Haijarishi unaanzisha genge, duka la mangi, banda la chipsi, kuuza mitumba, hata iwe kuuza pipi n.k hakikisha unatafuta kwanza kinasa wateja.
Mambo ya customer care, location, research, demand and suply watakazokuambia humu hazina nguvu huku mtaani ziache kwenye vitabu huko huko.
Yaliwahi kunikuta mwaka 2020 Kutokupata wateja kuanzia asubuhi hadi jioni baadhi ya siku kwenye huo uzi watu wameleta mpaka statics za USA na blah blah kibao mwingine akawa analeta mfano wa matrekta na ujinga ujinga meingi kilichotokea biashara ilifirisika wateja sifuri nilikuwq nashinda kwenye fremu asbh mpaka jioni bila bila ila wenzangu biashara hiyo hiyo wanauza kwq pembeni nikahama location lakini hali hiyo hiyo.
Ukweli nilikuja kuujua baadae.
Ushauri wangu kwenu kabla haujaanzisha biashara katafute kinasa wateja, usilete ulokole kwenye biashara.
Uzi nilioleta mwaka 2020 kuomba ufafanuzi na ushauri soma hapo chini
Hahahah Itakuwa sie wauza vijora na mifuko ya 'shangazi kaja'Hivi kweli mkuu kwa akili yako unazani wafanya biashara wakubwa wa matrekta wanaweza kuanzisha uzi kama huu? Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
😀 😀 😀 nna hii mkuu ni baada ya kuanguka kabisa ndo ukaanza kujitafta na kuujua ukweli, pole pia mana sio wewe tu uliepitia huo msuko suko niongezee jamba biashara inataka uchanguzi ulio sahihi ni uwe upande wa mganga au upande wa Mungu ila wengi wetu upande wa Mungu unatushinda kwa sababu ya maasi mengi tuliyo nayo na yanayo tuzunguka hivo basi kwa njia rahisi kabisa we upate tu connection ya mganga mzuri tu basi hapo utaweza kuishi kwene biashara na itakutoa vizur kabisa 👊
😀 😀 😀 nna hii mkuu ni baada ya kuanguka kabisa ndo ukaanza kujitafta na kuujua ukweli, pole pia mana sio wewe tu uliepitia huo msuko suko niongezee jamba biashara inataka uchanguzi ulio sahihi ni uwe upande wa mganga au upande wa Mungu ila wengi wetu upande wa Mungu unatushinda kwa sababu ya maasi mengi tuliyo nayo na yanayo tuzunguka hivo basi kwa njia rahisi kabisa we upate tu connection ya mganga mzuri tu basi hapo utaweza kuishi kwene biashara na itakutoa vizur kabisa 👊
Haijarishi unaanzisha genge, duka la mangi, banda la chipsi, kuuza mitumba, hata iwe kuuza pipi n.k hakikisha unatafuta kwanza kinasa wateja.
Mambo ya customer care, location, research, demand and suply watakazokuambia humu hazina nguvu huku mtaani ziache kwenye vitabu huko huko.
Yaliwahi kunikuta mwaka 2020 Kutokupata wateja kuanzia asubuhi hadi jioni baadhi ya siku kwenye huo uzi watu wameleta mpaka statics za USA na blah blah kibao mwingine akawa analeta mfano wa matrekta na ujinga ujinga meingi kilichotokea biashara ilifirisika wateja sifuri nilikuwq nashinda kwenye fremu asbh mpaka jioni bila bila ila wenzangu biashara hiyo hiyo wanauza kwq pembeni nikahama location lakini hali hiyo hiyo.
Ukweli nilikuja kuujua baadae.
Ushauri wangu kwenu kabla haujaanzisha biashara katafute kinasa wateja, usilete ulokole kwenye biashara.
