Ewe Allah! Wape nusra ndugu zetu wa palestina

Ewe Allah! Wape nusra ndugu zetu wa palestina

Mungu wetu tunatemuabudu ni Allah mwenye hekima na mwenye kurehemu ..ametuasa waislamu kuhusu subira mwenyezi mungu anasema wote wenye kusubiri wapo karibu nae na vile vile ametuasa tusikate tamaa kwakuwa yeye anayajua sisi tusiyoyajua na alipangalo yeye ndio uwa aya mateso wanayoyapitia ndugu zetu palestina ni ya muda mfupi tu yataisha tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
mungu dhaifu ambaye anahitaji wanadamu wampiganie kwa kujilipua..huyo mungu keshafeli unganeni na Mungu wa wayahudi muenjoy maisha.

La sivyo ndugu zako wapalestina wataisha wote..wakimlilia mungu alifeli.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cha kushangaza hao Mazayuni wamezungukwa na nchi za Kiarabu pande zote! Lakini kwa miaka nenda, wanaangalia tu kwa macho uonevu wote wanaofanyiwa hao Wapalestina! Tangu wapigwe kwenye vita walivyo kurupuka vya 1956, 1967, na 1973! Wamepoteana kabisa! Hakuna cha Arab League, wala nini!

Yaani ni Iran pekee ndiyo inajitutumua kupitia misaada yake ya siri ya kijeshi kwa Herzibollah ya Lebanon na pia Hamas! Nchi kama Saudi Arabia ndiyo kwanza iko busy kunyonga wananchi wake tu kwa makosa ya kufikirika!

Pasipo kuungana kupambana na Mazayuni, mtaishia tu kutoka machozi kama yale ya samaki. Mwisho wa siku hayo machozi yote yatakwenda na maji.
wanaporushaga makombora upande wa wayaud mpo kimya wakijibiwa ndo mnawasaidia kulia , hv mnahis upande wa Israel hakuna raia
 
Sawa, hongera kwa hilo
ttz nyiny watu akil zero , yaan wakishambulia waisrael ni sawa tu ila wao wakijibiwa ndo mnaanza vilio , hao wapalestina wana staili wanachokipata ,hujui tu
 
Ndugu zangu waislamu tuendelee kuwaombea hawa ndugu zetu
UNAFIKI ,wanachowafanyia waisrael hata ww ungekuwa huna pa kukaa wangekukataa km waisrarl , mbinafs hana nafas duniani , hiyo ni adhabu wanapewa na mungu walikataa kuunda taifa moja leo hawana taifa , hawakuridhika na eneo lao wakataka la wenzao leo hata lao hawana , WAJIFUNZE
 
wanaporushaga makombora upande wa wayaud mpo kimya wakijibiwa ndo mnawasaidia kulia , hv mnahis upande wa Israel hakuna raia
Hao Mazayuni ni wavamizi. Hata ungekuwa ni wewe ukavamiwa na mtu nyumbani kwako, katika eneo lako! una haki ya kujitetea.

Na kama utanyamaza na kumuacha afanye chochote anachotaka, basi hata watoto wako watakudharau.
 
Wale ni ndugu zangu katika imani, ulitaka nianzishe mada ya wale ndugu zako wacongo na anti balaka sio!!
yaan unajiona mwarab na kuukana uafrika wako ,ndugu zako ni hao antibalak na sio hao ngoz nyeup , wao wenyew hawakujui hata kdg wala kukuthamin au kukulilia , wanawatumie kwavile akil ku mkichwa ni sifur
 
Wale ni ndugu zangu katika imani, ulitaka nianzishe mada ya wale ndugu zako wacongo na anti balaka sio!!
Wale wanao uawa na Islamic State sio ndugu zako, yule binti alochomwa na moto mpaka kufa Nigeria hakua mtu et, jinga kabisa wavaa kubadhi.
 
yaan unajiona mwarab na kuukana uafrika wako ,ndugu zako ni hao antibalak na sio hao ngoz nyeup , wao wenyew hawakujui hata kdg wala kukuthamin au kukulilia , wanawatumie kwavile akil ku mkichwa ni sifur

Hao antibalaka ni ndugu zako wewe

إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ فَأَصْلِحُوا بَيْنَ أَخَوَيْكُمْ ۚ وَاتَّقُوا اللَّهَ لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ
Hakika Waumini ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mrehemewe. 10 Al-Hujurat
 
huyo ni mungu asiyejibu, angelikuwa ana uwezo wowote angeshajibu zamani sana. mkimbieni mmwamini Mungu wa kweli, Mungu wa Ibrahim Isaka na yakobo, Mungu wa Israel.

Ibrahim
Is'haq
Yaaqub

Wote hawa Mungu wao ni Mmoja tu, ambae ni Allah peke yake, hakuzaa wala hakuzaliwa, na hakuna kinachofanananae.
 
Ibrahim
Is'haq
Yaaqub

Wote hawa Mungu wao ni Mmoja tu, ambae ni Allah peke yake, hakuzaa wala hakuzaliwa, na hakuna kinachofanananae.
Unaposema Mungu hakuzaa wala sikatai lakini jua kwamba Mungu anaweza kusema kitu chochote kiwe na kikawa anaweza kusema Marium utabeba mimba na baada ya miezi tisa Marium akazaa kama wanawake wengine.
 
Mkuu Allah ni Mungu huyohuyo tunaemuabudu wakristo...tofauti ni jina tu..ni sawasawa na kusema elohim...Yahweh...Ehieh...so unafanya mockery kwa Mungu mkuu...
Basi huyo Mungu atakuwa likizo...Maana wanae(wakristo,wayahudi,waislam) wanauana Miaka nenda rudi hafanyi chochote.

Bora huyo Mungu afe ili hizi vita ziishe
 
Haujawahi lia mambo ya Somalia au Chad.. Huu utumwa ni hatare
 
Kuwaita warabu ndugu zako huna tofauti na wanaomuita samia mama wakati mama zao wapo
 
Hivi nini wapelestina walichonacho special? Maana vita ziko sehemu nyingi tena watoto wanawake wazee vijana na hata wanaume nguvu kazi wanauliwa lakini sioni wakitetewa na kuta huruma zidi yao why pelestina?
 
Unafahamu wewe Dalmine wanakuchukulia kama nyani, na hata ukisema unaenda kuishi nao hawawezi kukubalia na wanaweza kukuua kwa sababu wewe ngozi yako na nywele zako zi tofauti. Usijione wewe eti unawapenda sana hao wapalestina kuzidi Mungu aliyewaumba. Maana kwa akili zako utaanza kuwachukia hata watanzania ambao siyo waislamu kisa hao waarabu ambao wewe wanakuona nyani.
 
Hivi nini wapelestina walichonacho special? Maana vita ziko sehemu nyingi tena watoto wanawake wazee vijana na hata wanaume nguvu kazi wanauliwa lakini sioni wakitetewa na kuta huruma zidi yao why pelestina?
Wa Palestine ni wavamizi wa maeneo husika. Na kibaya ni wale wa dini za kifilisti na waisrael wa dini ya Ibrahimu kiasi kwamba hawa wafilisti wanaona wayahudi mashetani yanapaswa yafe yote na wayahudi nao wanaona wafilisti ni mashetani wafe wote
 
Back
Top Bottom