min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Hapana mkuu mapumziko mafupi yasiyokua na malipo ili vinywaji changamshi vipungue kichwani kwanza😆yaani ustaafau au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu mapumziko mafupi yasiyokua na malipo ili vinywaji changamshi vipungue kichwani kwanza😆yaani ustaafau au?
nakupa masaa mawili, Kisha urudi chamani 😂Hapana mkuu mapumziko mafupi yasiyokua na malipo ili vinywaji changamshi vipungue kichwani kwanza😆
Kabisa Mwenyekiti hapo kichwa itakua imewaka kabisa 😆nakupa masaa mawili, Kisha urudi chamani 😂
usije uka sema Siri za chama 😂😂Kabisa Mwenyekiti hapo kichwa itakua imewaka kabisa 😆
Ko una taka kazi ya kukaa juu ya kiti, haya kabeti🤣😂
Zege kwa siku elfu 20 mkuu mwambie fundi aache ujingaMajobless kuna tenda ya kumwaga zege hapa kwetu per day bbuku 10
Mpigie fundi 0755417046
Poa poa mkuu saluteOya Kuna deal nime kutag, angalia ka una weza. Kisha mpigie fundi.
pamoja SanaPoa poa mkuu salute
Mkuu hapo sawa naahidi kuratibu mipango ya chama kwa weledinwa Hali ya juu😎🤏
naam hilo muhimu sana.Mkuu hapo sawa naahidi kuratibu mipango ya chama kwa weledinwa Hali ya juu😎🤏
dah we Jamaa, ko ana tuibia ehh 🤣Zege kwa siku elfu 20 mkuu mwambie fundi aache ujinga
Tunakuahidi waziri wa mambo ya ndani wa majobless pro maxSalama sana ndugu raisi, nikiwa kama waziri wa mambo ya ndani wa chama chetu cha majobless pro max.
Nipende kuwakaribisha kwenye chama ndugu Selikavu pamoja na Edo kissy niwaambie tu karibuni sana lakini team yangu itaendelea kuwafanyia uchunguzi ili tujiridhishe zaidi na utiifu wenu na unyenyekevu kwaajiri ya maendeleo ya chama chetu.😂😂😂
Unalijua jiko la zege mzee? Ile ndo kazi ngumu kuliko zote kwenye tasnia hiyodah we Jamaa, ko ana tuibia ehh 🤣
Nitawatangazia umma muda si mrefu
Pesa za hayo magari mnatoa wapi na hamna kazi?Nmejibu kwa swali lako jingine soma tena.
Ko ume tukataa mwanetu 😂Kuna utofauti kati ya jobles na unemployed. Mm sio jobles mm ni unemployed lakin sipo kwemye job seeking kama walivyo jobles