Ewe mwanamke ni mwanaume yupi kati ta hawa anafaa kuwa mumeo?

Ewe mwanamke ni mwanaume yupi kati ta hawa anafaa kuwa mumeo?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Kumekuwa na makundi mbalimbali ya wanawake wakitaja sifa za mwanaume anayefaa kuwa baba wa watoto wake.

Hawa ndio wanaume wanaotajwa na wanawake kila uchwao kuwa wanatamani sana kuwa wandani wao haki kifo.

1: Mrefu mweupe
2: Mwenye pesa
3: Mwenye hofu ya Mungu na upendo
4: Mrefu mweusi
5: Mwenye six pack
6: Mfupi mweusi
7: Mwenye uume mkubwa
8: Mfupi mweupe


EEB39BB2-DF77-4042-9EDA-A7F161BEF677.jpeg
 
Kumekuwa na makundi mbalimbali ya wanawake wakitaja sifa za mwanaume anayefaa kuwa baba wa watoto wake.

Hawa ndio wanaume wanaotajwa na wanawake kila uchwao kuwa wanatamani sana kuwa wandani wao haki kifo.

1: Mrefu mweupe
2: Mwenye pesa
3: Mwenye hofu ya Mungu na upendo
4: Mrefu mweusi
5: Mwenye six pack
6: Mfupi mweusi
7: Mwenye uume mkubwa
8: Mfupi mweupe


View attachment 2818714
Combined 1,&3
 
Kumekuwa na makundi mbalimbali ya wanawake wakitaja sifa za mwanaume anayefaa kuwa baba wa watoto wake.

Hawa ndio wanaume wanaotajwa na wanawake kila uchwao kuwa wanatamani sana kuwa wandani wao haki kifo.

1: Mrefu mweupe
2: Mwenye pesa
3: Mwenye hofu ya Mungu na upendo
4: Mrefu mweusi
5: Mwenye six pack
6: Mfupi mweusi
7: Mwenye uume mkubwa
8: Mfupi mweupe


View attachment 2818714
That's why nipo radhi kujiunga CCM ila sio kuwa na mwanamke japokuwa CCM ni adui yangu number 1 but I got no choice man!
 
Kumekuwa na makundi mbalimbali ya wanawake wakitaja sifa za mwanaume anayefaa kuwa baba wa watoto wake.

Hawa ndio wanaume wanaotajwa na wanawake kila uchwao kuwa wanatamani sana kuwa wandani wao haki kifo.

1: Mrefu mweupe
2: Mwenye pesa
3: Mwenye hofu ya Mungu na upendo
4: Mrefu mweusi
5: Mwenye six pack
6: Mfupi mweusi
7: Mwenye uume mkubwa
8: Mfupi mweupe


View attachment 2818714
HELA
 
Ngoja nimpekue niliyenae then naja kutoa majibu...maana hata sielewi nimempendea nini😘
 
Na Mwenye kifua cha kunyonywa hamjamweka hapo...siyo anakuwa na kifua flat TV
 
Back
Top Bottom