Uchaguzi 2020 Ewe Lissu, hata watu wa Chato ni wapiga kura wako


Nadhani tayari Lisu kafika Geita na kapokelewa vema ...hii nchi ni ya wote ......, kwenye wilaya nyingine JPM anafika anawatisha watu kuwa atawanyima maendeleo wakichagua upinzani ......sasa jiulize hata nyumbani Geita kumbe pia hawapendi ubaguzi

Hongera Sana Geita
 
Etwege,
Hujawai kuandika cha maana humu, ila hii ni kweli, Chato na Geita ni wapiga kura wa Lisu pia, juzi na jana tumeona!
 
Hope majibu umeyapata.
 
Kakojoe ulale.
 
Hahahahaha wamemjibu hahag[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji846][emoji846][emoji846][emoji23]
 
Kaenda chato, kashangiliwa, kapata support ya kutosha, eapambe wa ccm wakataka kumzuia wakadhitiwa sasa kama unajiua kwa wivu na ukafie mbele.
 
Punguani huyoooo

Kaenda hajaenda??

Pumbavu zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…