Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

je chama kina faa na kina umuhimu??


  • Total voters
    139

Intelligent businessman

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
31,913
Reaction score
65,514
Umoja huu ni kwa ajili ya ma jobless pro max wote.bila ya kujali umri, jinsia au hata uzoefu.

Lengo ni kumpa nguvu jobless, kumpa moyo na hata ushauri juu ya yale anayo yapitia.

amini usi amini, Kuna vyama vya kutetea na kusikiliza kero na matatizo ya familia, wafanya kazi, Wana michezo.

ila umoja wa ma jobless haupo, ni Kama hawa onekani.
wanacho pata ni kubezwa, kusemwa na hata kuandamwa kwa maneno.

Mimi Intelligent businessman baada ya kukaa na kutafakari, nika ona kwakuwa hatuna pesa, basi hata kusikiliza na kupeana mawazo ya faraja ni bora zaidi.

tuta jadili, semea na hata kuelimisha mambo chungu nzima yali yomo kwenye u jobless.

kauli mbiu ni umoja, upendo na amani.

hakuna michango.
hakuna pesa za bure
hakuna ubaguzi.
tetea haki ya jobless.

kidumu chama Cha ma jobless pro max
.

OIG4 (1).jpeg
 
raisi wa ma jobless pro max ni Intelligent businessman, makamu wake ni Bolotoba.

katibu wa chama Cha ma jobless ni min -me, msemaji wa ma jobless pro max ni makutupora .

kidumu chama Cha ma jobless pro max.

majukumu ya katibu min -me

Kuongoza na Kuratibu Shughuli za Chama

1.Kusimamia shughuli za kila siku za chama.

1.Kuandaa na kusimamia mikutano ya wanachama.
  • Kuhakikisha chama kinafuata katiba na malengo yake.

2. Utetezi na Ushawishi


  • Kuandaa na kusambaza maoni ya chama kuhusu ajira na uchumi.
  • Kuwasiliana na serikali, sekta binafsi, na mashirika yasiyo ya kiserikali kutafuta fursa za ajira na uwezeshaji.
  • Kuendesha kampeni za uhamasishaji kuhusu haki za wasio na ajira.

3. Kupanga na Kusimamia Miradi


  • Kutafuta na kuratibu fursa za mafunzo ya ujuzi kwa wanachama.
  • Kuanzisha programu za kusaidia wanachama kujiajiri.
  • Kusimamia miradi ya chama kama vile vikundi vya ushirika au biashara za pamoja.

4. Uhusiano na Wanachama


  • Kuhakikisha wanachama wanapata taarifa muhimu kuhusu maendeleo ya chama.
  • Kupokea na kushughulikia maoni na changamoto za wanachama.
  • Kuratibu uandikishaji wa wanachama wapya.

*****5. Usimamizi wa Fedha na Rasilimali


  • Kusimamia mapato na matumizi ya chama kwa uwazi.
  • Kuratibu mbinu za kutafuta fedha kama vile michango, ada za uanachama, na ufadhili
 
Umoja huu ni kwa ajili ya ma jobless pro max wote.bila ya kujali umri, jinsia au hata uzoefu.

Lengo ni kumpa nguvu jobless, kumpa moyo na hata ushauri juu ya yale anayo yapitia.

amini usi amini, Kuna vyama vya kutetea na kusikiliza kero na matatizo ya familia, wafanya kazi, Wana michezo.

ila umoja wa ma jobless haupo, ni Kama hawa onekani.
wanacho pata ni kubezwa, kusemwa na hata kuandamwa kwa maneno.

Mimi Intelligent businessman baada ya kukaa na kutafakari, nika ona kwakuwa hatuna pesa, basi hata kusikiliza na kupeana mawazo ya faraja ni bora zaidi.

tuta jadili, semea na hata kuelimisha mambo chungu nzima yali yomo kwenye u jobless.

kauli mbiu ni umoja, upendo na amani.

hakuna michango.
hakuna pesa za bure
hakuna ubaguzi.
tetea haki ya jobless.

kidumu chama Cha ma jobless pro max
.

View attachment 3223638
Lengo ni kukataa kuajiriwa au hata kujiajiri
 
Umoja huu ni kwa ajili ya ma jobless pro max wote.bila ya kujali umri, jinsia au hata uzoefu.

Lengo ni kumpa nguvu jobless, kumpa moyo na hata ushauri juu ya yale anayo yapitia.

amini usi amini, Kuna vyama vya kutetea na kusikiliza kero na matatizo ya familia, wafanya kazi, Wana michezo.

ila umoja wa ma jobless haupo, ni Kama hawa onekani.
wanacho pata ni kubezwa, kusemwa na hata kuandamwa kwa maneno.

Mimi Intelligent businessman baada ya kukaa na kutafakari, nika ona kwakuwa hatuna pesa, basi hata kusikiliza na kupeana mawazo ya faraja ni bora zaidi.

tuta jadili, semea na hata kuelimisha mambo chungu nzima yali yomo kwenye u jobless.

kauli mbiu ni umoja, upendo na amani.

hakuna michango.
hakuna pesa za bure
hakuna ubaguzi.
tetea haki ya jobless.

kidumu chama Cha ma jobless pro max
.

View attachment 3223638
Kwahiyo kuna CHAPUTA, JOBLESS PRO MAX na KATAA NDOA

Haya, mkifika kwenye uhitaji wa michango mtanistua kusudi niwachangie ili muweze kukiendeleza chama chenu.
 
Hakika hili jambo JEMA Mh. RAIS WA MAJOBLESS PROMAX

Chama chetu! Ni chama chenye Nia njema ya kuwatia moyo ma jobless woteeee!

Mimi kama msemaji wa CHAMA hiki ninawakaribisha kwenye chama!

Hakuna michango!
Hakuna fedhehea!
Hakuna manyanyaso!

Umoja, mshikamano na Upendo ndio sera zetu kama chama hiki
 
Back
Top Bottom