Ewe mfanyakazi, jitahidi kuwatembelea wenzako ujifunze maendeleo wanayofanya

Ewe mfanyakazi, jitahidi kuwatembelea wenzako ujifunze maendeleo wanayofanya

Hapa ndipo umaskini wa watanzania wengi ulipo.Wahindi hawana nyumba wanapanga nyumba za msajili wa majumba na ni matajiri hatari watoto wanasoma kanada nk

Waswahili tunapenda sana kulalia pesa!!! Kazi ya hiyo nyumba nzuri ni nini zaidi ya kulala na kuamka? Hakuna cha kujifunza hapo ujinga mtupu

WAkenya ukimtembelea mgumu sana kukupeleka nyumbani atakuambia twende kwenye biashara yangu na ukifika sio ushangae shangae lazima ununue kitu siuo akupe offer!!! Pale sio sehemu ya utalii !!

Mswahili ukibishana naye kidogo utasikia mimi nina kwangu wewe una nini? Na ukisalimiana naye atakwambia karibu kwangu kumbe lengo lake akuonyeshere hizo pesa alizolaza kwenye matofali badala ya kuwekeza.Anakuonyesha jinsi anavyolalia pesa na kuamka.Jumba hilo mamilioni ya pesa la kulala na kuamka .IDLE CAPITAL invested in beds and siitting rooms!!!

Mleta mada shtuka nyumba nzuri kwa ulimwengui wa sasa sio kitu cha kumbabaishia mtu watu wameshahama huko wamebaki washamba wachache kama wewe


Lakini yehodaya kujenga nyumba bora nayo ina thamani...unaweza kopea mkopo mzuri ukaendeleza biashara..maisha ya kupanga jamani ah
 
Hapa ndipo umaskini wa watanzania wengi ulipo.Wahindi hawana nyumba wanapanga nyumba za msajili wa majumba na ni matajiri hatari watoto wanasoma kanada nk

Waswahili tunapenda sana kulalia pesa!!! Kazi ya hiyo nyumba nzuri ni nini zaidi ya kulala na kuamka? Hakuna cha kujifunza hapo ujinga mtupu

WAkenya ukimtembelea mgumu sana kukupeleka nyumbani atakuambia twende kwenye biashara yangu na ukifika sio ushangae shangae lazima ununue kitu siuo akupe offer!!! Pale sio sehemu ya utalii !!

Mswahili ukibishana naye kidogo utasikia mimi nina kwangu wewe una nini? Na ukisalimiana naye atakwambia karibu kwangu kumbe lengo lake akuonyeshere hizo pesa alizolaza kwenye matofali badala ya kuwekeza.Anakuonyesha jinsi anavyolalia pesa na kuamka.Jumba hilo mamilioni ya pesa la kulala na kuamka .IDLE CAPITAL invested in beds and siitting rooms!!!

Mleta mada shtuka nyumba nzuri kwa ulimwengui wa sasa sio kitu cha kumbabaishia mtu watu wameshahama huko wamebaki washamba wachache kama wewe
Unachekesha kweli, Wahindi walishajifunza baada ya nyumba zao kutaifishwa na Mwalimu Nyerere,kujenga nyumba kunakuzuia kufanya project gani?
Kama unabishara na zinakulipa nn kinakuzuia kujenga?Nchi zilizoendelea watu wananunua nyumba uzeeni tena baada ya kustaafu kazi ni kwasababu nyumba zinabei ghali kwahyo wanaishi me kupanga Tu, wewe uliwahi kuona wapi mtu aliefanikiwa alafu hana nyumba
 
Nchi zilizoendelea watu wananunua nyumba uzeeni tena baada ya kustaafu kazi ni kwasababu nyumba zinabei ghali kwahyo wanaishi me kupanga Tu, wewe uliwahi kuona wapi mtu aliefanikiwa alafu hana nyumba
Uongo mkubwa hakuna mtu akitaka kununua hunua kwa mfumo kukopeswa wa morgage ,Unalipa kidogokidogo kwa miaka 20 au 25 halafu nyumba inakuwa yako

