Smooth Criminal
JF-Expert Member
- May 13, 2024
- 437
- 867
Natambua majukumu yangu msemaji wetu, jukumu langu ni kutunza muda na kumbukumbu tu, pesa hatuna we are jobless.
Anyway, kwenye chaguzi mnimakinikie sana, nimemaliza kampeni zangu
Anyway, kwenye chaguzi mnimakinikie sana, nimemaliza kampeni zangu
Ewaaaah nipo hapa Mh. Rais!
Ndugu Smooth Criminal nimeyapokea maoni yako!
Lakini ni muhimu kuzingatia sera za chama na katiba yake!
Ukikidhi vigezo kwa kuwa nafasi hii nyeti sana utaipata!
Ila kumbuka chama Hakina michango Hawa ni jobless