Uchaguzi 2020 Ewe Lissu, hata watu wa Chato ni wapiga kura wako

Uchaguzi 2020 Ewe Lissu, hata watu wa Chato ni wapiga kura wako

Maccm Kina chagu malunde yanajua kupanic 😂😂😂😂 yanatukana yakizidiwa hoja😂😂😂 lisu anawapapasa makalio mmefuraaaaa 😂😂🏃🏃🏃
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo...
Hata watu wa Chato wanafahamu kuwa kinachofanywa na Magufuli si sawa na wala haki.
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.

Ule uwanja mtachungia mbuzi huyo boya wenu akiomdoka. Gbadolite kipeo cha pili?
 
Hivi ule uwanja wa Chato niliona jana ndo mnaita international? Maana pale niliona run way tu za kawaida hakuna jengo wala nini. Kweli watu wakiamua kuzusha wanazusha kweli.
 
Hakuna ccm yeyeto mwenye uwezo wa kujibu hoja yeyeto ya watz labda msaidiwe na tume au polisi
 
Pale mtetezi wa wanyonge anapowaletea umasikini wanyonge uleta shaka juu ya uzalendo wake. Mtetezi wa wanyonge katu hawezi Kuwasomesha namba wanyonge ili wawe masikini ili wamuabuduhttps://youtu.be/N7QJEFijpb4
 
Kwako wewe unaekariri maneno ya msomi uchwala Lissu. Kwetu sisi Geita na Mwanza una umuhimu.

..serikali ilitakiwa kumaliza upanuzi wa mwanza airport.

..badala yake fedha zinatumika kujenga uwanja mpya kujijini kwao Jiwe.

..hayo ni matumizi mabaya ya fedha za umma, na matumizi mabaya ya madaraka.
 
..serikali ilitakiwa kumaliza upanuzi wa mwanza airport.

..badala yake fedha zinatumika kujenga uwanja mpya kujijini kwao Jiwe.

..hayo ni matumizi mabaya ya fedha za umma, na matumizi mabaya ya madaraka.
Ule uwanja haujajengwa kwao. Ni mali ya serikali,upanuzi wa uwanja Mza unaendelea.Sasa unalalamika nini?
 
Ule uwanja haujajengwa kwao. Ni mali ya serikali,upanuzi wa uwanja Mza unaendelea.Sasa unalalamika nini?

Mradi wa upanuzi wa mwanza airport haujakamilika kwasababu fedha zimechotwa kwenda kumjengea Jiwe uwanja wa ndege.

Uwanja wa ndege wa chato hauna justification yoyote ile ndiyo maana kila mwana-ccm anakuja na sababu zake za kuutetea.

Nimemsikia Doto Bulendu akisema uwanja wa ndege wa chato ni kwa ajili ya USALAMA wa bwana mkubwa. nyingi mnasema ni uwanja wa ndege wa akiba. kila mwana-ccm anakuja na uongo wake.

Hii ni dhambi ya Jiwe nyinyi wanachama wa kawaida hamna haja ya kuitetea. mngemuacha tu Jiwe aibebe peke yake mwenyewe.
 
Tundu Lissu hujui geography ya Tanzania? Kwako Chato iko nchi gani?

Kila siku anatukana watu wa Chato kwa kupelekewa maendeleo

Huyu Lissu tunamsubiri ataenda kuomba vipi hizo kura Chato na mkoa wa Geita kwa ujumla.

Wana Chato na Geita kwa ujumla tunaomba mtoe fundisho kwa wagombea wa namna hii wenye lengo la kuwagawa Watanzania badala ya kuwafanya wawe kitu kimoja.
Naona ni vyema naye akiambiwa hivyo kauli hizi zinalipa zile kauli zake za msoma kuisusa bunda kwa maneno ya kibaguzi "sitaleta maendeleo kwa wasioichagua ccm"
 
Back
Top Bottom