Pili kuna wale wanapeleka pesa nyumba za kutunza wazee wakistafu ,Pension ya kila mwezi inaingia nyumba za kutunza wazee .Wanatuzwa vizuri kwa kila kitu hadi kufariki kwao

Wengine wanaobaki huishi nyumba za kupanga maisha yao yote pension ya mwezi kiasi kinaenda direct kwa mwenye nyumba kinachobaki kinaingia kwake.Ila mikataba yake huwa ya muda mrefu kuwa mwenye nyumba unasema mfano kodi yangu itakuwaa laki moja na haitabadilika kwa miaka mfano 20 baada ya hapo itapanda kwa asilimia 10 kwa miaka mingine 20 .Mtu anasaini mkataba anajiishia humo hadi anajukuu na kukata roho
 
Uongo mkubwa hakuna mtu akitaka kununua hunua kwa mfumo kukopeswa wa morgage ,Unalipa kidogokidogo kwa miaka 20 au 25 halafu nyumba inakuwa yako

Pili kuna wale wanapeleka pesa nyumba za kutunza wazee wakistafu ,Pension ya kila mwezi inaingia nyumba za kutunza wazee .Wanatuzwa vizuri kwa kila kitu hadi kufariki kwao

Wengine wanaobaki huishi nyumba za kupanga maisha yao yote pension ya mwezi kiasi kinaenda direct kwa mwenye nyumba kinachobaki kinaingia kwake.Ila mikataba yake huwa ya muda mrefu kuwa mwenye nyumba unasema mfano kodi yangu itakuwaa laki moja na haitabadilika kwa miaka mfano 20 baada ya hapo itapanda kwa asilimia 10 kwa miaka mingine 20 .Mtu anasaini mkataba anajiishia humo hadi anajukuu na kukata roho
Sio wote wanafanya mortgage
 
Kuna shemeji yangu alikuwa anafanya kazi kwa wahindi kama general manager. Alikuwa anapiga mishe zake kimya kimya kwa kujiongeza so akawa ana make pesa na mkewe ( binamu) alikuwa yupo vizuri kusimamia maisha so wakasonga.

Akajenga nyumba yake fresh akanunua gari akawa amemuachia mkewe ndio anatumia. Siku moja alipopata mtoto wa pili akawaalika wenzake kwa mara ya kwanza hapo kwake, alifanya sherehe mbili, ya kwanza ya shukurani ya kujenga nyumba na makazi mapya na ya pili kumpokea mtoto wa pili.

Kumbuka mara ya kwanza walipokuja kusalimia mtoto wa kwanza alikuwa bado kapanga chumba na sebule. Safari hii wanakuja wanamkuta yupo katika nyumba ya kisasa ya vyumba vitatu tena kubwa na iliyofanyiwa finishing na nje kuna gari ndogo imepaki.

Naona wale wenzake walipoondoka ile hali ya mwenzao kupata mabadiliko mazuri ndani ya muda mfupi iliwanyima amani ya moyo wakaona hapana, lazima huyu arudi katika hali ya zamani kwann atupite hivi.

So wazee wa fitina wakaona wakachonge ngenga kwa mdosi kule ofisini kwao. Aiseee shem wiki moja tu baada ya ugeni ule anashangaa anaitwa na uongozi, na anafika wanamuuliza maswali ya ajabu ajabu ya kumtafuta uchawi.

Huku na kule wakamchana live kuwa ameibia kampuni pesa nyingi sana. Akawaambiwa kama wanaushahidi wamuonyeshe huo wizi. Jamaa wakaanza muuliza kuhusu mali zake, akawaambia kuwa yeye na mkewe wanapambana usiku na mchana na biashara na yeye anajichanga ndio maana kafika hapo.

