GANG MO
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,092
- 2,210
hahahahahahah acha ujinga wewe tanzania ya leo sio ya miaka ya 60. tunahoji ni utaratibu upi umetumika kujenga huo uwanja? kwanini muswada haukupelekwa bungeni?Yaani umuhimu wa uwanja wa ndege mpaka utajiwe? Kuna ndege kibao zinashuka Geita kupitia huu uwanja.