Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Wanataka za kuva tai huku wakipulizwa kiyoyoziNimewambia kuna kazi ya kuchuma chai mpaka sahivi hamna aliejigusa badala yake wanapiga mboyoyo tu hapaView attachment 3223841
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka za kuva tai huku wakipulizwa kiyoyoziNimewambia kuna kazi ya kuchuma chai mpaka sahivi hamna aliejigusa badala yake wanapiga mboyoyo tu hapaView attachment 3223841
kumbe ooh watasubiri sanaWanataka za kuva tai huku wakipulizwa kiyoyozi
mrangi?!??Yupo, wewe tu.
Tatizo hamuwataki single mother wakati hao ndio walezi bora
Mkuu, unajiandaaje na mapambano ya maamuzi ya trump?Nilikwambia Mimi nipo tayari
Break fast ntapiga, makande ntabeba kuyala usiku.
Nipate nguvu ya kukusemea chama!
Tena kwa kufanya hivyo, Mungu atakubariki sana,
Mie niko Dodoma ila sikushauri uoe mrangi, bora mgogo au mnyambwamrangi?!??
Inabidi wazisubiri mpaka waliopo wafikishe miaka 60 ya kustaafukumbe ooh watasubiri sana
Si ndio bhana, acha waendelee kupiga porojo hapaInabidi wazisubiri mpaka waliopo wafikishe miaka 60 ya kustaafu
Mkuu mbona unanitoa nje ya mada kisasa? Mimi kujiandaa kwangu ndo kukuomba kaziMkuu, unajiandaaje na mapambano ya maamuzi ya trump?
warangi nawa jua ni....., gusa achia😂Mie niko Dodoma ila sikushauri uoe mrangi, bora mgogo au mnyambwa
punguza kiki mkuuNimewambia kuna kazi ya kuchuma chai mpaka sahivi hamna aliejigusa badala yake wanapiga mboyoyo tu hapaView attachment 3223841
Tunataka kila kijiji, mtaa waweze kunywa kahawapunguza bhangi
View attachment 3223859
Hahaha.warangi nawa jua ni....., gusa achia😂
Sawa pongezi kwako semaji ngoja nimwite mkuu Eli Cohen tuone tanaandaaje kijishereehe hata cha maboila wawiliEbwanaaaa eeeh!
Mimi ndo semaji la Chama
Misaada haipo tena, hali itazidi kuwa mbaya, ni vizuri kuwahi mapema vijiwe vya kuchomea mahindi kabla havijafurika.Mkuu mbona unanitoa nje ya mada kisasa? Mimi kujiandaa kwangu ndo kukuomba kazi
huyo ni wa wapi??Hahaha.
Haya bhana rais wa majobless
Hakika ninyi ni ndugu wazuri Sanaa!Sawa pongezi kwako semaji ngoja nimwite mkuu Eli Cohen tuone tanaandaaje kijishereehe hata cha maboila wawili
Naongea kwa uhalisia hao wa huko ndio balaa ni mafisi yaliyojivisha ukondooMakanisani na misikitini.
Huko kwingine utarudi na U.T.I sugu
Sawa EL BUGATTI MANARAEbwanaaaa eeeh!
Mimi ndo semaji la Chama
Naitazama milima, msaada wangu utatoka wapi? Msaada wangu utatoka kwa Mungu!Misaada haipo tena, hali itazidi kuwa mbaya, ni vizuri kuwahi mapema vijiwe vya kuchomea mahindi kabla havijafurika.