Uchaguzi 2020 Ewe Lissu, hata watu wa Chato ni wapiga kura wako

Uchaguzi 2020 Ewe Lissu, hata watu wa Chato ni wapiga kura wako

Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.

Nadhani tayari Lisu kafika Geita na kapokelewa vema ...hii nchi ni ya wote ......, kwenye wilaya nyingine JPM anafika anawatisha watu kuwa atawanyima maendeleo wakichagua upinzani ......sasa jiulize hata nyumbani Geita kumbe pia hawapendi ubaguzi

Hongera Sana Geita
 
Etwege,
Hujawai kuandika cha maana humu, ila hii ni kweli, Chato na Geita ni wapiga kura wa Lisu pia, juzi na jana tumeona!
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.
Hope majibu umeyapata.
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.
Kakojoe ulale.
 
Hahahahaha wamemjibu hahag[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji846][emoji846][emoji846][emoji23]
 
Kaenda chato, kashangiliwa, kapata support ya kutosha, eapambe wa ccm wakataka kumzuia wakadhitiwa sasa kama unajiua kwa wivu na ukafie mbele.
Miaka mitano Lissu ameitumia kuwatukana watu wa Chato kuwa hawafai kuwa na uwanja wa ndege ,taa za barabarani wala lami, juzi ameropoka tena kuwa mtoto wa wana Chato ,Magufuli kuwa ni mshamba!

Alafu leo huyu mzee wa tutashitakiwa MIGA anaenda kuomba kura Chato?
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.
Punguani huyoooo

Kaenda hajaenda??

Pumbavu zako
 
Back
Top Bottom