Uchaguzi 2020 Ewe Lissu, hata watu wa Chato ni wapiga kura wako

Uchaguzi 2020 Ewe Lissu, hata watu wa Chato ni wapiga kura wako

Kwako wewe unaekariri maneno ya msomi uchwala Lissu. Kwetu sisi Geita na Mwanza una umuhimu.
Unaumihimu wakati uwanja mwaka mzima unatua ndege moja ya magufuli hebu tutajie jee fly emiret au fly Dubai au Ethiopia air wameshawahi kutua pale
 
We mji wa Chato unaujua? Unajua wavuvi wa Mganza wanaweza kukulisha wewe na ukoo wenu. Acha dharau za kichaga.
Hiyo ndege MTU hapandi mpaka uwambiwe mama ako au babayako kafa ndio upande ndege tena kwa muislam iliawahi maziko haraka kwani maiti ya kislam haikai kwa upande wa wakristo wakipewa taarifa ya kifo wao wanasema tutakuja kesho kwa basi sasa tutajie faida ya uwanja wa ndege wa Chato
 
Hiyo ndege MTU hapandi mpaka uwambiwe mama ako au babayako kafa ndio upande ndege tena kwa muislam iliawahi maziko haraka kwani maiti ya kislam haikai kwa upande wa wakristo wakipewa taarifa ya kifo wao wanasema tutakuja kesho kwa basi sasa tutajie faida ya uwanja wa ndege wa chato

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Na wewe nae unamiliki smartphone?
 
Muache tu,Lissu watu wa kanda ya ziwa watamshughulikia kwenye sanduku la kura.kesha wakejeli sana watu wa kanda ya ziwa.
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.
Tundu Lissu hajatukana mtu pale Chato, amehoji mantiki (rationale) ya kuwa na uwanja wa kimataifa wa ndege pale Chato ilhali idadi ya watu walipo cahto wangeweza kutumia uwanja wa Mwanza bila shida kwa ndege za kimataifa. Aliyetukana watu ni huyu aliyesema hakuleta tetemeko kwa hiyo hatatoa msaada wowote kwa wale walioathirika na tetemeko mkoani Kagera.
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.
Kwahiyo huko tume imeshatangaza washindi?
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.
Alitukana tusi gani?
Delete ccm Oct 28
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.
Unataka kusema chato international airport ndo ilikuwa priory namba moja ya wanachato baada ya taa za barabarani?
 
..wananchi wa chato hawahitaji uwanja wa ndege wa kimataifa.
Mwambie mchonganishi huyo! Chato hawakuhitaji uwanja Bali huduma bora za maji na sio uwanja wa kutua ndege inayomleta Magufuli
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.

Tulia wacha woga, atafika huko na atajieleza, hope watamuelewa.
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.
Naisubiri hiyo siku ya Lissu kwenda chato kuomba kura. Aibu atakayokula, itakuwa ya karne.
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.
Kwani uwanja wa ndege lilikuwa ni hitaji la Chato? Chato wana matatizo mengi, na kama wanageshirikishwa, uwanja wa ndege lisingekuwa hata miongoni mwa vipaumbele 20 vya wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.
Dada mwambie meko aje na sera mana amebaki kuropoka na kutukana wapiga kura kma zuzu,bila valium 10 kumeza hawezi kupumzika hii mshaurini akipige kvant
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.
Tatizo mnashindwa kujibu hoja za Lissu...

Hapo Chato zaidi ya Ndege inayombeba Rais na Mama yake, Kuna Ndege gani nyingine inatua? Kuna wanakijiji gani wengine wanamudu kusafiri kwa ndege? So manufaa ya Uwanja mkubwa hivo kiuchumi ni yapi kama wanufaika wa huo Uwanja ni familia ya Rais tu?

Mmemeza chambo mwaka huu, kubalini yaishe!
 
Mkuu wewe ni mchochezi na mchonganishi wa viwango vya hatari! Yeye Lissu hakusema Chato hakuna watanzania japo kuna taarifa za uwepo wa warundi, lakini kubwa analopigia kelele ni kupeleka miradi mikubwa huko katika namna ya mwambangoma kwamba kamba anavutia kwake ilihali miradi yenyewe iliyopelekwa kama airport haikustahili kujengwa huko, badala yake angejenga hata kiwanda cha kusindika samaki wanaovuliwa pale, kingegusa wananchi wengi wa Chato, Sasa hebu fikiria ule uwanja wa ndege wa kimataifa akistaafu yeye nani tena atautumia?? Utabaki useless , sababu uwanja unaotumika ni ule Mwanza!
 
Ule uwanja ni kwa ajili ya mkoa wa Geita sio Chato. Hata Mwanza kama kuna emergency ndege inaweza kutua chato kwa muda.
😁😁😁😁😁,mataga kwakweli mnatia kinyaa!Kuna sehemu nyingi tu ambapo ungeweza kujengwa uwanja huo katika ukanda huo ambako kuna mahitaji hasa ya uwanja wa ndege!Si Chato!
Chato uko kwa ajili ya Magufuli,akiondoka madarakani basi uwanja huo ndio basi tena utakuwa hauna kazi!
Hebu tuambieni,ni mkoa gani ambako Uwanja umepelekwa kijijina badala ya kuwa makao makuu ya mkoa?
 
Back
Top Bottom