Mwisho wa siku wahindi wakakosa hoja ila sababu ya hofu wakamtoa kazini akarudi kitaa. Akatingishana nao wakamtoa mpunga wake, akaanza kupiga biashara zake ndogo ndogo. Ilimchukua muda maana hapo katikati alipitia msoto sana kimaisha. Ila baadae akakaa sawa akaendelea na biashara maisha yakakaa sawa.

Siku kadhaa mbele akaja kutana na mojawapo ya madereva aliyekuwapo kazini kwao kwa wahindi na yeye alitolewa mzigoni. Jamaa ndio kumwambia yaliyotokea yote na kumtajia waliomfanyia figisu kwa uongozi kazini kwake.

Shemeji akasikitika sana. Kumbe watu wa karibu aliowaamini na kudhania wanafurahia maisha yake kumbe wamekunja roho zao kwa husuda na wivu. Tena wengine wameshamlilia njaa sana na amewasaidia bila kuwakopesha.

So mleta mada unatakiwa kujua dunia ya sasa na jamii ya sasa haya mambo ya kuleta ukaribu wa kipuuzi mara nyingi huleta hasara nyingi kushinda faida sababu watu kwa sasa maisha yanawabadili akili na kuwa na akili za kindezi sana.
 
Lakini yehodaya kujenga nyumba bora nayo ina thamani...unaweza kopea mkopo mzuri ukaendeleza biashara..maisha ya kupanga jamani ah
WAhindi hawana nyumba lakini wakienda kukopa ndani ya nusu saa wanapata pesa tofauti na mswahuili utapiga mark time hadi ukome

Wao pesa ya thamani ya nyumba wanaieka fixed deposit account.Akitaka mkopo dakika tu wakiuliza dhamana anawapaa akaunti ya FIXED DEPOSIT dakika tu pesa iunaingia .Wewe na hilo jengo lako wakija kulitizama wakakikuta ni la kuishi tu wanaondoka zao wanajua utawasumbua bure marejesho jengo la kuishu kwa wakopeshaji wengi ni kama lina zero value
Mijumba ya kulala na kuamka sio asset ya maana ya kumwambia mtu nikopeshe milioni 50 naweka dhamani hili jengo lenye magodoro yenye kunguni ndani

Jengo wanaloheshimu ni la biashara lililo sehemu nzuri .Lakini hilo la kwako la kulala na kuamka waweza weka dhamana ya kukopa mitaani unataka milioni tatu mtu anasema weka dhamana jumba lako la milioni 100!!! Anaenda kukuloga ushindwe kulipa analichukua ,Kila ukitafuta milioni tatu hupati riba inapanda tu!! kaloga
 
Niliwahi fanya hilo kosa la kumuamini co worker mwenzangu kwa kuwa alikuwa karibu sana na mimi, namuona rafiki kumbe alikuwa snitch alitumwa!
Akawa amezoea kuja kwangu, kumbe mpuuzi yule kuna wadau alikuwa akishirikiana nao kutaka kunitengenezea zile kesi ambazo hazina dhamana!

Nashukuru Mungu alikuwa upande wangu niligundua japo ilikuwa ni kwa kuchelewa kidogo ila mtego wao niliuruka!

Kwa sasa yule mpuuzi na wenzake, wamekongoroka sana labda mama atawatupia japo pipi!

Kiufupi binafsi sishawishiki kuwatembelea wafanyakazi wenzangu labda iwe lazima sana na yeye kanihitaji nimtembelee labda anaumwa, msiba n.k!
Lakini pia siamini sana dhamira zao, zinawahusudu kufanya nini anaponitembelea!

Sehemu za kazi ni za kupita tu, si sehemu za kuweka makao ya kudumu na kuwaamini sana wafanyakazi wenzako eti kwa sababu ya kujifunza! Kujifunza unaweza kufanya hivyo kwa muuza chipsi au dukani kwa mangi!
 
