Ewe mzazi, kabla ya kumpa mtoto jina, fikiria kitaa, ujana wake na shuleni ataishije nalo. Mtoto wa kiume anaitwa "Cesi"....

Ewe mzazi, kabla ya kumpa mtoto jina, fikiria kitaa, ujana wake na shuleni ataishije nalo. Mtoto wa kiume anaitwa "Cesi"....

Thomas Brown

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2025
Posts
344
Reaction score
856
Ewe mzazi ukiwa unatafuta jina la kumpa mtoto wako punde baada ya kujifungua, kifiria kwanza hilo jina akifika muda wa balehe (ujana) ataweza kuishi nalo mbele ya vijana wenzake??

Watoto wengi sana wanafanyiwa bullying kupitia majina yao na wanaishia kuyakataa au kutenda uhalifu.

Juzi hapa kitaa kuna dogo alimpiga dogo mwenzie jiwe la kichwa eti kisa ameitwa "sesi"

Yeye hataki kuitwa sesi ila anataka aitwe "Cecil" kwa madai kuwa sesi ni jina la kike.

Ewe mzazi think twice kabla ya kutenda..
 
Kuna jamaa baba alikuwa mchungaji kabisa akamuita mtoto wake Jesca.Shuleni alikuwa anakipata cha moto akajiongezea jina akaanza kujiita Jescariote .
Kwa hyo na na yeye ajiongeze ajiite cesko
 
Ewe mzazi ukiwa unatafuta jina la kumpa mtoto wako punde baada ya kujitungua, kifiria kwanza hilo jina akifika muda wa balehe (ujana) ataweza kuishi nalo mbele ya vijana wenzake??

Watoto wengi sana wanafanyiwa bullying kupitia majina yako na wanaishia kuyakataa au kutenda uhalifu.

Juzi hapa kitaa kuna dogo alimpiga dogo mwenzie jiwe la kichwa eti kisa ameitwa "sesi"

Yeye hataki kuitwa sesi ila anataka aitwe "Cecil" kwa madai kuwa sesi ni jina la kike.

Ewe mzazi think twice kabla ya kutenda..
TATIZO NI KWAMBA...ZOEZI LA UTOAJI MAJINA KWA WATOTO LIMETAWALIWA NA AKINA MAMA...AMBAO WANAPENDA MAJINA SPECIAL UNIQUE YA KIZUNGU YA KITURUKI NA KIFILIPINO AMBAYO AKIMWITA MWANAE LITAKUWA NDILO JINA HILO HILO MWANAE ATAKUWA ANAITWA MTAA MZIMA...

Mfano: jina ulilotolea mfano hapo la CECIL...ni jina ambalo kwenye jamii za kizungu ni jina la kawaida tu na kukatishwa haliwezekani kuitwa CECI...ila sisi wabongo hayo sio majina yetu...majina yetu ni ya akina Juma, Jacob, amosi...naam...

TAMTHILIA ZINAWAPONZA AKINA MAMA...KUFIKIA HATUA WANAWAPA WATOTO MAJINA YA AJABU YA WAIGIZAJI WA KWENYE HIZO TAMTHILIA ZAO...TENA HAYANA HADHI YA KIUME KWENYE JAMII ZETU...

NINAO MTAANI KWETU MTOTO WAKE AMWITA RAHMET(Huyo ni mtoto wa kiume huyo), YAANI MWANAMKE JINA LIKIWA ZURI TU MDOMONI ANAMPA MWANAE.

KAMA BABA USIPOJITAMBUA NA KUWA NA NGUVU NA MSIMAMO...NDIO HIVYO NA MALEZI YA MTOTO WA KIUME ATAYASIMAMIA MWANAMKE WAKO...UTATUTENGENEZEA MASHOGA MITAANI...

ETI MWANAUME ANAKUBALI KUITWA BABA JEY...Yaani baba Juniaa... Sasa huyo hapo juu wabongo hatunaga majina hayo...tutamuita BABA CESI...Baassiiiiiiii...
 
Back
Top Bottom