Uchaguzi 2020 Ewe Lissu, hata watu wa Chato ni wapiga kura wako

Uchaguzi 2020 Ewe Lissu, hata watu wa Chato ni wapiga kura wako

Ule uwanja ni kwa ajili ya mkoa wa Geita sio Chato. Hata Mwanza kama kuna emergency ndege inaweza kutua chato kwa muda.
Wanaolalamika ni wale waliozoea maeneo yao kupata upendeleo mpaka wakaona ni haki kwao tu kuwa na miundo mbinu bora.

Kama taifa tulifikia mahali ambapo baadhi ya maeneo yakajipa uhalali wa kuwa na vilivyo bora .

Halafu watu hao ndio wanamuita rais kuwa ni mtu mkabila wakati wao ndio wenye ukabila na ubaguzi mkubwa.
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.

Hata Huyo mgombea wako huku katunyima maendeleo tunamsubir kwa hamu
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.
Teh teh teh teh chato,,,
 
Wanaolalamika ni wale waliozoea maeneo yao kupata upendeleo mpaka wakaona ni haki kwao tu kuwa na miundo mbinu bora.

Kama taifa tulifikia mahali ambapo baadhi ya maeneo yakajipa uhalali wa kuwa na vilivyo bora .

Halafu watu hao ndio wanamuita rais kuwa ni mtu mkabila wakati wao ndio wenye ukabila na ubaguzi mkubwa.
Kabisa
 
Watu wa chato wenyewe wanashangaa huo uwanja wa ndege unawasaidieje?
 
Naomba unipe manufaa matano ya uwanja wa ndege wa chato kwa wanachato
baadhi tu ni
Kwanza Kuna wafanyakazi wa uwanja wa ndege wanalipwa mishahara ambayo wanaitumia Chato hivyo kuongeza mzunguko wa pesa Chato ambao haukuwepo hapo kabla

Pili kampuni mbalimbali za Chato Zina tenda mbalimbali za ku supply vitu mbalimbali ikiwemo mafuta ya magari, stationery, kampuni za usafi nk hivyo kupaisha uchumi wa Chato
 
Nadhani wewe ni miongo mwa wanaoshindwa kumuelewa lissu. Wapi umesikia lissu akiwatukana wanakagera? Lissu anakemra namba uwanja wa ndege ulivyojengwa. Tunahitaji majibu

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
1.Kujifunzia kuendesha bodaboda na baiskeli.
.2.Kuanikia mahindi, unga, mihogo,
3.Kijiwe Cha kuvutia,
4.kuchungia
5.playground za watoto kuchezea.
Kwa uchache,hayo Ni matumizi mbadala pia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Kwani siyo kweli kwamba uwanja wa ndege umejengwa Chato nyumbani kwa Magufuli?, kama ni suala la kuwagawa wananchi nafikri anayeongoza kuwa gawa wananchi ni mgombea wa CCM mwenyewe,ambaye akiwa maeneo ya nyumbani kwao anasema kuwa wananchi wa huko wampigie kura kama mtoto wa nyumbani,

Na wengine anawaambia kuwa hawezi kupeleka maendeleo kwao kwa kuwa walichagua upinzani na katika uchaguzi ujao wachague maendeleo au majuto kwa kipindi cha miaka5.
Tena kajenga kwenye kiwanja/shamba lake la ukoo wa ng'ombe yape
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.
Hapo nahisi ataparuka...
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.

Kwa mtazamo wangu, hata watu wa chato hawanufahiki na huo uwanja wa ndege. Wana mahitaji mengine ambayo ni ya muhimu kuliko huo uwanja.
Kwa sabahiyo, wanachato watampa kura lissu kwani wao pia hawjui umuhimu wa huo uwanja kwa wakati huu.
 
Ule uwanja ni kwa ajili ya mkoa wa Geita sio Chato. Hata Mwanza kama kuna emergency ndege inaweza kutua chato kwa muda.
Unajenga Uwanja wa mabilioni ya shilingi kwa sababu eti ya dharura (emergency) ambayo inaweza kutokea mara mojà au isitokee milele, wenye akili wanajiuliza Uwanja utatumikaje wakati hakuna dharura? Imeshuhudiwa mara nyingi tu ndege zikitua kwa dharura barabarani, mashambani hata majini, je wale wakulima waliohamishwa kupisha Uwanja wangebaki na mashamba yao ndege zisingetua tu kwa dharura?

Uwanja umechukua maelfu ya ekari za ardhi nzuri kwa kilimo, je Wilayani au Mkoani humo hakuna wananchi wasio na ardhi ambao wangenufaika kama wangegawiwa eneo hilo kwa shughuli yoyote ile? Ujenzi wa Uwanja huo unaleta maswali mengi kwa wasio Wasukuma, hususani kutambua kuwepo viwanja vya Mwanza na Bukoba ambavyo navyo havitumiki zaidi ya 20% ya uwezo wao.
 
Watu wa Chato wanalia, maendeleo waliyopelekewa ni ya majengo lakini maji ambalo ni hitaji lao la kila siku hawana.
 
Ukitaja mambo matano nakutumia buku 100000 sasa hivi


hakuna mtu anaihitaji ela yako, ila thats how you speed up development sehem kama hio! ukipeleka zile huduma ndogo ndgo wafanya biashara wanapakwepa chato, wafanya biashara ndo wanaoletaga maendelo kwenye nchi sio serikali, serikali doesnt even own its own money

uwanja wa ndege + mbuga ya wanyama then jibu unalo ouput yake,
- hotels zitaanzishwa
- food zitauzika haraka
- ajira nje nje kwa tour companies na chain yake yote
- and the last chato becomes a city

hela yako peleka kwenye kampeni za cdm
 
Wewe huna akili kama huyo aliyejenga Uwanja wa Kimataifa hapo. Unajenga Uwanja wa mabilioni ya shilingi kwa sababu eti ya dharura (emergency) ambayo inaweza kutokea mara mojà au isitokee milele, wenye akili wanajiuliza Uwanja utatumikaje wakati hakuna dharura? Imeshuhudiwa mara nyingi tu ndege zikitua kwa dharura barabarani, mashambani hata majini, je wale wakulima waliohamishwa kupisha Uwanja wangebaki na mashamba yao ndege zisingetua tu kwa dharura? Uwanja umechukua maelfu ya ekari za ardhi nzuri kwa kilimo, je Wilayani au Mkoani humo hakuna wananchi wasio na ardhi ambao wangenufaika kama wangegawiwa eneo hilo kwa shughuli yoyote ile? Ujenzi wa Uwanja huo unaleta maswali mengi kwa wasio Wasukuma, hususani kutambua kuwepo Uwanja wa Mwanza na ule wa Bukoba.
Hiyo emergency nimekupa mfano tu. Lakini kuna watalii na wakazi wa Geita watautumia tu cha msingi ni Atcl au Kampuni ya ndege iwe na route kwenda Geita.

Kwani hao wakulima waliohamishwa ni ekari ngapi zilichukuliwa? Unalalama kama huna akili! Huo uwanja una ukubwa gani?
 
Back
Top Bottom