Ewe Jobless usiwahi haribu au katisha maisha yako kisa changamoto yoyote

Ewe Jobless usiwahi haribu au katisha maisha yako kisa changamoto yoyote

Uzi huu ni Kwa ajili ya wanachama wa chama Cha ma jobless pro max, lengo ni kuzungumzia suala fulani la kimawazo au kimaamuzi linalo fanywa na ma jobless.

Siku za hivi karibuni nime kuwa niki Soma taarifa, nyuzi au hata kuji onea kwa macho baadhi ya matukio ambayo yana umiza roho au nafsi kiukweli. Katika kufatilia, kusikia na hata Kwa kuambiwa, matukio mengi yana fanywa na ma jobless pro max. (Ina sikitisha sana).

Hivyo siko hapa kukupa moyo ewe jobless, bali nasema ukweli fulani ili uamue kipi ni bora kwa upande wako.

1. kuteseka sana haikupi uhakika wa kufanikiwa, ewe jobless elewa huyadai maisha hivyo unapo ona hali ni ngumu hicho sio kigezo Cha kupata urahisi baadae. Unaweza teseka na bado usi fanikiwe, nime shuhudia watu baadhi wali kuwa masikini na bado ni masikini wa kutupwa hivyo elewa hili na usi jipe moyo sana.

2. Wengi tuna penda matokeo na sio hatua zenyewe, vijana wengi tuna penda kuona tukiwa na pesa, nyumba na wengine waki tamani kufanya starehe hapa na pale.

Ila kiuhalisia hizo pesa, bata, nyumba ni matokeo ya sehemu ndogo ya utafutaji wenyewe.
we mwenyewe hushangai una tafuta hela kwa muda mrefu halafu mchongo una tiki siku 1 labda katika miezi 6? Hiyo miezi mwingine haina maana ni uzembe bali ni hatua za juhudi zako.

3. Kila mtu ana matatizo yake, amini usi amini no one is safe kuanzia matajiri, raisi, masikini na hata majobless kila mmoja ana mambo yana mpa wakati ngumu, ukilielewa hili, basi uta jua kwamba hicho unacho kipitia wengine wana tamani wange kuwa na nafasi Kama yako.

4. Tembelea hospitali ukaone wenye matatizo zaidi yako, hebu Mara 1 nenda hospital yoyote kubwa nenda kaji ones watu waki pambania nafsi zao. Kuna watu hata kuamka hawawezi, kupumua wana tumia mashine, kula chakula mpaka mipira aisee. Wengine hizo bili za hospital walisha zikimbia, halafu we una lalamika eti life ain't good.

5. Fikiria familia yenu kabla ya kuchukua maamuzi, Kama huwezi kuji fikiria basi ihurumie hata familia yenu, hao wadogo zako wata pambaniwa na nani? Fikiria mdogo wako wa miaka 10, 7, 6 au 3 ata jifunza nini kupitia maamuzi yako!.

6. Zungumza na watu upate utatuzi, kukaa kimya na tatizo sio ushujaa au ndio kuwa nunda. Ongea na watu ili angalau upate ushauri au utatuzi wa changamoto zako.
(I'm available 24/7 sio kukupa hela, ni kujaribu ku share life experience).

Nimeongea kwa uzoefu wa kimaisha na kimaamuzi (binafsi).

Mwenye kibarua naomba anisaidie walau nipate mtaji.
 
Pia tutumie wasaa huu kuwakumbusha jobless kuwa tunapojitolea kuwapa nafasi za kazi hata kama mshahara mdogo wajitahidi sana kuheshimu nafasi walizopewa sababu hata sisi tunapambana sana kuwatafutia hizi nafasi ndogo za ajira.

Unakuta mtu anakudharau sababu wewe mtanzania mwenzake unamlipa 100K,200K au 300K kama mshahara bila makato. Ila anadharau hiyo nafasi na kuanza kukufanyia vituko siku chache baada ya kumpa nafasi ya kazi anaharibu kazi makusudi, naleta ajizi,mara uzembe,uvivu,viburi,ujuaji ,udokozi, matokeo anaharibu mahusiano yenu na kukurudisha nyuma plus majuto.

