mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,658
- 8,994
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha unafiki we dada ,hamna muda wowote ule ambao Tanzania imesambaza umeme vijijini kama awamu hiiMimi ni secretary wake katika mpango mzima wa kutumikia mabeberu angalau walituendeleza sasa hivi maji na umeme ni anasa huko vijijini
Hizo ni dalili za kuishiwa hoja and this is typical of people who are interested or are capable of discussing ACTIVITIES AND SMALL MEANINGLESS ISSUES ONLY badala ya IMPORTANT ISSUES AND BIG IDEAS for development purposes.Achana na upumbavu wako huu hivi nyie vijana wa Mr Slowly mnakunywa pombe gan za kienyeji,hivi ofsi za Lumumba siku hizi zipo Ikungi?
Kabisa, kasome Political science utayaelewa haya sina muda mwingi ningekudadavulia yote.Kwa hiyo Lisu akiitukana serikali ,kutetea mabeberu na kuichafua nchi ,ndiyo itakuwa ya uchumi wa kati kama Egypt??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hizo awamu zilizopita CCM si ndiyo chama tawala?Acha unafiki we dada ,hamna muda wowote ule ambao Tanzania imesambaza umeme vijijini kama awamu hii
Sent using Jamii Forums mobile app
MhhhhKabisa, kasome Political science utayaelewa haya sina muda mwingi ningekudadavulia yote.
Yes ni ccm iliyokuwa inaongozwa na Sumaye na LowasaKwani hizo awamu zilizopita CCM si ndiyo chama tawala?
Ikowapi hiyo hoja?
Hoja ni Lisu kutetea wazungu na kuacha wapiga kura wake wa IkungiIkowapi hiyo hoja?
Kwani wewe ndio ulimpiga risasi Lisu?Hoja ni Lisu kutetea wazungu na kuacha wapiga kura wake wa Ikungi
Sent using Jamii Forums mobile app
Risasi na kutetea wapiga kura wapi na wapi ?Kwani wewe ndio ulimpiga risasi Lisu?
Kweli mkuuWakati mwingine wabunge wetu hujisahau na kuongeza nguvu zao kwenye mambo ya kitaifa na kusahau majukumu yao ya msingi.
Wabunge wachache sana wa upinzani wanaweza fanya hizo mambo za kitaifa na za majimboni kisawasawa, Zitto,Prof J,Heche wanajitahidi ila wengine wengi wanazingua sana wapiga kura wao majimboni.
Hii inawapelekea kuwa wapenzi wa watanzania wengi (kidogokidogo) toka majimbo mbalimbali na kuwa na support ndogo majimboni kwao.
Tofauti na wabunge wa CCM once ukiwa nje ya Cabinet wanakuwa hawana mambo mengi zaidi ya kujijenga jimboni.
2020 tutashuhudia mengi.
Ufipa ndio nini?
Maendeleo huletwa na halimashauri manisipaa pia mbona wananchi hawakumtuma magufuli kuzuia mikutano ya siasa? Watanzania wamemtuma magufuli kuwatuma akina cyprian Musiba, le mutuz, Bashite na Heri kisanduku kwenda kumpiga Risasi Tundu Lisu? Wapiga kura walimtuma magufuli kukandamiza Demokrasia? Kuwabambikia kesi, kuwapora ushindi kwenye chaguzi mbalimbali? Uonevu kwa WapinzaniHATOSHI KWA CHOCHOTE ZAIDI YA UCHOCHEZI:
Lissu ni mtu ambae ukifatilia uwezo wake wa kuwasaidia wananchi kimaendeleo hawezi kabisa lakini kuwachochea na kuwapandikizia chuki dhidi ya serikali anaweza asilimia mia kokote duniani.
Alipewa kura za ubunge ili awaletee wananchi maendeleo kule Singida lakini akarudi kwenye asili yake ya uchochezi na kujikuta kazi yake kubwa ni kuichokonoa serikali bila kujali ni nini alitumwa na wananchi.
Tangu awe mbunge kazi yake ni kusema mabaya tu kuhusu serikali huku akiwa hajui kero sahihi za wananchi wake Singida anayebisha aseme kawafanyia nini cha maana Singida.?? Hata siku moja huwezi kumsikia Lisu akizungumzia kero za wananchi wake.!
Kinachomuondoa kwenye ubora au kinachompoteza kwenye ubora ni kwamba "Hatoshi kuwa kiongozi" maana alikuwa bora katika harakati za haki za binadamu lakini alipopewa uongozi akapoteza ubora kwa kukosa hoja kabisa na akawa mtu wa kujadili matukio na ikumbukwe kiongozi mwenye uwezo wa kujadili sana matukio ni virahisi pia kutengeneza matukio ili apate sapoti ya wananchi kuyajadili.
Kiongozi hutumia hoja kufanya maendeleo huku mwanaharakati akiwa ni mtu wa matukio tu bila kuwa na hoja za kuwaletea wananchi maendeleo.
Mwisho Lissu hafai kuwa kiongozi ila anafaa kuwa mwanaharakati wa haki za binaadamu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa kuwa wewe unaiona kuwa propaganda,basi waeleze ukweli wanna Singida Mh Lissu amewafanyia Nini Wanasingida?Hii propaganda haina mantiki hupew kitu