Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

je chama kina faa na kina umuhimu??


  • Total voters
    139
Sasa kama kuna shirikisho la vyama vya wafanyakazi TUCTA wanatetea maslahi ya wafanyakazi, na wafanyakazi wa sekta mbalimbali wana vyama vyao vya kuteteana, why kusiwe na chama cha wasio na kazi nao wateteane kwa changamoto wanazozipitia? Jobless nao ni kundi kubwa ndani ya jamii wanastahili kuwa na chama chao cha kuteteana kwa magumu wanayoyapitia
Hakika mkuu umenena vyemaaa

Umeniongezea pwentii Mimi semaji za kukusemea chama
 
Sasa kama kuna shirikisho la vyama vya wafanyakazi TUCTA wanatetea maslahi ya wafanyakazi, na wafanyakazi wa sekta mbalimbali wana vyama vyao vya kuteteana, why kusiwe na chama cha wasio na kazi nao wateteane kwa changamoto wanazozipitia? Jobless nao ni kundi kubwa ndani ya jamii wanastahili kuwa na chama chao cha kuteteana kwa magumu wanayoyapitia
naam Asante kwa kuwa muelewa.
 
Hii imekaa vizuri, ila msemaji naomba useme neno kwa mtu ambae alikua jobless jana akajiunga na chama halafu kesho yake akapata kazi ambayo kwa tathmin yake na kwa vigezo vyake inaonekana si kazi ya kijobless, vipi atatimuliwa kwenye chama au 😂😂😂😂
Huyo ana weza kuwa mshauri na mtoa michango wa chama.
 
kuanzia Leo nime kuteua kuwa waziri wa mambo ya ndani, katika chama Cha ma jobless pro max.

Kazi yake kuhakikisha usalama wa chama na viongozi wake.
min -me, makutupora, Bolotoba mwenzetu huyu.
Mimi semaji la chama Napenda Kutangaza taarifa kwa umma kuwa Mh. Rais amemteua ndugu Thecoder kuwa waziri wa mambo ya ndani katika chama Cha Majobless Promax .

Ameanza majukumu yake baada tu ya uteuzi huu!

Semaji la chama Cha Majobless Promax
Samaleko
 
Back
Top Bottom