Mara zote ushauri una options mbili tu uchukue au uache yote ni juu yakoAliyekwambia Bongo nchi unpredictable ya wala rushwa na 10% kutokufanikiwa ni kukosa mipango ni nani ?
Hao unaowaambia waache kuangalia game na kujiliwaza kwa mambo mengine (opium of the mass) n.k. wakirudi huku na kuangalia jinsi game ambavyo lipo stuck against them patakuwa hapatoshi (hence bora waendelee na hio distraction ama sivyo vichaa watazidi kitaa); Nchi hii ambayo sio sustainable na dunia ya stiff competition leo unaweza ukawa juu kesho mchangani; Waulize kina Nokia; Blackberry; Kodak to name just a few.....
By the way McDonald made it at what age ?;
unapotoa ushauri kwa kusema kitu hiki ni cheupe au cheusi na ukaambiwa hiki ni grey inabidi utete hoja yako na sio kusema sawa wewe binafsi unavyoona; kwa mtizamo wako huenda wewe ndio unahitaji ushauri kuliko unaowashauriMara zote ushauri una options mbili tu uchukue au uache yote ni juu yako
AkiliPana watu wamejinyima sana wakipambana na still wamekwama.
Kutoboa ni ishu ingine
Endekeza upwiru. Mda utafika hela huna,upwiru huna ndo chanzo cha kuanza kumwona kila mtu ni mbaya na kutukana hovyoHivi unaujua upwiru?
ExactlyHii ni comment kutoka Reddit:
Dude I used to be the same way, but with American football.. I'm 37 now, and in the past three years, I've really stopped giving a shit. My reasons are, for one, I'm a full grown adult watching guys play a game. That's not worth my emotional energy. The players are for the most part a bunch of spoiled, overpaid twunts. The owners are billionaire scumbags. I attended a game two years ago, and I'm circling outside the stadium to my entrance, and the billionaire owner of the NY Jets, pulls up in a limo, and a team of thug bodyguards starts pushing everyone including me out of the way.. Mind you it wasn't even necessary, it wasn't even crowded. It brought home to me, I have nothing in common with these .01 percent billionaire, morally bereft owners. Some players are awesome but most are not. And for them, it's a business. They don't care for the most part about winning, it's about getting paid. This shit is childish I realized. Don't let an external thing you have no control over disturb your emotional state. If your team finishes first or last, has zero bearing on anything in your life, except you can either talk shit or receive shit talk from other fans. Where I'm at now, not really a fan of the Jets or any team, but my hate of the Patriots is still there. But I don't get worked up either way. I invested so much emotional energy for 35 years, and finally realized it was stupid. Do your own thing man, compete yourself one something as a healthy outlet. Being a fan is like being a male cheerleader, and that's not something I'm interested in.
Credits: rdyek
Hizi week 3 nimejikuta busy sana na kazi asee nimehisi kupata vidonda vya tumbo maana usiku tumbo linakata nikila linaacha jana nikarudi kushabikia timu yangu ya Yanga na bia zangu nne nahisi nimepona asee let's us live life to the fullest maisha ni mafupi sana,tukiwa tunatafuta maisha tusisahau kuishi
KabisaStarehe haimzuii mtu kuwa na maendeleo
Ndiyo ukweli kabisaStarehe haimzuii mtu kuwa na maendeleo
Copy datHii ni maalumu kwa hustlers yaani vijana wapambanajj wenye ndoto zao za kufika mbali kimaisha, Kuna vitu lazima ukate minyororo ili upate utulivu wa akili katika kufanya Mipango yako....
Miaka 25 mpaka 40 ni miaka ya kuvunja jasho la damu. Ni miaka ya kutafuta kwa namna yoyote ile. trial and errors zinakuwaga nyingi sana hadi ukae kwenye mstari.....umri huu ndiyo utatafasiri uzee wako.
Huu ni umri ambao unatakiwa uachane na unnecessary destructions ambazo zinaweza kukupotezea mwelekeo wako.....usichoke kutafuta na kujaribu njia mbalimbali kufikia malengo yako......maisha siyo rahisi kihivyo.....inahitaji kujituma kwelikweli
imagine kuna vijana hadi sa6 usiku yuko macho anaangalia gemu sijui arsenal mara liver. Huo mda unautoa wapi wewe kijana mpambansaji utakufa kapuku.....Mpira ni occasionally tu labda uko sehemu umekaa na Mitikasi yako afu kuna gemu inaendelea fine.
Usikubali kuvunja ratiba na Mipango yako ya siku kisa mpira au appointment na pisi kali haya mambo yanatakiwa yaje mwisho baada ya Mipango ya msingi kukamilika
Mpira. mapenzi na social media za hovyo usikubali zikapora mda wako hata kidogo. ..tumia weekend kuangalia mipango yako ya week Imeendaje usahihishe wapi na itakuwaje kwa next week...
Mambo ni mengi ila ni hayo tu kwa leo....."USIKATE TAMAA MAKOSA KATIKA KUJARIBU LEO YATAKUFANYA UWE BORA ZAIDI KESHO"..
The burning spear
Huu ni mtazamo wako kama utapata wa kukunga mkono it's OK.Starehe haimzuii mtu kuwa na maendeleo
Mafanikio yyte yale ni mipango na marengo izo polojo nyingne mnaturetea ni kutupotosha tu
Usinywe pombe kuna mazee humu yanakesha mabaani ila pesa imejaa kibao
Usipende sana kuvaa kuna watu wanavaa tena nguo za brand kubwa ila ni matajir na pesa ipo
Usiendekeze tumbo usipende kula vzr sasa iyo pesa tunatafta ya nn km ad kwenye kula tujibanie
Yan kwa ufupi mnakela sana tena nyie mlofanikiwa ukubwani huwa mnajiona mmetoboa sana na mnaakili sana wakat mafanikio yenyewe umeyapata ukubwani
Bora umewaambiaHili bandiko halikua la kila mtu.
Mtoa mada aliandika maalumu kwa hustlers na vijana wanaopambana kufika mbali kimaisha.
Kuna sababu kuu kwanini watu waliofanikiwa katika hatua kubwa ni asilimia 5 tu kati ya 100.