makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Ni ofisi tu ndo hatuna mkuu!Hii imekaa vizuri sana... Kumbe na katiba ipo bhana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ofisi tu ndo hatuna mkuu!Hii imekaa vizuri sana... Kumbe na katiba ipo bhana.
Tumepokea ushauri mkuuZitengenezwe kadi maalum za wanachama
nimeelewaChama chetu kina sera na Katiba!
Chama Cha Majobless hakikumbatii u jobless kama vazi la kuringia!
Chama Cha hiki ni chama chenye muono chanya ambacho kinaamini kuwa u jobless unaweza kuwa ni hatua Moja kabla ya kufikia mafanikio au uhuru wa kiuchumi!
Hivyo Katiba ya Chama hili, Sheria ya 4 ibara ya Tisa inasema;
Nanukuu
"Ili mtu aweze kuwa mwanachama Cha Cha hiki, sharti awe ni mtu asiyekuwa na kazi, ajira, au shughuli yoyote ramsi ya kumuingizia kipatao.
Kwa sababu hili litatusaidia kujua status ya mwanachama na endapo kutatokea fursa yoyote aweze kunufaika nayo"
Hivyo kikubwa uwe una miliki roho na mwili maana yake uwe kiumbe hai!
Kanuni ndogo ya chama inapinga vikali mtu mwenye uwezo na fursa au uhuru wa kiuchumi kuingia katika chama hiki ili kunufaika na chama!
Japo Katiba inaruhusu mtu kujiunga na chama hata kama si jobless kulingana na masharti na matakwa ya Katiba ya Chama!
Samaleko
Tuko pamoja mkuu!nimeelewa
Kama hivi vyote tayari basi ofisi nayo iko njiani.Ni ofisi tu ndo hatuna mkuu!
Wewe endelea kujiita Jobless utafumuliwa matrako ubaki huna marinda, huu muda unaoshinda mitandaoni kutukana ungeutumia kufikiria unajikwamuaje kutoka ktk umasikini wako... Unalia lia kama mtoto wa kike aliyebanwa katika kitanda, amka mtoto wa kiume dunia haichek na wew...Acha usenge bas watu tunauchungu mkali k***lmke ungejua , acha usenge kabisa watu tunapambana k***lmke ila Bado bila bila we unasema fursa fursa gani k***lmke au sbbu we una wajomba wamekuweka apo walipokueka...
Hakika Mungu atatendaaKama hivi vyote tayari basi ofisi nayo iko njiani.
AiseeeeWewe endelea kujiita Jobless utafumuliwa matrako ubaki huna marinda, huu muda unaoshinda mitandaoni kutukana ungeutumia kufikiria unajikwamuaje kutoka ktk umasikini wako... Unalia lia kama mtoto wa kike aliyebanwa katika kitanda, amka mtoto wa kiume dunia haichek na wew...
Ungekuwa una pambana usingelia kisengerema kama vile unainjoi paipu
AMEN 🙏...Aiseeee
Kwa kuwa sera Cha chama chetu haziendani na maudhui yako!
Hatuna kubwa la kukusemea mbele ya Mungu zaidi ya kusema ubarikiwe sana
Sawa ubarikiwe sanaAMEN 🙏...
Sasa msijiite jobless msikate tamaa vijana jishugulisheni... Yaani mchina na mkenya waone fursa ya kufanya umachinga kariakoo... Wewe kijana wa mjini ukae nyumban kwa mume wa dada unalia kazi hakuna...
Salute 🫡 kwa vijana wote walioamua kujishughulisha na kuweka vyeti vyao kabatini bila kujali GPA zao...
kwahiyo mimi nimekuwa kibenteni tenaMsimsahau kiben-10 changu Genius Man kwenye uongozi wenu.
Umetisha mzee baba.Najivunia kuwa mwanachama wa vikundi vyote ulivyovitaja
Eehkwahiyo mimi nimekuwa kibenteni tena
Duh kazi kwel kwel.Wewe endelea kujiita Jobless utafumuliwa matrako ubaki huna marinda, huu muda unaoshinda mitandaoni kutukana ungeutumia kufikiria unajikwamuaje kutoka ktk umasikini wako... Unalia lia kama mtoto wa kike aliyebanwa katika kitanda, amka mtoto wa kiume dunia haichek na wew...
Ungekuwa una pambana usingelia kisengerema kama vile unainjoi paipu
Nkiona mafuta ya nazi au sabuni mara unasoma 5g+, hisia kwa mwanamke za nini wakati sabuni jero tuUmetisha mzee baba.
Sasa utakuwa na hisia na mwanamke kweli mpwa? Au ndo Chaputa ndo mkombozi wako🕶
Utata sio ukorofi, ni misimamo tu.hilo ni jina, kwani we ulivyo jiita Mtata.
Ina maana we mkorofi??
Dah!!!Nkiona mafuta ya nazi au sabuni mara unasoma 5g+, hisia kwa mwanamke za nini wakati sabuni jero tu
Huzuni ya nini badala ya pongezi? Wanwake wengi matapeli kumpata mwema ni bahati nasibuDah!!!
Nimepata huzuni sana.
Haya, mapambano mema