Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,590
- 4,244
Na ahidi kukilinda chama na viongozi wake kwa njia yoyote ile, iwe mchana iwe usiku nitakua kazini, kwahiyo ndugu wanachama na viongozi hasa wewe raisi ukilala wewe lala bila stress kwa maana chama kipo kwenye mikono salama ya kiulinzi. 😅😅kuanzia Leo nime kuteua kuwa waziri wa mambo ya ndani, katika chama Cha ma jobless pro max.
Kazi yake kuhakikisha usalama wa chama na viongozi wake.
min -me, makutupora, Bolotoba mwenzetu huyu.