Uzi nilioleta mwaka 2020 kuomba ufafanuzi na ushauri soma hapo chini
Hahahah Itakuwa sie wauza vijora na mifuko ya 'shangazi kaja'Hivi kweli mkuu kwa akili yako unazani wafanya biashara wakubwa wa matrekta wanaweza kuanzisha uzi kama huu? Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
😀 😀 😀 nna hii mkuu ni baada ya kuanguka kabisa ndo ukaanza kujitafta na kuujua ukweli, pole pia mana sio wewe tu uliepitia huo msuko suko niongezee jamba biashara inataka uchanguzi ulio sahihi ni uwe upande wa mganga au upande wa Mungu ila wengi wetu upande wa Mungu unatushinda kwa sababu ya maasi mengi tuliyo nayo na yanayo tuzunguka hivo basi kwa njia rahisi kabisa we upate tu connection ya mganga mzuri tu basi hapo utaweza kuishi kwene biashara na itakutoa vizur kabisa 👊
Hapa tuambiane ukweli tu kwamba upande wa Mungu una masharti n upande wa mwingine munaoita shetani unamasharti pia, kikubwa ni masharti yapi kwako utayamudu,
Sasa kwanini ukwepeshe mkuu wakati ndo ukweli wa mambo atakae bisha abishe atakae elewa aelewe tu hakuna namna juu ya hili maisha ya mtaani ndo maisha halisi kabisa wala sio haya ya kwenye vitabu
Hapa tuambiane ukweli tu kwamba upande wa Mungu una masharti n upande wa mwingine munaoita shetani unamasharti pia, kikubwa ni masharti yapi kwako utayamudu,
Ukweli ndo huo mkuu kila sehemu kuna mashariti yake ni wewe tu unayamudu yapi ila kwa kusema ukweli hakuna mashariti mepesi na hii miili yetu yenye dhambi ya asili mana sisi binadamu ki ukweli kabisa tunateswa na dhambi ya asili na ndicho kinacho pelekea kuanguka dhambini kiwepesi zaidi kuliko kuikimbia dhambi mfano, mtu upo zako kanisan au msikitini umepiga zako ibada safi kabisa ile mmemaliza unarejea zako home basi ile umetoka tu nje ya jengo la ibada unakutana na mwanamke mzuri kweli kweli mara anaanza kufanya vituko vyake ili tu akutoe katika nia yako na muumba wako na aweze hata kuaribu maombi yako mzee usipo jitambua hutoki katika mtego huo.
Ukweli ndo huo mkuu kila sehemu kuna mashariti yake ni wewe tu unayamudu yapi ila kwa kusema ukweli hakuna mashariti mepesi na hii miili yetu yenye dhambi ya asili mana sisi binadamu ki ukweli kabisa tunateswa na dhambi ya asili na ndicho kinacho pelekea kuanguka dhambini kiwepesi zaidi kuliko kuikimbia dhambi mfano, mtu upo zako kanisan au msikitini umepiga zako ibada safi kabisa ile mmemaliza unarejea zako home basi ile umetoka tu nje ya jengo la ibada unakutana na mwanamke mzuri kweli kweli mara anaanza kufanya vituko vyake ili tu akutoe katika nia yako na muumba wako na aweze hata kuaribu maombi yako mzee usipo jitambua hutoki katika mtego huo.
Hahaha!! kwamba mmemaliza unarejea zako home basi ile umetoka tu nje ya jengo la ibada unakutana na mwanamke mzuri kweli kweli mara anaanza kufanya vituko vyake ili tu akutoe katika nia yako na muumba wako na aweze hata kuaribu maombi yako mzee usipo jitambua hutoki katika mtego huo.
Haijarishi unaanzisha genge, duka la mangi, banda la chipsi, kuuza mitumba, hata iwe kuuza pipi n.k hakikisha unatafuta kwanza kinasa wateja.
Mambo ya customer care, location, research, demand and suply watakazokuambia humu hazina nguvu huku mtaani ziache kwenye vitabu huko huko.
Yaliwahi kunikuta mwaka 2020 Kutokupata wateja kuanzia asubuhi hadi jioni baadhi ya siku kwenye huo uzi watu wameleta mpaka statics za USA na blah blah kibao mwingine akawa analeta mfano wa matrekta na ujinga ujinga meingi kilichotokea biashara ilifirisika wateja sifuri nilikuwq nashinda kwenye fremu asbh mpaka jioni bila bila ila wenzangu biashara hiyo hiyo wanauza kwq pembeni nikahama location lakini hali hiyo hiyo.
Ukweli nilikuja kuujua baadae.
Ushauri wangu kwenu kabla haujaanzisha biashara katafute kinasa wateja, usilete ulokole kwenye biashara.
Uzi nilioleta mwaka 2020 kuomba ufafanuzi na ushauri soma hapo chini
Hahahah Itakuwa sie wauza vijora na mifuko ya 'shangazi kaja'Hivi kweli mkuu kwa akili yako unazani wafanya biashara wakubwa wa matrekta wanaweza kuanzisha uzi kama huu? Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.