Ewe kijana kabla haujafungua biashara yako katafute kwanza kinasa wateja. Utanishukuru baadaye

πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ nna hii mkuu ni baada ya kuanguka kabisa ndo ukaanza kujitafta na kuujua ukweli, pole pia mana sio wewe tu uliepitia huo msuko suko niongezee jamba biashara inataka uchanguzi ulio sahihi ni uwe upande wa mganga au upande wa Mungu ila wengi wetu upande wa Mungu unatushinda kwa sababu ya maasi mengi tuliyo nayo na yanayo tuzunguka hivo basi kwa njia rahisi kabisa we upate tu connection ya mganga mzuri tu basi hapo utaweza kuishi kwene biashara na itakutoa vizur kabisa πŸ‘Š
 
Mimi huwa sikwepeshi ukweli fuatilia nyuzi zangu mkuu kiugupi mtaani ni shule ingine na chuo ni shule ingine
 
Umeongea ukweli mtupu ila wapo watakao kubeza!
 
Hapa tuambiane ukweli tu kwamba upande wa Mungu una masharti n upande wa mwingine munaoita shetani unamasharti pia, kikubwa ni masharti yapi kwako utayamudu,
 
Mimi huwa sikwepeshi ukweli fuatilia nyuzi zangu mkuu kiugupi mtaani ni shule ingine na chuo ni shule ingine
Sasa kwanini ukwepeshe mkuu wakati ndo ukweli wa mambo atakae bisha abishe atakae elewa aelewe tu hakuna namna juu ya hili maisha ya mtaani ndo maisha halisi kabisa wala sio haya ya kwenye vitabu
 
Hapa tuambiane ukweli tu kwamba upande wa Mungu una masharti n upande wa mwingine munaoita shetani unamasharti pia, kikubwa ni masharti yapi kwako utayamudu,
Ukweli ndo huo mkuu kila sehemu kuna mashariti yake ni wewe tu unayamudu yapi ila kwa kusema ukweli hakuna mashariti mepesi na hii miili yetu yenye dhambi ya asili mana sisi binadamu ki ukweli kabisa tunateswa na dhambi ya asili na ndicho kinacho pelekea kuanguka dhambini kiwepesi zaidi kuliko kuikimbia dhambi mfano, mtu upo zako kanisan au msikitini umepiga zako ibada safi kabisa ile mmemaliza unarejea zako home basi ile umetoka tu nje ya jengo la ibada unakutana na mwanamke mzuri kweli kweli mara anaanza kufanya vituko vyake ili tu akutoe katika nia yako na muumba wako na aweze hata kuaribu maombi yako mzee usipo jitambua hutoki katika mtego huo.
 
Mimi huwa sikwepeshi ukweli fuatilia nyuzi zangu mkuu kiugupi mtaani ni shule ingine na chuo ni shule ingi

Hahaha!! kwamba mmemaliza unarejea zako home basi ile umetoka tu nje ya jengo la ibada unakutana na mwanamke mzuri kweli kweli mara anaanza kufanya vituko vyake ili tu akutoe katika nia yako na muumba wako na aweze hata kuaribu maombi yako mzee usipo jitambua hutoki katika mtego huo.
 
Watakupinga hadharani mkuu, lakini sirini wanayafanya kama kawaida na ndio jadi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…