City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Sasa unasimamia kipi katika mada yako!?Messi ndo Mtakatifu kabisa, kaanza kuwa na mwanamke baada ya kuanza kulipwa Barcelona.
Kadumu na mwanamke mmoja tu, na anawakimbia wanawake, yule jamaa wanamuapproach sana, interviews nyingi akiona wanawake wanamkaribia anawakimbia kabisa, utadhani Antonella kampa dawa.
Bado Messi alijitafuta kwanza kabla ya kumuita Antonella.Sasa unasimamia kipi katika mada yako!?
Hakuna ukweli wowote kuhusiana na hili. Sema utapata malaya yoyote unayemtaka.Kujitafuta kwanza , ukipata maokoto plus umaarufu, utapata msichana yeyote unayemtaka
Ukweli upo hata kama sio 100%.Hakuna ukweli wowote kuhusiana na hili. Sema utapata malaya yoyote inayomtaka.
Case ya Pique vs Shakira, Bill Gates Vs Melinda na Kafulila Vs Jesca hapa unasemaje!?Ukweli upo hata kama sio 100%.
Financial security ni muhimu sana sio kwako tu, hata kwa kizazi chako
Hapa nakuunga mkonoMiaka 25 mpaka 40 ni miaka ya kuvunja jasho la damu. Ni miaka ya kutafuta kwa namna yoyote ile. trial and errors zinakuwaga nyingi sana hadi ukae kwenye mstari.....umri huu ndiyo utatafasiri uzee wako.
Well saidHii ni maalumu kwa hustlers yaani vijana wapambanajj wenye ndoto zao za kufika mbali kimaisha, Kuna vitu lazima ukate minyororo ili upate utulivu wa akili katika kufanya Mipango yako....
Miaka 25 mpaka 40 ni miaka ya kuvunja jasho la damu. Ni miaka ya kutafuta kwa namna yoyote ile. trial and errors zinakuwaga nyingi sana hadi ukae kwenye mstari.....umri huu ndiyo utatafasiri uzee wako.
Huu ni umri ambao unatakiwa uachane na unnecessary destructions ambazo zinaweza kukupotezea mwelekeo wako.....usichoke kutafuta na kujaribu njia mbalimbali kufikia malengo yako......maisha siyo rahisi kihivyo.....inahitaji kujituma kwelikweli
imagine kuna vijana hadi sa6 usiku yuko macho anaangalia gemu sijui arsenal mara liver. Huo mda unautoa wapi wewe kijana mpambansaji utakufa kapuku.....Mpira ni occasionally tu labda uko sehemu umekaa na Mitikasi yako afu kuna gemu inaendelea fine.
Usikubali kuvunja ratiba na Mipango yako ya siku kisa mpira au appointment na pisi kali haya mambo yanatakiwa yaje mwisho baada ya Mipango ya msingi kukamilika
Mpira. mapenzi na social media za hovyo usikubali zikapora mda wako hata kidogo. ..tumia weekend kuangalia mipango yako ya week Imeendaje usahihishe wapi na itakuwaje kwa next week...
Mambo ni mengi ila ni hayo tu kwa leo....."USIKATE TAMAA MAKOSA KATIKA KUJARIBU LEO YATAKUFANYA UWE BORA ZAIDI KESHO"..
The burning spear
Unataka kumaanisha kwamba?Case ya Pique vs Shakira, Bill Gates Vs Melinda na Kafulila Vs Jesca hapa unasemaje!?
Mawazo ya kimaskini haya. Umaskini siyo sifa nzuri ni dalili ya laanaImagine unajinyima hivyo, hupati good time, unajibanaaa afu mwisho wa siku unakufa unaviacha.
Hata Mola hapendi. Acha tuyaishi maisha.
Wachache wanaweza hivyoUpo sahihi lakini kwenye ishu ya mpira nadhani kila mtu ana kitu anachokipenda na kinahitaji muda wake. Kama kijana unaejitambua unapaswa ujue na upangilie ratiba yako kulingana na vipaumbele vyako.
Binafsi napenda sana mpira lakini siwezi vuruga ratiba za michongo ya pesa kisa mpira ambao bila kuwa na hiyo pesa sitoenjoy.
