Smooth Criminal
JF-Expert Member
- May 13, 2024
- 437
- 867
Ewaaaah nipo hapa Mh. Rais!
Ndugu Smooth Criminal nimeyapokea maoni yako!
Lakini ni muhimu kuzingatia sera za chama na katiba yake!
Ukikidhi vigezo kwa kuwa nafasi hii nyeti sana utaipata!
Ila kumbuka chama Hakina michango Hawa ni jobless
Najazia nyamanyama kidogo.Najitahidi kuyatimiza yote kwa wakati, kikubwa uhai tu
Sawa semajiMimi Sina hiyana na mtu!
Chama kinahitaji nguvu kazi badooo
Asemalo ni kweli kabisa u aoaje wakati wee mwenyewe ata kununua boxer mpya unashindwa.....unaishia tamani tako la mama wa kambo
Hili nimelibebaa mkuu! Mimi kama semaji ntakupigia debe maana una serving heartNatambua majukumu yangu msemaji wetu, jukumu langu ni kutunza muda na kumbukumbu tu, pesa hatuna we are jobless.
Anyway, kwenye chaguzi mnimakinikie sana, nimemaliza kampeni zangu
Ulikuwa kwenye sauna eh?Nilichelewa
Ila weweAsemalo ni kweli kabisa u aoaje wakati wee mwenyewe ata kununua boxer mpya unashindwa.....unaishia tamani tako la mama wa kambo
Mweee! Wanawake tajiri wabaya kwa sura na kwa umboIla wewe
Si unatafuta mke tajiri, boxer atakununulia tu
Kwanini? hilo kabila wanaitwa wanyambwa nini asili yake au 🤣huwa wanajamba sana🤔Mie niko Dodoma ila sikushauri uoe mrangi, bora mgogo au mnyambwa
punguza sauti, wajumbe wasi seme una tamaa😆🙄Nasubiri teuzi aisee 😋
Zingatia maneno yako mh. Makamu!Kwanini? hilo kabila wanaitwa wanyambwa nini asili yake au 🤣huwa wanajamba sana🤔
Shabash😆😆😆Asemalo ni kweli kabisa u aoaje wakati wee mwenyewe ata kununua boxer mpya unashindwa.....unaishia tamani tako la mama wa kambo
Shit 😂 😂Najazia nyamanyama kidogo.
Hivyo vyote vinaingiliana ukiwa, jobless pro max actually huezi kuoa so uta kataa ndoa na kujikuta unaingia chama Cha dronedrake chaputa😂😂 jokin🙌🏿
kalewa madaraka 😂😆Zingatia maneno yako mh. Makamu!
Wewe ni kiooo kwa wanachama wapya 😂
Wewe...kha!!Kwanini? hilo kabila wanaitwa wanyambwa nini asili yake au 🤣huwa wanajamba sana🤔
Utavumilia si unataka kutunzwa😃Mweee! Wanawake tajiri wabaya kwa sura na kwa umbo
Na Hapo ana afutatuuu tu mfukoni ya kazi ya kupruniiiikalewa madaraka 😂😆
😎🤏umesikika. Kidumu chama Cha majobless pro max ✊🏿punguza sauti, wajumbe wasi seme una tamaa😆🙄
danganyaneni😂😆Hili nimelibebaa mkuu! Mimi kama semaji ntakupigia debe maana una serving heart
Chaputa mnatumalizia mafuta na sabuni dukani.Najazia nyamanyama kidogo.
Hivyo vyote vinaingiliana ukiwa, jobless pro max actually huezi kuoa so uta kataa ndoa na kujikuta unaingia chama Cha dronedrake chaputa😂😂 jokin🙌🏿