makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
KAULI YA SEMAJI LA CHAMAAAA CHA MAJOBLESS PROMAX.
Ndugu watanzania napenda kuwa hints chache juu ya chama hiki!
Rai yetu na sera yetu ni hii; Upendo, Ushirikiano na Umoja!
Chama hiki Hakina michango na chama hiki si kikundi Cha waasi Bali vijana ambao ni jobless wenye maumivu na hasira yenye mateso yalitokana na ukosefu wa kazi, ajira na fursa!
Hiki ni chama ambacho wanachama wake hawana wajomba, kaka au dada na wazazi matajiri ... Bali hiki ni chama ambacho wanachama mmoja mmoja ndio nguzo na tegemeo la familia zao!
Katika chama hiki wapo waliopata depression kutokana na u jobless wa muda mrefu! Ndio maana sera yetu ni kutiana moyo, kuombeana na ikiwezekana kupeana fursa!
Katika chama hiki wapo waliopoteza wapenzi na watu wao wa karibu kisa tu walionekana hawana mwelekeo wa maisha kwa sababu tu ni majobless!
Hiki si Chama Cha mazwazwa ni chama kilicho na wanachama wenye vipawa, Elimu, ndoto kubwa ambao hawana tu nafasi ya kuvionyesha na kutumia vipawa, karama, Elimu na ndoto walizo nazo!
Mimi kama semaji wa CHAMA hili chini ya uwongozi thabiti wa Rais wa majobless promax Intelligent businessman pamoja na Makamu wake Bolotoba na katibu mkuu wa CHAMA ndugu min -me
Tunawakaribisha sana!
Kumbekeni hatutarudi nyuma! Wala kuacha chama hiki kife kwa sababu Cha kundi dogo la watu wenye fikra finyu na wenye mtazamo hasi na wenye Giza!
Tutavumilia matusi na Spana zetu kwani sisi katika chama hiki tunatambua kuwa
HAKUNA MWANADAMU MKAMILIFU ILA TU WANATOFAUTINA UWAFADHALI
Kidumu chama
Semaji .. samaleko
Ndugu watanzania napenda kuwa hints chache juu ya chama hiki!
Rai yetu na sera yetu ni hii; Upendo, Ushirikiano na Umoja!
Chama hiki Hakina michango na chama hiki si kikundi Cha waasi Bali vijana ambao ni jobless wenye maumivu na hasira yenye mateso yalitokana na ukosefu wa kazi, ajira na fursa!
Hiki ni chama ambacho wanachama wake hawana wajomba, kaka au dada na wazazi matajiri ... Bali hiki ni chama ambacho wanachama mmoja mmoja ndio nguzo na tegemeo la familia zao!
Katika chama hiki wapo waliopata depression kutokana na u jobless wa muda mrefu! Ndio maana sera yetu ni kutiana moyo, kuombeana na ikiwezekana kupeana fursa!
Katika chama hiki wapo waliopoteza wapenzi na watu wao wa karibu kisa tu walionekana hawana mwelekeo wa maisha kwa sababu tu ni majobless!
Hiki si Chama Cha mazwazwa ni chama kilicho na wanachama wenye vipawa, Elimu, ndoto kubwa ambao hawana tu nafasi ya kuvionyesha na kutumia vipawa, karama, Elimu na ndoto walizo nazo!
Mimi kama semaji wa CHAMA hili chini ya uwongozi thabiti wa Rais wa majobless promax Intelligent businessman pamoja na Makamu wake Bolotoba na katibu mkuu wa CHAMA ndugu min -me
Tunawakaribisha sana!
Kumbekeni hatutarudi nyuma! Wala kuacha chama hiki kife kwa sababu Cha kundi dogo la watu wenye fikra finyu na wenye mtazamo hasi na wenye Giza!
Tutavumilia matusi na Spana zetu kwani sisi katika chama hiki tunatambua kuwa
HAKUNA MWANADAMU MKAMILIFU ILA TU WANATOFAUTINA UWAFADHALI
Kidumu chama
Semaji .. samaleko