Ewe kijana kabla haujafungua biashara yako katafute kwanza kinasa wateja. Utanishukuru baadaye

Ewe kijana kabla haujafungua biashara yako katafute kwanza kinasa wateja. Utanishukuru baadaye

Thats fucking weak mkuu,haya ukifanikiwa utajifia nn Sasa?Mfano eti Kuna mtu anatumia mitishamba Ili kupata mademu yaani Hadi nawahurumia,Sasa utajivunia uwezo upi ulionao kama Kila kitu unaenda Kwa waganga?Hii Inamaanisha hata vyuoni kufaulu umeloga,kupata mchumba na kazi umeloga,kwenye ndoa umeloga Sasa ukiangalia unafaida Gani duniani?
watu kama hawa miyeyusho sana wakiona mtu tajiri wanajua karoga kama wao
 
Thats fucking weak mkuu,haya ukifanikiwa utajifia nn Sasa?Mfano eti Kuna mtu anatumia mitishamba Ili kupata mademu yaani Hadi nawahurumia,Sasa utajivunia uwezo upi ulionao kama Kila kitu unaenda Kwa waganga?Hii Inamaanisha hata vyuoni kufaulu umeloga,kupata mchumba na kazi umeloga,kwenye ndoa umeloga Sasa ukiangalia unafaida Gani duniani?
Kwel bwana, kuna vitu hata huwez kujisifia ukivipata sababu tu ya namna iliyotumika kuvipata
 
Mimi sio mchoyo nawasanua vijana.

Haijarishi unaanzisha genge, duka la mangi, banda la chipsi, kuuza mitumba, hata iwe kuuza pipi n.k hakikisha unatafuta kwanza kinasa wateja .
Mambo ya customer care, location, research , demand and suply watakazokuambia humu hazina nguvu huku mtaani ziache kwenye vitabu huko huko.

Yaliwahi kunikuta mwaka 2020 Kutokupata wateja kuanzia asubuhi hadi jioni baadhi ya siku kwenye huo uzi watu wameleta mpaka statics za USA na blah blah kibao mwingine akawa analeta mfano wa matrekta na ujinga ujinga meingi kilichotokea biashara ilifirisika wateja sifuri nilikuwq nashinda kwenye fremu asbh mpaka jioni bila bila ila wenzangu biashara hiyo hiyo wanauza kwq pembeni nikahama location lakini hali hiyo hiyo.

Ukweli nilikuja kuujua baadae

Ushauri wangu kwenu kabla haujaanzisha biashara katafute kinasa wateja, usilete ulokole kwenye biashara.

Uzi nilioleta mwaka 2020 kuomba ufafanuzi na ushauri soma hapo chini
Mzee acha mawazo ya kishirikina hufiki mbali. Maisha hayana formula so utakavyotoka wewe sivyo atakavyotoka mwenzio.
 
Inawezekana changamoto ni ubunifu, ulienda kufungua biashara hiyohiyo ya wenzio uliowakuta. Unajua hata hao uliowakuta walitumia muda Gani mpaka kupata wateja?
 
Thats fucking weak mkuu,haya ukifanikiwa utajifia nn Sasa?Mfano eti Kuna mtu anatumia mitishamba Ili kupata mademu yaani Hadi nawahurumia,Sasa utajivunia uwezo upi ulionao kama Kila kitu unaenda Kwa waganga?Hii Inamaanisha hata vyuoni kufaulu umeloga,kupata mchumba na kazi umeloga,kwenye ndoa umeloga Sasa ukiangalia unafaida Gani duniani?
[emoji23][emoji23]

Kwamba kila kitu yeye analoga
 
Mafanikio kwenye biashara yanategemea nguvu ya kiroho uliyonayo Mungu anatoa baraka na shetani pia atakusaidia kupata pesa zenye masharti

Ukiwa na nguvu ya kiroho sio kwamba wateja ndio wanaongezeka hapana ukiwa na nguvu ya kiroho unakuwa na maarifa makubwa na utajua namna kuiendesha hiyo biashara yako kwa mafanikio
Yaaani wewe dogo sijui akili zako zipoje...kwenye biashara kinachohitajika ni wateja tu na sio maarifa wala upuuzi kama unaoutaja wewe
 
A man becomes what he thinks most of time....

Imagination is the faculty of mind....

Your thoughts shape your life...

The principal of life is the principal of belief...
 
Back
Top Bottom