ili uweze kuanalyse mambo ya ulimwengu.
Sawa kabisa mbobevu 'think-tank' na mchambuzi wa kimataifa katika medani za kivita.

Nakubaliana nawe, 'middle east will burn'.
 
Kama hafai kwanini ameshindwa kuiteketeza Hizbollah na Hamas?
Viongozi wa Hamas kina Ismali Haniyeh wako Gaza kwanini ameshindwa kuwa assassinate!?
Use your common sense your embiciles.
Swali hilohilo waulize hao maadui wa Yahudi kwanini wameshindwa kuifuta Israeli kwenye ramani ya dunia kama wanavyotaka. (halafu embiciles ndo nini? ndiyo maana tunawaambia ninyi ni imbeciles amkeni yahudi atawamaliza)
 
Swali hilohilo waulize hao maadui wa Yahudi kwanini wameshindwa kuifuta Israeli kwenye ramani ya dunia kama wanavyotaka. (halafu embiciles ndo nini? ndiyo maana tunawaambia ninyi ni imbeciles amkeni yahudi atawamaliza)
Kwani nani aliyetaka kuifuta Israel?
Unaweza ukaleta jibu!?
Swali hujibiwa kwa majibu ungeleta majibu ya maswali yangu ndio uulize swali.
Hii ni dalili hata darasani ulikua unafeli kilaza wewe.
Naona yahudi anatumaliza ilhali kaskazini mwa Israel(Galilee) raia wa kiyahudi wamehamishwa mpaka leo hawajarudi kukwepa kombora za Hizbollah.
Usikute nabishana na kijana cha form 4 cha balehe hakuna anachojua zaidi ya stori za vijiweni.
Makalio kabisa such a dunderhead.
 
kelele zilikua nyingi UN hata saiv kwa hiz kelele akiwaacha pale gaze kwaakili zenu huo ni ushindi
Alopeleka kelele nyingi ni Israel sio Hizbollah.
Na aliyeomba cease fire ni Israel sio Hizbollah.
Mambo yako wazo dunia ya utandawazi hii mtamdanganya nani!?
 
Ukiona rais wako anafanyiwa assassination na ikafanikiwa hilo Taifa usilisogelee
Taifa lenyewe linachapwa kila kukicha na wanafunzi wa adui yao. Kule raisi ni kama hadhi ya waziri mkuu huku kwetu kamanda inchief ni mtu mwingine kabisa.
 
Taifa lenyewe linachapwa kila kukicha na wanafunzi wa adui yao. Kule raisi ni kama hadhi ya waziri mkuu huku kwetu kamanda inchief ni mtu mwingine kabisa.
Ndio mimi nawashangaa sana.
Hadi leo hii kaskazini mwa Israel wananchi wamehamishwa kwa vurugu za hizbollah.
Sasa kama Israel ni taifa lenye hatari kwanini limeshindwa kuwatuliza Hizbollah wasilete vurugu kaskazini mwa Israel kiasi raia wanahama!?
 
Alopeleka kelele nyingi ni Israel sio Hizbollah.
Na aliyeomba cease fire ni Israel sio Hizbollah.
Mambo yako wazo dunia ya utandawazi hii mtamdanganya nani!?
damage kubwa ilikua israel au lebanon ujue kuanzia uharibifu wa miundombinu , causalities na vifo piga vizur research yako mzee au unataka nikusaidie kukuwekea evidence hapa kutoka lebanon kwenyewe vita vya sikuiz viko live online tofaut na ile ya vietnam mpaka tuje tuhadithiwe na wahuni wa hollywood sikuiz unajionea tu mwenyewe ila ukichagua source za mchongo inakula kwako
 
Mungu wa Israel Yuko macho sana
 
Okay, brother have a goodnight. May our ALMIGHTY God protect you. Calm yourself down, take it easy.
 
Kwako kushinda vita ni damage ya vitu na vifo au kukamilika kwa mission!?
Labda nikuulize kwa maswali mawili,
1)Hizbollah walianzisha vurugu kwa kutaka kiongozi wao kuachiwa je aliachiwa au laah!?
2)Israel iliikalia Bint jubeir eneo la kusini mwa Lebanon,je lilikombolewa au halikukombolewa??
Nijibu hayo mkuu,halafu tujue nani alishinda ile vita.
Nakukumbusha vita haiangaliwi number of casualties bali huangaliwa kukamilika kwa mission/operation.
Hapo hapo nakuongezea maswali,
1)Lengo la Israel kuvamia Lebanon ilikua kuokoa askari wao waliotekwa na hizbollah mpakani kwaajili ya mabadilishano,je Israel walifanikiwa kuwaokoa askari wao?
2)Lengo la pili ilikua kuweka buffer zone Bint jubeir je,Israel walifanikiwa kuweka buffer bint jubeir??

Nasubiri majibu mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…