watu kama hawa miyeyusho sana wakiona mtu tajiri wanajua karoga kama waoThats fucking weak mkuu,haya ukifanikiwa utajifia nn Sasa?Mfano eti Kuna mtu anatumia mitishamba Ili kupata mademu yaani Hadi nawahurumia,Sasa utajivunia uwezo upi ulionao kama Kila kitu unaenda Kwa waganga?Hii Inamaanisha hata vyuoni kufaulu umeloga,kupata mchumba na kazi umeloga,kwenye ndoa umeloga Sasa ukiangalia unafaida Gani duniani?
Kwel bwana, kuna vitu hata huwez kujisifia ukivipata sababu tu ya namna iliyotumika kuvipataThats fucking weak mkuu,haya ukifanikiwa utajifia nn Sasa?Mfano eti Kuna mtu anatumia mitishamba Ili kupata mademu yaani Hadi nawahurumia,Sasa utajivunia uwezo upi ulionao kama Kila kitu unaenda Kwa waganga?Hii Inamaanisha hata vyuoni kufaulu umeloga,kupata mchumba na kazi umeloga,kwenye ndoa umeloga Sasa ukiangalia unafaida Gani duniani?
Mzee acha mawazo ya kishirikina hufiki mbali. Maisha hayana formula so utakavyotoka wewe sivyo atakavyotoka mwenzio.Mimi sio mchoyo nawasanua vijana.
Haijarishi unaanzisha genge, duka la mangi, banda la chipsi, kuuza mitumba, hata iwe kuuza pipi n.k hakikisha unatafuta kwanza kinasa wateja .
Mambo ya customer care, location, research , demand and suply watakazokuambia humu hazina nguvu huku mtaani ziache kwenye vitabu huko huko.
Yaliwahi kunikuta mwaka 2020 Kutokupata wateja kuanzia asubuhi hadi jioni baadhi ya siku kwenye huo uzi watu wameleta mpaka statics za USA na blah blah kibao mwingine akawa analeta mfano wa matrekta na ujinga ujinga meingi kilichotokea biashara ilifirisika wateja sifuri nilikuwq nashinda kwenye fremu asbh mpaka jioni bila bila ila wenzangu biashara hiyo hiyo wanauza kwq pembeni nikahama location lakini hali hiyo hiyo.
Ukweli nilikuja kuujua baadae
Ushauri wangu kwenu kabla haujaanzisha biashara katafute kinasa wateja, usilete ulokole kwenye biashara.
Uzi nilioleta mwaka 2020 kuomba ufafanuzi na ushauri soma hapo chini
Kutokupata wateja kuanzia asubuhi hadi jioni baadhi ya siku
Hahahah Itakuwa sie wauza vijora na mifuko ya 'shangazi kaja'Hivi kweli mkuu kwa akili yako unazani wafanya biashara wakubwa wa matrekta wanaweza kuanzisha uzi kama huu? Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile appwww.jamiiforums.com
[emoji23][emoji23]Thats fucking weak mkuu,haya ukifanikiwa utajifia nn Sasa?Mfano eti Kuna mtu anatumia mitishamba Ili kupata mademu yaani Hadi nawahurumia,Sasa utajivunia uwezo upi ulionao kama Kila kitu unaenda Kwa waganga?Hii Inamaanisha hata vyuoni kufaulu umeloga,kupata mchumba na kazi umeloga,kwenye ndoa umeloga Sasa ukiangalia unafaida Gani duniani?
[emoji23][emoji23]Hata wadada/ wanawake wasopata waume watafte kinasa mchumba
Elewa hivyo zaidi ya hapo njoo kilingeniFafanua mkuu mpaka lasaba B tuelewe 😊
Yaaani wewe dogo sijui akili zako zipoje...kwenye biashara kinachohitajika ni wateja tu na sio maarifa wala upuuzi kama unaoutaja weweMafanikio kwenye biashara yanategemea nguvu ya kiroho uliyonayo Mungu anatoa baraka na shetani pia atakusaidia kupata pesa zenye masharti
Ukiwa na nguvu ya kiroho sio kwamba wateja ndio wanaongezeka hapana ukiwa na nguvu ya kiroho unakuwa na maarifa makubwa na utajua namna kuiendesha hiyo biashara yako kwa mafanikio
Kila mtu si angekuwa tajiri mkuu hivyo unavyoamini wewe kila Kona watu wanafanya biashara wanatafuta pesa ila wanaofanikiwa ni wachache wenye nguvu ya kirohoYaaani wewe dogo sijui akili zako zipoje...kwenye biashara kinachohitajika ni wateja tu na sio maarifa wala upuuzi kama unaoutaja wewe
Mkuu unalizungumziaje hili suala la kinasa wateja?Yaaani wewe dogo sijui akili zako zipoje...kwenye biashara kinachohitajika ni wateja tu na sio maarifa wala upuuzi kama unaoutaja wewe