WAhindi hawana nyumba lakini wakienda kukopa ndani ya nusu saa wanapata pesa tofauti na mswahuili utapiga mark time hadi ukome

Wao pesa ya thamani ya nyumba wanaieka fixed deposit account.Akitaka mkopo dakika tu wakiuliza dhamana anawapaa akaunti ya FIXED DEPOSIT dakika tu pesa iunaingia .Wewe na hilo jengo lako wakija kulitizama wakakikuta ni la kuishi tu wanaondoka zao wanajua utawasumbua bure marejesho jengo la kuishu kwa wakopeshaji wengi ni kama lina zero value
Mijumba ya kulala na kuamka sio asset ya maana ya kumwambia mtu nikopeshe milioni 50 naweka dhamani hili jengo lenye magodoro yenye kunguni ndani

Jengo wanaloheshimu ni la biashara lililo sehemu nzuri .Lakini hilo la kwako la kulala na kuamka waweza weka dhamana ya kukopa mitaani unataka milioni tatu mtu anasema weka dhamana jumba lako la milioni 100!!! Anaenda kukuloga ushindwe kulipa analichukua ,Kila ukitafuta milioni tatu hupati riba inapanda tu!! kaloga

Hahahhahahahahahaa! Mie sio muumini wa fixed deposit kabisa aisee.am.sorry...bora niizungushe ! Au bora niweke as hisa..pyee...niliuliza bank moja 5m sijui kwa mwaka unapata 800k si wehu huu
 
Dada mada yako ya kutaka watu wasijenge wawe Kama wahindi umeikomalia kweli, unashindwa kujua wahindi wanaogopa kujenga tangu enzi za nyerere, ila wanajenga kwao na kwa baadhi ya nchi za afrika.

Kwa maisha ya kawaida nyumba ndio kila kitu, familia inakuwa na amani ikiwa kwao, halafu maisha yenyewe mafupi sikuizi, unaweza ukawa na hela ukaacha kujenga,mwishoe ukafa gafla mke na watoto wataanza kuangaika nyumba za kupanga.
Nyumba nyingi Upanga, mtaa wa Libya mpaka posta zimejengwa na Wahindi.
 
Kuna shemeji yangu alikuwa anafanya kazi kwa wahindi kama general manager. Alikuwa anapiga mishe zake kimya kimya kwa kujiongeza so akawa ana make pesa na mkewe ( binamu) alikuwa yupo vizuri kusimamia maisha so wakasonga.

Akajenga nyumba yake fresh akanunua gari akawa amemuachia mkewe ndio anatumia. Siku moja alipopata mtoto wa pili akawaalika wenzake kwa mara ya kwanza hapo kwake, alifanya sherehe mbili, ya kwanza ya shukurani ya kujenga nyumba na makazi mapya na ya pili kumpokea mtoto wa pili.

Kumbuka mara ya kwanza walipokuja kusalimia mtoto wa kwanza alikuwa bado kapanga chumba na sebule. Safari hii wanakuja wanamkuta yupo katika nyumba ya kisasa ya vyumba vitatu tena kubwa na iliyofanyiwa finishing na nje kuna gari ndogo imepaki.

Naona wale wenzake walipoondoka ile hali ya mwenzao kupata mabadiliko mazuri ndani ya muda mfupi iliwanyima amani ya moyo wakaona hapana, lazima huyu arudi katika hali ya zamani kwann atupite hivi.

So wazee wa fitina wakaona wakachonge ngenga kwa mdosi kule ofisini kwao. Aiseee shem wiki moja tu baada ya ugeni ule anashangaa anaitwa na uongozi, na anafika wanamuuliza maswali ya ajabu ajabu ya kumtafuta uchawi.

Huku na kule wakamchana live kuwa ameibia kampuni pesa nyingi sana. Akawaambiwa kama wanaushahidi wamuonyeshe huo wizi. Jamaa wakaanza muuliza kuhusu mali zake, akawaambia kuwa yeye na mkewe wanapambana usiku na mchana na biashara na yeye anajichanga ndio maana kafika hapo.

Mwisho wa siku wahindi wakakosa hoja ila sababu ya hofu wakamtoa kazini akarudi kitaa. Akatingishana nao wakamtoa mpunga wake, akaanza kupiga biashara zake ndogo ndogo. Ilimchukua muda maana hapo katikati alipitia msoto sana kimaisha. Ila baadae akakaa sawa akaendelea na biashara maisha yakakaa sawa.

Siku kadhaa mbele akaja kutana na mojawapo ya madereva aliyekuwapo kazini kwao kwa wahindi na yeye alitolewa mzigoni. Jamaa ndio kumwambia yaliyotokea yote na kumtajia waliomfanyia figisu kwa uongozi kazini kwake.

Shemeji akasikitika sana. Kumbe watu wa karibu aliowaamini na kudhania wanafurahia maisha yake kumbe wamekunja roho zao kwa husuda na wivu. Tena wengine wameshamlilia njaa sana na amewasaidia bila kuwakopesha.

So mleta mada unatakiwa kujua dunia ya sasa na jamii ya sasa haya mambo ya kuleta ukaribu wa kipuuzi mara nyingi huleta hasara nyingi kushinda faida sababu watu kwa sasa maisha yanawabadili akili na kuwa na akili za kindezi sana.
Hii Ni kweli. Mtu mweusi Ni mweusi kote, japokuwa tupo wachache tunaojifunza kupitia kwenye maendeleo ya mtu.
 
Sishauri kualikana nyumbani hovyo.
Jitahidi kuwa na marafiki wanaofanya kazi ofisi nyingine,either uliosoma nao au uliokuwa nao--hao ndio level zako.
Masaa nane unayokaa nao--YANATOSHA!
 
Njoo na haya nawazo ukiwa na miaka 55 utalia na kusaga meno
biashara ndio uhangaike kuijenga sio jumba la kulala wewe ,Utakuja lihama mchana kweupe nenda mbezi ghorofa usiku unalikuta giza mwenye nalo alilijenga ENZI HIZO ANAJINYIMA MWENYEWE SASA hana pesa ya kulipia umeme analipia balbu mbili tu ya sebuleni na chumbani tu .Bustani za maua zimekauka analalamika bill ya maji kubwa !!! ANALALAMIKA NDOGO HAITOSHI KU SUSTAIN MAISHA!!!!

Analia na kusaga meno na ghorofa lake
 
Kuna shemeji yangu alikuwa anafanya kazi kwa wahindi kama general manager. Alikuwa anapiga mishe zake kimya kimya kwa kujiongeza so akawa ana make pesa na mkewe ( binamu) alikuwa yupo vizuri kusimamia maisha so wakasonga.

Akajenga nyumba yake fresh akanunua gari akawa amemuachia mkewe ndio anatumia. Siku moja alipopata mtoto wa pili akawaalika wenzake kwa mara ya kwanza hapo kwake, alifanya sherehe mbili, ya kwanza ya shukurani ya kujenga nyumba na makazi mapya na ya pili kumpokea mtoto wa pili.

Kumbuka mara ya kwanza walipokuja kusalimia mtoto wa kwanza alikuwa bado kapanga chumba na sebule. Safari hii wanakuja wanamkuta yupo katika nyumba ya kisasa ya vyumba vitatu tena kubwa na iliyofanyiwa finishing na nje kuna gari ndogo imepaki.

Naona wale wenzake walipoondoka ile hali ya mwenzao kupata mabadiliko mazuri ndani ya muda mfupi iliwanyima amani ya moyo wakaona hapana, lazima huyu arudi katika hali ya zamani kwann atupite hivi.

So wazee wa fitina wakaona wakachonge ngenga kwa mdosi kule ofisini kwao. Aiseee shem wiki moja tu baada ya ugeni ule anashangaa anaitwa na uongozi, na anafika wanamuuliza maswali ya ajabu ajabu ya kumtafuta uchawi.

Huku na kule wakamchana live kuwa ameibia kampuni pesa nyingi sana. Akawaambiwa kama wanaushahidi wamuonyeshe huo wizi. Jamaa wakaanza muuliza kuhusu mali zake, akawaambia kuwa yeye na mkewe wanapambana usiku na mchana na biashara na yeye anajichanga ndio maana kafika hapo.

Mwisho wa siku wahindi wakakosa hoja ila sababu ya hofu wakamtoa kazini akarudi kitaa. Akatingishana nao wakamtoa mpunga wake, akaanza kupiga biashara zake ndogo ndogo. Ilimchukua muda maana hapo katikati alipitia msoto sana kimaisha. Ila baadae akakaa sawa akaendelea na biashara maisha yakakaa sawa.

Siku kadhaa mbele akaja kutana na mojawapo ya madereva aliyekuwapo kazini kwao kwa wahindi na yeye alitolewa mzigoni. Jamaa ndio kumwambia yaliyotokea yote na kumtajia waliomfanyia figisu kwa uongozi kazini kwake.

Shemeji akasikitika sana. Kumbe watu wa karibu aliowaamini na kudhania wanafurahia maisha yake kumbe wamekunja roho zao kwa husuda na wivu. Tena wengine wameshamlilia njaa sana na amewasaidia bila kuwakopesha.

So mleta mada unatakiwa kujua dunia ya sasa na jamii ya sasa haya mambo ya kuleta ukaribu wa kipuuzi mara nyingi huleta hasara nyingi kushinda faida sababu watu kwa sasa maisha yanawabadili akili na kuwa na akili za kindezi sana.
Kazi ipo tu kujua dhamira ya mtu lakini kiukwel wabongo wengi hawafurahii wakiona mwingine amepiga hatua bila hata Ya kujua kafaulu vipi...Ila kikubwa Ni kumuomba Sana Mungu Akupe macho yakuona wema na wabaya kwa matendo yao
 
Hapa ndipo umaskini wa watanzania wengi ulipo.Wahindi hawana nyumba wanapanga nyumba za msajili wa majumba na ni matajiri hatari watoto wanasoma kanada nk

Waswahili tunapenda sana kulalia pesa!!! Kazi ya hiyo nyumba nzuri ni nini zaidi ya kulala na kuamka? Hakuna cha kujifunza hapo ujinga mtupu

WAkenya ukimtembelea mgumu sana kukupeleka nyumbani atakuambia twende kwenye biashara yangu na ukifika sio ushangae shangae lazima ununue kitu siuo akupe offer!!! Pale sio sehemu ya utalii !!

Mswahili ukibishana naye kidogo utasikia mimi nina kwangu wewe una nini? Na ukisalimiana naye atakwambia karibu kwangu kumbe lengo lake akuonyeshere hizo pesa alizolaza kwenye matofali badala ya kuwekeza.Anakuonyesha jinsi anavyolalia pesa na kuamka.Jumba hilo mamilioni ya pesa la kulala na kuamka .IDLE CAPITAL invested in beds and siitting rooms!!!

Mleta mada shtuka nyumba nzuri kwa ulimwengui wa sasa sio kitu cha kumbabaishia mtu watu wameshahama huko wamebaki washamba wachache kama wewe
Yote kwa yote nyumba zetu hizi za kupanga uswahilini ni kero kama sio wapangaji wenzio au mwenye nyumba. Mie bora nikalalie tu hizo pesa.
 
Dada mada yako ya kutaka watu wasijenge wawe Kama wahindi umeikomalia kweli, unashindwa kujua wahindi wanaogopa kujenga tangu enzi za nyerere, ila wanajenga kwao na kwa baadhi ya nchi za afrika.

Kwa maisha ya kawaida nyumba ndio kila kitu, familia inakuwa na amani ikiwa kwao, halafu maisha yenyewe mafupi sikuizi, unaweza ukawa na hela ukaacha kujenga,mwishoe ukafa gafla mke na watoto wataanza kuangaika nyumba za kupanga.
Kwa kweli kuna ufahari kuitwa baba mwenye nyumba na sio baba mwenye gari.
Nyumba unaweza itumia kukopa ivyo ikatumika kama asset pia
 
Back
Top Bottom