Hii kitu inatufanya kukosa moyo wa kujitolea hata unapowaona wanateseka mtaani maana unajua unakaribisha matatizo kwenye shughuli zako. Unaamua yale majukumu kufanya mwenyewe hata kama yanakuelemea.

Vijana mnapopewa nafasi ya kazi hata kama mshahara haukidhi matarajio yako haimaanishi sasa uanze kuwa mkorofi. Its better kuiambia akili yako nje ya hii kazi una maisha gani,why ndani ya muda mfupi umeshakata tamaa na hata haujaonyesha uwezo wako na mchango wako wa kutosha kwa mtu aliyekupa nafasi?

Mbona bila hiyo ajira unazurura tu mtaani na kuishia kuomba omba tu au kupiga dili ambazo hazina uhakika wa kuwapo kila siku. Why mnafosi kutoboa kwa nguvu namna hiyo. Kijana mdogo wa miaka 18 hadi 30 unakimbilia wapi?

Unatazama sana maisha ya mtandaoni ndio maana unahisi unachelewa sehemu si ndio?🤔

MUNGU awapambanie sana majobless mjitambue pale ambapo watu wanawashika mkono.
 
Pia tutumie wasaa huu kuwakumbusha jobless kuwa tunapojitolea kuwapa nafasi za kazi hata kama mshahara mdogo wajitahidi sana kuheshimu nafasi walizopewa sababu hata sisi tunapambana sana kuwatafutia hizi nafasi ndogo za ajira.

Unakuta mtu anakudharau sababu wewe mtanzania mwenzake unamlipa 100K,200K au 300K kama mshahara bila makato. Ila anadharau hiyo nafasi na kuanza kukufanyia vituko siku chache baada ya kumpa nafasi ya kazi anaharibu kazi makusudi, naleta ajizi,mara uzembe,uvivu,viburi,ujuaji ,udokozi, matokeo anaharibu mahusiano yenu na kukurudisha nyuma plus majuto.

Hii kitu inatufanya kukosa moyo wa kujitolea hata unapowaona wanateseka mtaani maana unajua unakaribisha matatizo kwenye shughuli zako. Unaamua yale majukumu kufanya mwenyewe hata kama yanakuelemea.

Vijana mnapopewa nafasi ya kazi hata kama mshahara haukidhi matarajio yako haimaanishi sasa uanze kuwa mkorofi. Its better kuiambia akili yako nje ya hii kazi una maisha gani,why ndani ya muda mfupi umeshakata tamaa na hata haujaonyesha uwezo wako na mchango wako wa kutosha kwa mtu aliyekupa nafasi?

Mbona bila hiyo ajira unazurura tu mtaani na kuishia kuomba omba tu au kupiga dili ambazo hazina uhakika wa kuwapo kila siku. Why mnafosi kutoboa kwa nguvu namna hiyo. Kijana mdogo wa miaka 18 hadi 30 unakimbilia wapi?

Unatazama sana maisha ya mtandaoni ndio maana unahisi unachelewa sehemu si ndio?🤔

MUNGU awapambanie sana majobless mjitambue pale ambapo watu wanawashika mkono.
Samahani, ukipata nafasi ya kazi naomba unisaidie kuni connect Boss.
 
Pia tutumie wasaa huu kuwakumbusha jobless kuwa tunapojitolea kuwapa nafasi za kazi hata kama mshahara mdogo wajitahidi sana kuheshimu nafasi walizopewa sababu hata sisi tunapambana sana kuwatafutia hizi nafasi ndogo za ajira.

Unakuta mtu anakudharau sababu wewe mtanzania mwenzake unamlipa 100K,200K au 300K kama mshahara bila makato. Ila anadharau hiyo nafasi na kuanza kukufanyia vituko siku chache baada ya kumpa nafasi ya kazi anaharibu kazi makusudi, naleta ajizi,mara uzembe,uvivu,viburi,ujuaji ,udokozi, matokeo anaharibu mahusiano yenu na kukurudisha nyuma plus majuto.

