Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Aliyekwambia Bongo nchi unpredictable ya wala rushwa na 10% kutokufanikiwa ni kukosa mipango ni nani ?
Hao unaowaambia waache kuangalia game na kujiliwaza kwa mambo mengine (opium of the mass) n.k. wakirudi huku na kuangalia jinsi game ambavyo lipo stuck against them patakuwa hapatoshi (hence bora waendelee na hio distraction ama sivyo vichaa watazidi kitaa); Nchi hii ambayo sio sustainable na dunia ya stiff competition leo unaweza ukawa juu kesho mchangani; Waulize kina Nokia; Blackberry; Kodak to name just a few.....
By the way McDonald made it at what age ?;
Hao unaowaambia waache kuangalia game na kujiliwaza kwa mambo mengine (opium of the mass) n.k. wakirudi huku na kuangalia jinsi game ambavyo lipo stuck against them patakuwa hapatoshi (hence bora waendelee na hio distraction ama sivyo vichaa watazidi kitaa); Nchi hii ambayo sio sustainable na dunia ya stiff competition leo unaweza ukawa juu kesho mchangani; Waulize kina Nokia; Blackberry; Kodak to name just a few.....
By the way McDonald made it at what age ?;