Hao ndio wanaojitambuaWachache wanaweza hivyo
Jitihada haizidi KudraHii ni maalumu kwa hustlers yaani vijana wapambanajj wenye ndoto zao za kufika mbali kimaisha, Kuna vitu lazima ukate minyororo ili upate utulivu wa akili katika kufanya Mipango yako....
Miaka 25 mpaka 40 ni miaka ya kuvunja jasho la damu. Ni miaka ya kutafuta kwa namna yoyote ile. trial and errors zinakuwaga nyingi sana hadi ukae kwenye mstari.....umri huu ndiyo utatafasiri uzee wako.
Huu ni umri ambao unatakiwa uachane na unnecessary destructions ambazo zinaweza kukupotezea mwelekeo wako.....usichoke kutafuta na kujaribu njia mbalimbali kufikia malengo yako......maisha siyo rahisi kihivyo.....inahitaji kujituma kwelikweli
imagine kuna vijana hadi sa6 usiku yuko macho anaangalia gemu sijui arsenal mara liver. Huo mda unautoa wapi wewe kijana mpambansaji utakufa kapuku.....Mpira ni occasionally tu labda uko sehemu umekaa na Mitikasi yako afu kuna gemu inaendelea fine.
Usikubali kuvunja ratiba na Mipango yako ya siku kisa mpira au appointment na pisi kali haya mambo yanatakiwa yaje mwisho baada ya Mipango ya msingi kukamilika
Mpira. mapenzi na social media za hovyo usikubali zikapora mda wako hata kidogo. ..tumia weekend kuangalia mipango yako ya week Imeendaje usahihishe wapi na itakuwaje kwa next week...
Mambo ni mengi ila ni hayo tu kwa leo....."USIKATE TAMAA MAKOSA KATIKA KUJARIBU LEO YATAKUFANYA UWE BORA ZAIDI KESHO"..
The burning spear
Mpira kwaTazania ni chanzo cha umaskini na NjaaHii ni maalumu kwa hustlers yaani vijana wapambanajj wenye ndoto zao za kufika mbali kimaisha, Kuna vitu lazima ukate minyororo ili upate utulivu wa akili katika kufanya Mipango yako....
Miaka 25 mpaka 40 ni miaka ya kuvunja jasho la damu. Ni miaka ya kutafuta kwa namna yoyote ile. trial and errors zinakuwaga nyingi sana hadi ukae kwenye mstari.....umri huu ndiyo utatafasiri uzee wako.
Huu ni umri ambao unatakiwa uachane na unnecessary destructions ambazo zinaweza kukupotezea mwelekeo wako.....usichoke kutafuta na kujaribu njia mbalimbali kufikia malengo yako......maisha siyo rahisi kihivyo.....inahitaji kujituma kwelikweli
imagine kuna vijana hadi sa6 usiku yuko macho anaangalia gemu sijui arsenal mara liver. Huo mda unautoa wapi wewe kijana mpambansaji utakufa kapuku.....Mpira ni occasionally tu labda uko sehemu umekaa na Mitikasi yako afu kuna gemu inaendelea fine.
Usikubali kuvunja ratiba na Mipango yako ya siku kisa mpira au appointment na pisi kali haya mambo yanatakiwa yaje mwisho baada ya Mipango ya msingi kukamilika
Mpira. mapenzi na social media za hovyo usikubali zikapora mda wako hata kidogo. ..tumia weekend kuangalia mipango yako ya week Imeendaje usahihishe wapi na itakuwaje kwa next week...
Mambo ni mengi ila ni hayo tu kwa leo....."USIKATE TAMAA MAKOSA KATIKA KUJARIBU LEO YATAKUFANYA UWE BORA ZAIDI KESHO"..
The burning spear
Huwezi kufanya kazi kwa bidii na huku uko bize na mademu na mpira.Kijana usikubali kufanya mambo ya ujana uzeeni. Kila umri utauishi na hautajirudia.
Katika muda wa kufanya kazi Fanya kazi kwa bidii, jiwekee akiba, jenga makazi ya kudumu, tengeneza mfereji wa kipato usio rahisi kukauka, furahia maisha kadri unavyoweza.