Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,590
- 4,244
😂😂😂nakupa baraka zangu, rih in advance.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂nakupa baraka zangu, rih in advance.
Hongera katibu👍🏻👍🏻Tutazilinda kanunu hizi kwa wivu mkubwa.
- Matumizi ya Lazima Tu
- Pesa zitumike kwenye mahitaji muhimu kama chakula, malazi, na usafiri wa gharama nafuu.
- Hakuna Matumizi kwa Anasa – Hakuna kulipia vinywaji vya watu wengine au kununua zawadi zisizo na faida ya moja kwa moja.
- Tumia Mbinu za Akili – Tumia promosheni, punguzo, na ofa za bure kila inapowezekana.
- Tafuta Njia za Kuepuka Gharama – Kama unaweza kutengeneza kitu mwenyewe au kupata mbadala wa bei rahisi, usinunue ghali.
- Hakuna Matumizi Yasiyo na Faida – Kulipia tarehe za gharama kubwa au matumizi yasiyo na mrejesho wa kifedha ni marufuku.
- Usishindane kwa Matumizi – Wanaume wa chama hiki hawaonyeshi pesa kwa matumizi ya hadharani; badala yake, huwekeza au kuhifadhi.
- Fedha ni Silaha, Sio Kitu cha Kuitapanya – Lengo ni kuwa na uhuru wa kifedha, si kushindana kwa ununuzi wa vitu vya kifahari.
- Jifunze Kusema ‘Hapana’ – Misingi ya chama hiki ni kuwa na nidhamu ya kusema "hapana" kwa matumizi yasiyo na ulazima.
- Jua Njia za Kuepuka Kudaiwa Malipo – Kuwa na mbinu za kuepuka kugharamia bili zisizo zako.
- Uaminifu kwa Wana Chama – Mwanaume bahili hatamwacha mwenzake aonekane anatumia pesa hovyo mbele ya wengine.
mkuu hizo ni harakati Kama harakati nyingine.Na ukiwa unajibetia nayo inahesabika vipi..
Matajiri wa jamii forum kwanini mnatukatisha tamaa? Au hamtaki tufikie uchumi wa blue kama kama nyie?Hizi zote zitakuwa porojo kama jobless atachagua mishe ya kufanya ausiyo bhana.
Itapendeza sana mkiangalia namna ya kuweka wawakilishi ili wawe wanatoa updates za minuso katika mitaa mbalimbali😂😂😂Hiyo ni nzuri sana mkuu, tutaliingaliza pia tulijadili ndani ya kamati kuu .
Naam kidumu kizidi kuwa Pro maximumnaam, forever I mean no malice to nobody.
Kidumu chama Cha ma jobless pro max
Asante Mkuu, nimeuliza tu maana huku JF kazi ya ualimu inasemekana si kazi!!hapana, mwalimu sii jobless.
jobless maana yake Hana ajira au chanzo Cha mapato.
aisee, 😂 😂Naam kidumu kizidi kuwa Pro maximum
hiyo ni kazi, sema maslahi si rafiki.Asante Mkuu, nimeuliza tu maana huku JF kazi ya ualimu inasemekana si kazi!!
Mwakasege Jr hujamboSiku nikiona mnapeana michongo badala ya kuchekelea dhiki zenu nitajiunga na chama.
Ina maana gani? Kama mtu hana mipango wala mipangilio hata akipokea take home 2M.. bado atapoteanahiyo ni kazi, sema maslahi si rafiki.
🤣Siku nikiona mnapeana michongo badala ya kuchekelea dhiki zenu nitajiunga na chama.
Wewe ni miongoni mwao?Ila majobless siku hizi ndio wanaongoza kuwa na pesa😅
SivyooMatajiri wa jamii forum kwanini mnatukatisha tamaa? Au hamtaki tufikie uchumi wa blue kama kama nyie?
Michogo itakuwepo ila kama chama tumekubaliana iwe classified kwa wana chama pekee.Siku nikiona mnapeana michongo badala ya kuchekelea dhiki zenu nitajiunga na chama.
dp, si Bora hao. wapo nawa jua wana pokea laki 5-7.Ina maana gani? Kama mtu hana mipango wala mipangilio hata akipokea take home 2M.. bado atapoteana
😀😀 vibanzi ni vitu gani totoo?!sijambo
uje nikununulie vibanzi mrembo wangu.
usi nitafutie sababu ya kuchukiwa na Wana jamii forums.Mimi muasi sipendi Amani iwepo nabeba Gun Machine nakuja kuharibu hiki chama.