Ewe kijana kabla haujafungua biashara yako katafute kwanza kinasa wateja. Utanishukuru baadaye

Mkuu!! Unasema Mungu na shetani wanashirikiana kukufanikisha kwa kukuongezea nguvu ya kiroho au nimeelewa vibaya?
Kwaiyo Mungu hatoshi mpaka shetani aongezee nguvu 🤔
 
KUKOSA WATEJA NA KUUZA SANA ALAFU FAIDA UPATI NI KITU HUWA KINAUMIZA SANA KATIKA BIASHARA
 
Kwenye hizi biashara za utafutaji Mali kuna mambo mengi sana, hasa nyumba za makuti.... Ukiazisha biashara jua kabisa lazima utatumbukia kwenye ulozi..

1. Wachawi watajaribu kuharibu biashara yako. (kumbuka hawa hawana biashara yeyote ile wanayo ifanya bali ni majirani tu. )

2. Wachawi watajaribu kutest nguvu uliyonayo kwenye masuala ya biashara. ( kumbuka hawa hawana biashara yeyote ile wanayo ifanya bali ni majirani tu)

3. Hapa utakutana na wazee wa kushusha nyota ( wafanya biashara wenzio, Kwa nje sura ya tabasamu, Kwa ndani wanatamani kukupoteza kwenye ramani ya biashara)

Kiufupi tu biashara inamambo mengi, usione duka la mtu wateja hawakauki ukadhani labda ametega location zuri... Usiingie kichwa kichwa utachoma mtaji wote.


Ila kama unatafuta hizi 200,, 200 za kula hapo Sawa, siyo lazima utumie nguvu ya numba za makuti, BIBLE na Qur'an zinatosha kabisa kuweka kama security kwenye Ofisi yako.
 
Biashara yahitaji ujitoe hasa kama ni ulozi na uufanye kweli na vice versa is true.
 
Haya umezipata hizi hela ukajenga mjengo wa kufurahisha watu huku unalala na mama yako chooni
Vijana mnatakiwa kuwa wabunifu sio kuwaza ndagu tu
Kama nina biashara zangu na zinaenda bila ndagu na zinazalisha hela sasa nihangaike ya nini
Mfanyakazi mwenye yeboyebo eti ananiambia unalogwa huoni hata mifugo inadhoofu na zingine kufa
Nikamwambia wewe ndio huwaangalii ipasavyo na maziwa unauza badala ya ndama wanywe

Vijana acheni tamaa, haya umepata utajiri kama yule msichana anae trend analala na sawaka huyo ana maisha gani
 
Kwani mkuu unajua uwezo ni nini? hata kutafuta njia ya kurahisisha kazi ni uwezo pia, usifikiri kila mtu anweza kuloga mwingine anapewa njia zote na bado anashindwa kufuata masharti. KULOGA ni uwezo pia mkuu
 
Motivational speakers [emoji23] anakupa data za wizara [emoji23][emoji23][emoji23] demand and supply [emoji23]
 
Wewe maskini una faida gani duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…