Hii kitu inatufanya kukosa moyo wa kujitolea hata unapowaona wanateseka mtaani maana unajua unakaribisha matatizo kwenye shughuli zako. Unaamua yale majukumu kufanya mwenyewe hata kama yanakuelemea.

Vijana mnapopewa nafasi ya kazi hata kama mshahara haukidhi matarajio yako haimaanishi sasa uanze kuwa mkorofi. Its better kuiambia akili yako nje ya hii kazi una maisha gani,why ndani ya muda mfupi umeshakata tamaa na hata haujaonyesha uwezo wako na mchango wako wa kutosha kwa mtu aliyekupa nafasi?

Mbona bila hiyo ajira unazurura tu mtaani na kuishia kuomba omba tu au kupiga dili ambazo hazina uhakika wa kuwapo kila siku. Why mnafosi kutoboa kwa nguvu namna hiyo. Kijana mdogo wa miaka 18 hadi 30 unakimbilia wapi?

Unatazama sana maisha ya mtandaoni ndio maana unahisi unachelewa sehemu si ndio?🤔

MUNGU awapambanie sana majobless mjitambue pale ambapo watu wanawashika mkono.
Umenena vyema
 
NENO LA KUWATIA MOYO MAJOBLESS - KUTOKA KWA SEMAJI LA CHAMAAAA CHA MAJOBLESS

Naelewa by experience magumu na maumivu wanayopitia jobless wenzangu! Si swala la utani wa si swala la beza.

Kule nyumbani Tanga, tuna msemo unasema "Ukitaka kuyajua maumivu ya kuungua, ingiza mkono kwenye moto unaopikia kahawa"

Sikumbuki ni lini! Ila nilikuwa ni mmoja wapo wa jobless ambaye nimekata Tama sana, kiwango changu Cha kukata tamaa kulikuwa ni kikubwa kiasi cha kutamani kifo kuliko kuishi!

Kwenye Biblia ipo habari ya Ayubu, Moja ya maneno aliyowahi kuyasema Kipindi anapita Nyakati Ngumu ni haya;

Ayubu 7:15
[15]Hata nafsi yangu huchagua kunyongwa,
Na kuchagua kifo kuliko maumivu yangu haya.

So that my soul chooseth strangling, and death rather than my life.

Lakini pasipo aibu wala kujificha niliyasema maumivu yangu Kwa ndugu zangu Hawa ambao ki ukweli hata hatujuaji Intelligent businessman Edo kissy Bolotoba Monetary doctor na wengine ambao tuchat mpk PM

walinitia moyo na kunipa faraja kubwa sana. Mawazo ya kujikataa na kujichoka yakaondoka!


Mbali na maumivu makali niliyo nayo Bado Nina amini sana ninayo kesho iliyo njema! Ninazidi kuimarika kila siku! Mawazo ya kufa yameondokaa!

Ninaamini Kuna njia mtu hupita ili kuyafikia mafanikio yake yalipo, ambayo njia hiyo ni maumivu.

Si tu kama magumu na maumivu yanatughafirisha mioyo Bali ni ukweli kwamba, hata maumivu ni mwalimu anayeweza kutufundisha na kutuandaa kwa ajili ya mafanikio!

Katika Mapito haya niliyo nayo na ambayo Nina amini hayatadumu milele nimejifunza mengi, na nimeimarika sana!

Kuna muda Huwa nikijifanyia Tathimini Binafsi pasipo kijionea huruma ninakubali kuwa ilikuwa ni lazima nipite haya ninayopitia kwani kama ningeyapata mafanikio ya ki maisha kabla ya kupita Mapito haya ningekuwa mwenye kiburi, nisingekuwa na utu kwa wengine, ningekuwa si mtu mwenye nidhamu katika matumizi ya fedha!

Ni pagumu ila nimekataa kukata tamaa!

Ni pagumu ila nimechagua kuyafanya magumu ninayopitia kama darasa!

Nadiriki kusema! Nina amini kesho yangu ni njema sana
Barikiwa sana semaji, mitano tena 😂
Tusikate tamaa
 
Back
Top Bottom