Ewe mwanamke ni mwanaume yupi kati ta hawa anafaa kuwa mumeo?

Ewe mwanamke ni mwanaume yupi kati ta hawa anafaa kuwa mumeo?

Kumekuwa na makundi mbalimbali ya wanawake wakitaja sifa za mwanaume anayefaa kuwa baba wa watoto wake.

Hawa ndio wanaume wanaotajwa na wanawake kila uchwao kuwa wanatamani sana kuwa wandani wao haki kifo.

1: Mrefu mweupe
2: Mwenye pesa
3: Mwenye hofu ya Mungu na upendo
4: Mrefu mweusi
5: Mwenye six pack
6: Mfupi mweusi
7: Mwenye uume mkubwa
8: Mfupi mweupe


View attachment 2818714
Hao wote batili


Anaejali, anaebembeleza ndo mume material hao😙😙😙
 
Back
Top Bottom