Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

je chama kina faa na kina umuhimu??


  • Total voters
    139
Nani anataka mwanaume kapuku usawa huu wa tiktok?
Mie mwenyewe mshangazi lakini napenda pesa na uzee wangu wote huu
then hustle uzi pate, kingine si wengine tusha zoea kuishi normal.

can't spend kwenye mtu, ambaye kitu pekee ana offer ni......
wapo ambao you feel proud hata kumleta nyumbani kwako.
 
Mungu atafanya njia! Tutakovuka hili kiunziiii! wakati ni sahihi.

Mbali u jobless tulionao Bado tunalotumaini kwake! Kwamba yeye si Mungu mwenye choyo.

Ntaanza kufunga na kuomba kwa ajili ya Majobless wenzangu! Maana neno linasema "Kwa namna hii haiwezekani Bali kwa kufunga na kuomba'"
Limepita hilo, tukumbushane tuwe wengii.
 
Mungu atafanya njia! Tutakovuka hili kiunziiii! wakati ni sahihi.

Mbali u jobless tulionao Bado tunalotumaini kwake! Kwamba yeye si Mungu mwenye choyo.

Ntaanza kufunga na kuomba kwa ajili ya Majobless wenzangu! Maana neno linasema "Kwa namna hii haiwezekani Bali kwa kufunga na kuomba'"
Ameen
 

Screenshot_20250204-004916_1.jpg
 
Back
Top Bottom