Ewe Allah! Wape nusra ndugu zetu wa palestina

Ewe Allah! Wape nusra ndugu zetu wa palestina

Hawana udugu wowote na wewe mtu mweusi! Yani hamshabiliani kwa lolote.
Hata huo udugu unaoulazimisha wa dini hawana na wewe

It always baffles me miafrika inavyopenda kujinasabisha na watu wengine wakati wao hawawezi kuwaita nyie ndugu zao hata kwa bahati mbaya. Miafrika popote pale si bungeni Hadi mitaani utasikia "kwa wenzetu Marekani/Palestine/Ulaya/China/arabuni" nk nk. Hao mnaoita ndugu zenu hawawaoni nyie kama wenzao let alone ndugu zao hata kwa kujiuma ulimi.
 
Israel ni unbeatable. Ameweza zaidi kuwa ahead kwasababu ya kuwekeza kwenye intelligence. Pia anashikilia teknolojia duniani kwenye mataifa makubwa.
They learnt a lesson from Nazi campaign that killed over 6million Jews in gas Chambers during Adolph Hiltr reigns in Germany that ended up after second world war, they have a slogan of "Never again"
 
Tatizo maombi yenu hayabadilishi chochote..Allah yuko vacation
Mkuu Allah ni Mungu huyohuyo tunaemuabudu wakristo...tofauti ni jina tu..ni sawasawa na kusema elohim...Yahweh...Ehieh...so unafanya mockery kwa Mungu mkuu...
 
Mkuu Allah ni Mungu huyohuyo tunaemuabudu wakristo...tofauti ni jina tu..ni sawasawa na kusema elohim...Yahweh...Ehieh...so unafanya mockery kwa Mungu mkuu...
No way.

Hivi unajua kuwa Allah sio spirit na Jehovah ni spirit ?
 
Israel ni unbeatable. Ameweza zaidi kuwa ahead kwasababu ya kuwekeza kwenye intelligence. Pia anashikilia teknolojia duniani kwenye mataifa makubwa.
Hawaendi anga za mbali mpaka wakamgongee hodi Urusi ndo awapeleke.
Wakabeba biblia kumpelekea yesu huko juu chombo kikaungua njiani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unaacha kuombea ndugu zako waafrica wanaoteseka kwa kukosa huduma nzuri za afya,wanaoteseka kwa kukosa chakula na wanaoteseka kwa maovu yanayosababishwa na vita mbalimbali ndani ya africa.unaenda kujipendekeza kuwaombea watu ambao kwanza hawajawahi kutambua kama wewe ngozi nyeusi ni binadamu kamili au sio.
Unafiki mtupu.
Utakuta huyu ana uwezo wa kifedha yupo Mjini lakini hawasaidii ndugu zake wa Kijijini.
 
Waambie ukweli, waondoke kwenye ardhi takatifu ya Israel. Watakuwa salama.
Waondoke kwenye ardhi yao!!, basi middle east uote hawana haki ya kuishi pale, mwenye haki ni myahudi pekee sio!!

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
120 Al-Baqarah
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

الَّذِينَ آتَيْنَاهُمُ الْكِتَابَ يَتْلُونَهُ حَقَّ تِلَاوَتِهِ أُولَٰئِكَ يُؤْمِنُونَ بِهِ ۗ وَمَنْ يَكْفُرْ بِهِ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْخَاسِرُونَ
121 Al-Baqarah
Wale tulio wapa Kitabu, wakakisoma kama ipasavyo kusomwa, hao ndio kweli wanakiamini. Na wanao kikataa basi hao ndio wenye kukhasiri.

Tatizo maombi yenu hayabadilishi chochote..Allah yuko vacation
إِنَّ اللَّهَ مَعَ الصَّابِرِينَ
153 Al-Baqara
Hakika Mwenyezi Mungu yu pamoja na wanao subiri.

Hawana udugu wowote na wewe mtu mweusi! Yani hamshabiliani kwa lolote.
Hata huo udugu unaoulazimisha wa dini hawana na wewe

ألمسلم أخو المسلم kama ulikua hujui

إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ فَأَصْلِحُوا بَيْنَ أَخَوَيْكُمْ ۚ وَاتَّقُوا اللَّهَ لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ
149 Al-Baqara
Hakika Waumini ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mrehemewe.
Utake usitake, upende usipende wale ni ndugu zetu
Unaacha kuombea ndugu zako waafrica wanaoteseka kwa kukosa huduma nzuri za afya,wanaoteseka kwa kukosa chakula na wanaoteseka kwa maovu yanayosababishwa na vita mbalimbali ndani ya africa.unaenda kujipendekeza kuwaombea watu ambao kwanza hawajawahi kutambua kama wewe ngozi nyeusi ni binadamu kamili au sio.
Unafiki mtupu.

Wale ni ndugu zetu, tunawapenda kwa ajili ya Allah.
 
Mkuu Allah ni Mungu huyohuyo tunaemuabudu wakristo...tofauti ni jina tu..ni sawasawa na kusema elohim...Yahweh...Ehieh...so unafanya mockery kwa Mungu mkuu...
Ala ni mungu wa waarabu..sio mungu wa wote..ndio mana anamaelekezo zaidi kwa waarabu hata lugha ningine hajui zaidi ya kiarabu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom