Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Well said mkuu,Hapa ndipo umaskini wa watanzania wengi ulipo.Wahindi hawana nyumba wanapanga nyumba za msajili wa majumba na ni matajiri hatari watoto wanasoma kanada nk
Waswahili tunapenda sana kulalia pesa!!! Kazi ya hiyo nyumba nzuri ni nini zaidi ya kulala na kuamka? Hakuna cha kujifunza hapo ujinga mtupu
WAkenya ukimtembelea mgumu sana kukupeleka nyumbani atakuambia twende kwenye biashara yangu na ukifika sio ushangae shangae lazima ununue kitu siuo akupe offer!!! Pale sio sehemu ya utalii !!
Mswahili ukibishana naye kidogo utasikia mimi nina kwangu wewe una nini? Na ukisalimiana naye atakwambia karibu kwangu kumbe lengo lake akuonyeshere hizo pesa alizolaza kwenye matofali badala ya kuwekeza.Anakuonyesha jinsi anavyolalia pesa na kuamka.Jumba hilo mamilioni ya pesa la kulala na kuamka .IDLE CAPITAL invested in beds and siitting rooms!!!
Mleta mada shtuka nyumba nzuri kwa ulimwengui wa sasa sio kitu cha kumbabaishia mtu watu wameshahama huko wamebaki washamba wachache kama wewe
Ni bora kujiwekeza kwenye shughuli itakayo generate income kuliko kuzika pesa kwenye ujenzi ambao hautaisha mara moja.