Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Amiin thumma amiin!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nacho mkubali mu israel yeye huwa analipa wakati huo huo mkirusha maroketi anajibu siku inayofuata kwa shambulizi la nguvu la ndege harembi wala kusamehe.
wamekuwa ndugu zako kisa ni waislam wenzako,acha unafiki Mungu hapendi waombaji aina yako.
umeacha wangapi wanaouawa hata kwa sababu tofauti usiwaombee amani,ila parestina???
Waambie ukweli, waondoke kwenye ardhi takatifu ya Israel. Watakuwa salama.View attachment 2318425
Amiin thumma amiin!
Israel ni unbeatable. Ameweza zaidi kuwa ahead kwasababu ya kuwekeza kwenye intelligence. Pia anashikilia teknolojia duniani kwenye mataifa makubwa.Cha kushangaza hao Mazayuni wamezungukwa na nchi za Kiarabu pande zote! Lakini kwa miaka nenda, wanaangalia tu kwa macho uonevu...
Tatizo maombi yenu hayabadilishi chochote..Allah yuko vacationNdugu zangu waislamu tuendelee kuwaombea hawa ndugu zetu
Hawana udugu wowote na wewe mtu mweusi! Yani hamshabiliani kwa lolote.Ndugu zangu waislamu tuendelee kuwaombea hawa ndugu zetu
Mungu awafanyie wepesi, wahenge taiga lao na waachane na kuing'ang'ania ardhi inayokaliwa na wagomvi wao, msuli wa kumshinda Israeli umeshagomaga, wawaache tu na wao waishi maisha yaoView attachment 2318425
Amiin thumma amiin!