TheMnyonge
JF-Expert Member
- Mar 25, 2022
- 738
- 1,886
Ubaguzi huu, Mungu hatajibu maombi ya aina hii kamweeeeWale ni ndugu zangu katika imani, ulitaka nianzishe mada ya wale ndugu zako wacongo na anti balaka sio!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubaguzi huu, Mungu hatajibu maombi ya aina hii kamweeeeWale ni ndugu zangu katika imani, ulitaka nianzishe mada ya wale ndugu zako wacongo na anti balaka sio!!
Samahani. Hawa Waarabu wa Palestina ni Ndugu zako kwa vipi?View attachment 2318425
Amiin thumma amiin!
Labda hajui nini maana ya ''Ndugu''Hawana udugu wowote na wewe mtu mweusi! Yani hamshabiliani kwa lolote.
Hata huo udugu unaoulazimisha wa dini hawana na wewe
Wataondokaje kwao, Israel waliotawanyika duniani kwa zaidi ya miaka 2000,then wanarudishwa na USA kwa mgongo wa UN mwaka1948, wanatakiwa kuishi pamoja wakubaliane kukubali kutokubaliana.[emoji2320]Waambie ukweli, waondoke kwenye ardhi takatifu ya Israel. Watakuwa salama.
Hawana udugu wowote na wewe mtu mweusi! Yani hamshabiliani kwa lolote.
Hata huo udugu unaoulazimisha wa dini hawana na wewe
They learnt a lesson from Nazi campaign that killed over 6million Jews in gas Chambers during Adolph Hiltr reigns in Germany that ended up after second world war, they have a slogan of "Never again"Israel ni unbeatable. Ameweza zaidi kuwa ahead kwasababu ya kuwekeza kwenye intelligence. Pia anashikilia teknolojia duniani kwenye mataifa makubwa.
Mkuu Allah ni Mungu huyohuyo tunaemuabudu wakristo...tofauti ni jina tu..ni sawasawa na kusema elohim...Yahweh...Ehieh...so unafanya mockery kwa Mungu mkuu...Tatizo maombi yenu hayabadilishi chochote..Allah yuko vacation
Choko choko zipi mkuu?Muache chokochoko..mana kwa chokochoko hamjambo..mkipewa kichapo ndio mnarudi kulialia huku mkitia huruma.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Huwajui vizuri wale,,,,nchi 14 barani Afrika hawataki Israel ijiunge kwenye AU ikiwemo TZ nao wabaguz?Ubaguzi huu, Mungu hatajibu maombi ya aina hii kamweeee
No way.Mkuu Allah ni Mungu huyohuyo tunaemuabudu wakristo...tofauti ni jina tu..ni sawasawa na kusema elohim...Yahweh...Ehieh...so unafanya mockery kwa Mungu mkuu...
Hawaendi anga za mbali mpaka wakamgongee hodi Urusi ndo awapeleke.Israel ni unbeatable. Ameweza zaidi kuwa ahead kwasababu ya kuwekeza kwenye intelligence. Pia anashikilia teknolojia duniani kwenye mataifa makubwa.
AiseeeeHawana udugu wowote na wewe mtu mweusi! Yani hamshabiliani kwa lolote.
Hata huo udugu unaoulazimisha wa dini hawana na wewe
Utakuta huyu ana uwezo wa kifedha yupo Mjini lakini hawasaidii ndugu zake wa Kijijini.Unaacha kuombea ndugu zako waafrica wanaoteseka kwa kukosa huduma nzuri za afya,wanaoteseka kwa kukosa chakula na wanaoteseka kwa maovu yanayosababishwa na vita mbalimbali ndani ya africa.unaenda kujipendekeza kuwaombea watu ambao kwanza hawajawahi kutambua kama wewe ngozi nyeusi ni binadamu kamili au sio.
Unafiki mtupu.
Waondoke kwenye ardhi yao!!, basi middle east uote hawana haki ya kuishi pale, mwenye haki ni myahudi pekee sio!!Waambie ukweli, waondoke kwenye ardhi takatifu ya Israel. Watakuwa salama.
إِنَّ اللَّهَ مَعَ الصَّابِرِينَTatizo maombi yenu hayabadilishi chochote..Allah yuko vacation
Hawana udugu wowote na wewe mtu mweusi! Yani hamshabiliani kwa lolote.
Hata huo udugu unaoulazimisha wa dini hawana na wewe
Unaacha kuombea ndugu zako waafrica wanaoteseka kwa kukosa huduma nzuri za afya,wanaoteseka kwa kukosa chakula na wanaoteseka kwa maovu yanayosababishwa na vita mbalimbali ndani ya africa.unaenda kujipendekeza kuwaombea watu ambao kwanza hawajawahi kutambua kama wewe ngozi nyeusi ni binadamu kamili au sio.
Unafiki mtupu.
Ala ni mungu wa waarabu..sio mungu wa wote..ndio mana anamaelekezo zaidi kwa waarabu hata lugha ningine hajui zaidi ya kiarabu.Mkuu Allah ni Mungu huyohuyo tunaemuabudu wakristo...tofauti ni jina tu..ni sawasawa na kusema elohim...Yahweh...Ehieh...so unafanya mockery kwa Mungu mkuu...
Waulize wapalestina..Israel hawawpigi tu..bila wao kuanza chokochoko..wakae watulie wakiona hawawezi waende jangwani huko irani wakaishi kwa amani.Choko choko zipi mkuu?