Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

je chama kina faa na kina umuhimu??


  • Total voters
    139
Kwa hiyo kaka umeona chama kikose mwanasheria 😃😃
 
Mkuu hiyo hoja ya kutafuta fursa za ajira katika serikali na sekta binafsi ifutwe, tutawapoteza wanachama wengi sana. Ikitokea tukakubaliwa nani atakuwa jobless?

Anyway mm ni mtunza hazina wa chama, natunza kumbukumbu tu maan hela hatuna
Mkuu unadhani hata Hawa wakiisha, hao waliopo chuoni si majobless watarajiwaaa?

Wakiwa wengi sana pasipo kupata ajira!

Watatupinduaa ... Tumbo lenye njaa linakubali chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…