Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,590
- 4,244
Kidumuuuuu, sawa ndugu raisi 😅😅naam, kidumu chama Cha ma jobless pro max.
Subiri maelekezo zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidumuuuuu, sawa ndugu raisi 😅😅naam, kidumu chama Cha ma jobless pro max.
Subiri maelekezo zaidi.
motivation speaker mkisha Shiba, Mna hara hovyo.Mtoto wa kiume kujiita Jobless maana yake ni bwabwa upo tayari ku risk marinda... Mambo ya jobless waachieni wanawake... Nyie vijana acheni upuuzi, mmesoma mna certificate diploma degree na masters ila mnashindwa kutumia akili zenu kuangalia fursa zinazo wazunguka...
Haiwezekan hapo mtaani kwenu miaka yote mama yako dada yako au jiran zako wanauza mgahawa, mkaa au genge na wamesomesha watoto hadi chuo, wewe kijana unashindwa kuwa mbunifu unajiita jobless...
Fungasha mkaa kwenye package vzuri mteja akija anakuta mkaa upo vzuri kulingana na pesa aliyonayo (usiuze mkaa kama watu wa zamani), fungasha maandazi au matunda au mbogamboga ktk package vzuri mteja akija anunue kulingana na kipato chako...
Mlivyo wapuuzi kutafuta elfu50 ya kwenda kitambaa cheupe kulewa mnaweza ila kutafuta pesa ili muishi vzuri kipato kiongezeke hamuwez...
AJIRA hakuna na zitaendelea kuadimika sana tu, zamani walimu walikuwa wana ajiriwa kwa kubembelezwa sikuhizi lazima ufanye interview na lazima usali sana ukeshe kwa Mwamposa kupata ajira ya ualimu... Nyie hamshituki...????????
Endeleeni kulala kwenye nyumba za urithi mkidhan ajira zitawajia au mtauza hizo nyumba 💩💩 nawaambia mtashangaa mmezeeka mkiwa nyumban mtafukuzwa kama mbwa koko na wajukuu wa wazaz wenu...
WAKE UP TANZANIAN GRADUATES
Yes sijui kutumia lugha nzuri, hii kali ndio naipenda
vijana ni wengi, wasi jali tusipo tosha ndani.Kwako mwenyekiti Intelligent businessman
naam niite raisi wa ma jobless pro maxKidumuuuuu, sawa ndugu raisi 😅😅
Acha usenge bas watu tunauchungu mkali k***lmke ungejua , acha usenge kabisa watu tunapambana k***lmke ila Bado bila bila we unasema fursa fursa gani k***lmke au sbbu we una wajomba wamekuweka apo walipokueka...Mtoto wa kiume kujiita Jobless maana yake ni bwabwa upo tayari ku risk marinda... Mambo ya jobless waachieni wanawake... Nyie vijana acheni upuuzi, mmesoma mna certificate diploma degree na masters ila mnashindwa kutumia akili zenu kuangalia fursa zinazo wazunguka...
Haiwezekan hapo mtaani kwenu miaka yote mama yako dada yako au jiran zako wanauza mgahawa, mkaa au genge na wamesomesha watoto hadi chuo, wewe kijana unashindwa kuwa mbunifu unajiita jobless...
Fungasha mkaa kwenye package vzuri mteja akija anakuta mkaa upo vzuri kulingana na pesa aliyonayo (usiuze mkaa kama watu wa zamani), fungasha maandazi au matunda au mbogamboga ktk package vzuri mteja akija anunue kulingana na kipato chako...
Mlivyo wapuuzi kutafuta elfu50 ya kwenda kitambaa cheupe kulewa mnaweza ila kutafuta pesa ili muishi vzuri kipato kiongezeke hamuwez...
AJIRA hakuna na zitaendelea kuadimika sana tu, zamani walimu walikuwa wana ajiriwa kwa kubembelezwa sikuhizi lazima ufanye interview na lazima usali sana ukeshe kwa Mwamposa kupata ajira ya ualimu... Nyie hamshituki...????????
Endeleeni kulala kwenye nyumba za urithi mkidhan ajira zitawajia au mtauza hizo nyumba 💩💩 nawaambia mtashangaa mmezeeka mkiwa nyumban mtafukuzwa kama mbwa koko na wajukuu wa wazaz wenu...
WAKE UP TANZANIAN GRADUATES
Yes sijui kutumia lugha nzuri, hii kali ndio naipenda
Pole mkuuu!Acha usenge bas watu tunauchungu mkali k***lmke ungejua , acha usenge kabisa watu tunapambana k***lmke ila Bado bila bila we unasema fursa fursa gani k***lmke au sbbu we una wajomba wamekuweka apo walipokueka...
Naam, Leo nitasubiri utambulisho wangu ikibidi hata kwa kukesha 😂😂😂naam niite raisi wa ma jobless pro max
Nenda congo kwanzaNaam, Leo nitasubiri utambulisho wangu ikibidi hata kwa kukesha 😂😂😂
mkuu wengi hata hiyo ya mapato hawana.Jobless!!
Muhimu uwe na kazi halali ya kukuingizia kipato, hayo ya kuajiriwa ofisini kwa sasa inabidi watu wayafute akilini.
M&$nge uyo mtto...watu tunatembea na vitu vingi kwenye roho kuhusu huu msoto wa nje ya mifumo na lyf la bongo ye anaongea vit vya ki&&nge sbbu ana wajomba wamememueka maeneo.Pole mkuuu!
Punguza ukali msamehe bure huyo mtu
aisee acha uoga comradeHilo fuvu kwenye tshet ni linatisha
Naomba chama kinifanyie mpango wa gwanda na nikirudi nitahitaji kupewa wizara ya ulinzi😂😂😂😂Nenda congo kwanza
mwachie mwana chama, atoe maoni yake.Pole mkuuu!
Punguza ukali msamehe bure huyo mtu
mkuu wengi hata hizo mishe hawana, wengine surviving kwa chini ya 2000.Watu wengi siyo majobles kama mnavopotray wengi utakuta;
Wanafanya kazi ambazo hawajasomea unakuta mtu kasomea uhasibu lakini anafanya selling
Mtu anafanya kazi hana mkataba, wengi part time lakini wanajihesabia jobless
ondoa shaka, raisi wa ma jobless pro max nita fikiria.Naomba chama kinifanyie mpango wa gwanda na nikirudi nitahitaji kupewa wizara ya ulinzi😂😂😂😂
hilo ni jina, kwani we ulivyo jiita Mtata.Sasa Intelligent businessman anauaje jobless??.