Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #101
ita kuwa ngano yenye sukari, Kisha Ina kaangwa kwa mafuta😂🤣😀😀 vibanzi ni vitu gani totoo?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ita kuwa ngano yenye sukari, Kisha Ina kaangwa kwa mafuta😂🤣😀😀 vibanzi ni vitu gani totoo?!
vihepe ama vibendo.😀😀 vibanzi ni vitu gani totoo?!
Najiunga na hiki Chama ikipendeza nipeni cheo chochoteraisi wa ma jobless pro max ni Intelligent businessman, makamu wake ni Bolotoba.
katibu wa chama Cha ma jobless ni min -me, msemaji wa ma jobless pro max ni makutupora .
kidumu chama Cha ma jobless pro max.
majukumu ya katibu min -me
Kuongoza na Kuratibu Shughuli za Chama
1.Kusimamia shughuli za kila siku za chama.
1.Kuandaa na kusimamia mikutano ya wanachama.
- Kuhakikisha chama kinafuata katiba na malengo yake.
2. Utetezi na Ushawishi
- Kuandaa na kusambaza maoni ya chama kuhusu ajira na uchumi.
- Kuwasiliana na serikali, sekta binafsi, na mashirika yasiyo ya kiserikali kutafuta fursa za ajira na uwezeshaji.
- Kuendesha kampeni za uhamasishaji kuhusu haki za wasio na ajira.
3. Kupanga na Kusimamia Miradi
- Kutafuta na kuratibu fursa za mafunzo ya ujuzi kwa wanachama.
- Kuanzisha programu za kusaidia wanachama kujiajiri.
- Kusimamia miradi ya chama kama vile vikundi vya ushirika au biashara za pamoja.
4. Uhusiano na Wanachama
- Kuhakikisha wanachama wanapata taarifa muhimu kuhusu maendeleo ya chama.
- Kupokea na kushughulikia maoni na changamoto za wanachama.
- Kuratibu uandikishaji wa wanachama wapya.
*****5. Usimamizi wa Fedha na Rasilimali
- Kusimamia mapato na matumizi ya chama kwa uwazi.
- Kuratibu mbinu za kutafuta fedha kama vile michango, ada za uanachama, na ufadhili
Mimi nasapoti Wazee wa ndoatu , kataa ,ndoa na wengineao siwatambua ni vyuma tu .usi nitafutie sababu ya kuchukiwa na Wana jamii forums.
dogo Kama ume Shiba kalale, maana nita kupiga ngumi ya kidaka tonge niku tapishe.
Ume kosea, labda ni msemo wa huko.vihepe ama vibendo.
kwa lugha yenu warembo mnasema 'chipsi'.
Najivunia kuwa mwanachama wa vikundi vyote ulivyovitajaKwahiyo kuna CHAPUTA, JOBLESS PRO MAX na KATAA NDOA
Haya, mkifika kwenye uhitaji wa michango mtanistua kusudi niwachangie ili muweze kukiendeleza chama chenu.
I guess so, kwa maana sijawahi kuamka asubuhi kuvaa trouser za kutambaa kukimbizana na foleni za kuwahi kazini, sema ujobless nao uko na maana Pana ukichunguza sana unaweza kukuta hata muasisi wa Jf nae ni jobless.😂😂Wewe ni miongoni mwao?
Hizo ndoa bila pesa tutakula magunia?Mimi nasapoti Wazee wa ndoatu , kataa ,ndoa na wengineao siwatambua ni vyuma tu .
mkuu kuwa na cheo, subiri 10 years ahead.Najiunga na hiki Chama ikipendeza nipeni cheo chochote
wakisha kula bhangi, Wana ropoka hovyo😂😁Hizo ndoa bila pesa tutakula magunia?
Mkuu ninao uzoefu ni vile tu hatukupata chama chetumkuu kuwa na cheo, subiri 10 years ahead.
Kama hauwezi kukutanisha mishahara yako jiunge na chama fasta.I guess so, kwa maana sijawahi kuamka asubuhi kuvaa trouser za kutambaa kukimbizana na foleni za kuwahi kazini, sema ujobless nao uko na maana Pana ukichunguza sana unaweza kukuta hata muasisi wa Jf nae ni jobless.😂😂
Viongozi wenu tuna matatizo kushinda nyinyi, hivyo kuwa mpole.Mkuu ninao uzoefu ni vile tu hatukupata chama chetu
Sawa bloh, tukiwa serious tutafika mbaliViongozi wenu tuna matatizo kushinda nyinyi, hivyo kuwa mpole.
Sijawahi kuwa na mshahara ndugu Katibu 😂😂😂😂... Mnanipa kadi namba ngapi?Kama hauwezi kukutanisha mishahara yako jiunge na chama fasta.
chama kiko serious, mikakati IPO.Sawa bloh, tukiwa serious tutafika mbali
Hii tshirt naipataje?Umoja huu ni kwa ajili ya ma jobless pro max wote.bila ya kujali umri, jinsia au hata uzoefu.
Lengo ni kumpa nguvu jobless, kumpa moyo na hata ushauri juu ya yale anayo yapitia.
amini usi amini, Kuna vyama vya kutetea na kusikiliza kero na matatizo ya familia, wafanya kazi, Wana michezo.
ila umoja wa ma jobless haupo, ni Kama hawa onekani.
wanacho pata ni kubezwa, kusemwa na hata kuandamwa kwa maneno.
Mimi Intelligent businessman baada ya kukaa na kutafakari, nika ona kwakuwa hatuna pesa, basi hata kusikiliza na kupeana mawazo ya faraja ni bora zaidi.
tuta jadili, semea na hata kuelimisha mambo chungu nzima yali yomo kwenye u jobless.
kauli mbiu ni umoja, upendo na amani.
hakuna michango.
hakuna pesa za bure
hakuna ubaguzi.
tetea haki ya jobless.
kidumu chama Cha ma jobless pro max .
View attachment 3223638
Upo na "CHAPUTA? NA" KATAA NDOA?chama kiko serious, mikakati IPO.
chaputa raisi wao ni dronedrake, katibu ni mshamba_hachekwi.Upo na "CHAPUTA? NA" KATAA NDOA?
Huo ndio uanaume sasa! Wachache wataelewachaputa raisi wao ni dronedrake, katibu ni mshamba_hachekwi.
mimi niko KATAA NDOA, huko ni katibu mwenezi.