Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #281
naam, nime sikia na naahidi haito kuwepo daima.Rangi ya chama isiwe kijani tuu,tafadhali ndugu mwenyekiti,.ni ombi langu.
Ahsante.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naam, nime sikia na naahidi haito kuwepo daima.Rangi ya chama isiwe kijani tuu,tafadhali ndugu mwenyekiti,.ni ombi langu.
Ahsante.
sawaOkay
Wait
Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nime muelewa Mother Confessor, rangi ya kijani hatuto iweka kamwe.Pokea ushauri Mh. Rais Intelligent businessman
Kwani na wewe ni mwanachama wa ma jobless pro max??Ninmelia sana, raisi wangu kunisahau😂🙌🏿
Kwa hiyo kaka umeona chama kikose mwanasheria 😃😃raisi wa ma jobless pro max ni Intelligent businessman, makamu wake ni Bolotoba.
katibu wa chama Cha ma jobless ni min -me, msemaji wa ma jobless pro max ni makutupora .
kidumu chama Cha ma jobless pro max.
majukumu ya katibu min -me
Kuongoza na Kuratibu Shughuli za Chama
1.Kusimamia shughuli za kila siku za chama.
1.Kuandaa na kusimamia mikutano ya wanachama.
- Kuhakikisha chama kinafuata katiba na malengo yake.
2. Utetezi na Ushawishi
- Kuandaa na kusambaza maoni ya chama kuhusu ajira na uchumi.
- Kuwasiliana na serikali, sekta binafsi, na mashirika yasiyo ya kiserikali kutafuta fursa za ajira na uwezeshaji.
- Kuendesha kampeni za uhamasishaji kuhusu haki za wasio na ajira.
3. Kupanga na Kusimamia Miradi
- Kutafuta na kuratibu fursa za mafunzo ya ujuzi kwa wanachama.
- Kuanzisha programu za kusaidia wanachama kujiajiri.
- Kusimamia miradi ya chama kama vile vikundi vya ushirika au biashara za pamoja.
4. Uhusiano na Wanachama
- Kuhakikisha wanachama wanapata taarifa muhimu kuhusu maendeleo ya chama.
- Kupokea na kushughulikia maoni na changamoto za wanachama.
- Kuratibu uandikishaji wa wanachama wapya.
*****5. Usimamizi wa Fedha na Rasilimali
- Kusimamia mapato na matumizi ya chama kwa uwazi.
- Kuratibu mbinu za kutafuta fedha kama vile michango, ada za uanachama, na ufadhili
wewe ni jobless pro max??Kwa hiyo kaka umeona chama kikose mwanasheria 😃😃
Kaka wewe wakuniuliza tena😂😂😂me ni jobless Pro Max latest editionwewe ni jobless pro max??
Yeah mkuu😂, ndo kusema majuiumu ya uraisi ya kulemea Hadi kusahau😂🙌🏿Kwani na wewe ni mwanachama wa ma jobless pro max??
Niki fanya teuzi, lazima uwemo.Kaka wewe wakuniuliza tena😂😂😂me ni jobless Pro Max latest edition
niki fanya teuzi, uta kuwemo.Yeah mkuu😂, ndo kusema majuiumu ya uraisi ya kulemea Hadi kusahau😂🙌🏿
Mitano tena ✊🏿😂niki fanya teuzi, uta kuwemo.
You people are too funny aiseee 😂Yeah mkuu😂, ndo kusema majuiumu ya uraisi ya kulemea Hadi kusahau😂🙌🏿
Cheo hicho huwezi kupewaAnyway mm ni mtunza hazina wa chama, natunza kumbukumbu tu maan hela hatuna
Mkuu unadhani hata Hawa wakiisha, hao waliopo chuoni si majobless watarajiwaaa?Mkuu hiyo hoja ya kutafuta fursa za ajira katika serikali na sekta binafsi ifutwe, tutawapoteza wanachama wengi sana. Ikitokea tukakubaliwa nani atakuwa jobless?
Anyway mm ni mtunza hazina wa chama, natunza kumbukumbu tu maan hela hatuna
Naomba ulifanya uteuzi mH. Rais unijulishe ili niwatangazie ummaCheo hicho huwezi kupewa
sawa semaji la ma jobless pro maxNaomba ulifanya uteuzi mH. Rais unijulishe ili niwatangazie umma
Cheo hicho huwezi kupewa