Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

je chama kina faa na kina umuhimu??


  • Total voters
    139
Chama chetu kina sera na Katiba!

Chama Cha Majobless hakikumbatii u jobless kama vazi la kuringia!

Chama Cha hiki ni chama chenye muono chanya ambacho kinaamini kuwa u jobless unaweza kuwa ni hatua Moja kabla ya kufikia mafanikio au uhuru wa kiuchumi!

Hivyo Katiba ya Chama hili, Sheria ya 4 ibara ya Tisa inasema;

Nanukuu

"Ili mtu aweze kuwa mwanachama Cha Cha hiki, sharti awe ni mtu asiyekuwa na kazi, ajira, au shughuli yoyote ramsi ya kumuingizia kipatao.

Kwa sababu hili litatusaidia kujua status ya mwanachama na endapo kutatokea fursa yoyote aweze kunufaika nayo"


Hivyo kikubwa uwe una miliki roho na mwili maana yake uwe kiumbe hai!

Kanuni ndogo ya chama inapinga vikali mtu mwenye uwezo na fursa au uhuru wa kiuchumi kuingia katika chama hiki ili kunufaika na chama!

Japo Katiba inaruhusu mtu kujiunga na chama hata kama si jobless kulingana na masharti na matakwa ya Katiba ya Chama!


Samaleko
nimeelewa
 
Acha usenge bas watu tunauchungu mkali k***lmke ungejua , acha usenge kabisa watu tunapambana k***lmke ila Bado bila bila we unasema fursa fursa gani k***lmke au sbbu we una wajomba wamekuweka apo walipokueka...
Wewe endelea kujiita Jobless utafumuliwa matrako ubaki huna marinda, huu muda unaoshinda mitandaoni kutukana ungeutumia kufikiria unajikwamuaje kutoka ktk umasikini wako... Unalia lia kama mtoto wa kike aliyebanwa katika kitanda, amka mtoto wa kiume dunia haichek na wew...
Ungekuwa una pambana usingelia kisengerema kama vile unainjoi paipu
 
Wewe endelea kujiita Jobless utafumuliwa matrako ubaki huna marinda, huu muda unaoshinda mitandaoni kutukana ungeutumia kufikiria unajikwamuaje kutoka ktk umasikini wako... Unalia lia kama mtoto wa kike aliyebanwa katika kitanda, amka mtoto wa kiume dunia haichek na wew...
Ungekuwa una pambana usingelia kisengerema kama vile unainjoi paipu
Aiseeee

Kwa kuwa sera Cha chama chetu haziendani na maudhui yako!

Hatuna kubwa la kukusemea mbele ya Mungu zaidi ya kusema ubarikiwe sana
 
Aiseeee

Kwa kuwa sera Cha chama chetu haziendani na maudhui yako!

Hatuna kubwa la kukusemea mbele ya Mungu zaidi ya kusema ubarikiwe sana
AMEN 🙏...
Sasa msijiite jobless msikate tamaa vijana jishugulisheni... Yaani mchina na mkenya waone fursa ya kufanya umachinga kariakoo... Wewe kijana wa mjini ukae nyumban kwa mume wa dada unalia kazi hakuna...
Salute 🫡 kwa vijana wote walioamua kujishughulisha na kuweka vyeti vyao kabatini bila kujali GPA zao...
 
AMEN 🙏...
Sasa msijiite jobless msikate tamaa vijana jishugulisheni... Yaani mchina na mkenya waone fursa ya kufanya umachinga kariakoo... Wewe kijana wa mjini ukae nyumban kwa mume wa dada unalia kazi hakuna...
Salute 🫡 kwa vijana wote walioamua kujishughulisha na kuweka vyeti vyao kabatini bila kujali GPA zao...
Sawa ubarikiwe sana
 
Wewe endelea kujiita Jobless utafumuliwa matrako ubaki huna marinda, huu muda unaoshinda mitandaoni kutukana ungeutumia kufikiria unajikwamuaje kutoka ktk umasikini wako... Unalia lia kama mtoto wa kike aliyebanwa katika kitanda, amka mtoto wa kiume dunia haichek na wew...
Ungekuwa una pambana usingelia kisengerema kama vile unainjoi paipu
Duh kazi kwel kwel.
 
Sasa kama kuna shirikisho la vyama vya wafanyakazi TUCTA wanatetea maslahi ya wafanyakazi, na wafanyakazi wa sekta mbalimbali wana vyama vyao vya kuteteana, why kusiwe na chama cha wasio na kazi nao wateteane kwa changamoto wanazozipitia? Jobless nao ni kundi kubwa ndani ya jamii wanastahili kuwa na chama chao cha kuteteana kwa magumu wanayoyapitia
 
Back
Top Bottom