Ewe jobless kukosa kwako ajira kusikuondolee usomi au uwezo wako wa kufikiri

Ewe jobless kukosa kwako ajira kusikuondolee usomi au uwezo wako wa kufikiri

vijana wajinga kama nyie bado mpo ambao hamtak mabadiliko mnaish kwa kujifariji

kati ya wanafunzi 100 wanaomaliza form 4 ni wanafunzi 12 pekee ndo wanafika level ya vyuo. vya kati na vyuo vikuu

licha idadi ndogo ya graduates bado serikali imeshindwa kuajiri
vijana
kama nyie mnajikunyata kwenye kivuli cha kujiajiri huku maisha yenu yakiwa ni mateso na stress tupu.

ufisadi ,kukokosa viong wenyw upeo kuna sababisha vijna kukosa ajira. vijana wakirise ,wakianzisha movements wanakutana na vijana sampuli yako ambao technically ni hasara
Hili dogo ni lipumbavu sana
 
jiajiri huku ukiwa kwenye movements ya kudai ajira rasmi mpate bima za afya muwe na family na future ya kueleweka.

sio unajiajiri ukiambia ajira hamna una sema eeee ajira zipo eeeee
Ndio ni wazo zuri ila linakuwa favoured sana kwa watu wenye sifa za kuajiriwa, na lengo ni kuwasaidia vijana wote kujikwamua kiuchumi hata wale walioishia form 2 au waliofeli form four pia na wale ambao ajira zao zina age restriction
 
Yaani uwafate viongozi wakupe muongozo?? Viongozi hawahawa waramba asali si ni dakika sifuri wanawachoma au kuwapa maneno ya faraja na kuwatia moyo kua mjiajiri huku wakiwabani mpaka muwarambe miguu.

Kijana usififiishe harakati za majobless waliojitoa kimasomaso kuwatetea wenzao front huku wewe ukijificha nyuma ya fake id.

Katika medani za kijasusi wewe unawekwa kundi moja na kaka yako Lucas Mwashambwa
 
Back
Top Bottom