Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #101
Haya kamjibu mwanachamaTuna mkakati sio tu wa kutolipa mahari Bali kuoa bure na Baba mkwe akakupa mtaji!
Msiwe na shaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya kamjibu mwanachamaTuna mkakati sio tu wa kutolipa mahari Bali kuoa bure na Baba mkwe akakupa mtaji!
Msiwe na shaka
Mimi kama msemaji wa CHAMA hikiMh. Raisi wa majobless pro max Intelligent businessman napenda kusema me nikataka kuoa nitawakodi maana kuna muongozo niliupata toka kwa katibu wa majobless pro max min -me kuwa mnaweza kuongea na wakwe ili muoaji asitoa mahali au ikishindakana basi apate punguzo la mahali, hilo ni ombi langu
Basi anafanya kazi nzuri. 😂 Aendelee na moyo huo huo.huyo ni kaka yangu Zulu man, toka Mwaka Jana ana force nioe😂😂.
😂😂😂😂 Hiki chama kidumu maana kinanivunja mbavu.binti kiziwi njoo ucheke😂
Aaaiiiiiii 😂😂😂😂Mimi kama msemaji wa CHAMA hiki
Nikuhakikishie kuwa tupo mbioni kukamilisha utaratibu si tu wa kuoa bure au kupunguziwa mahari Bali kuoa bure na Baba mkwe kukupa mtaji.
Usi bishe, uwezo wa kushawishi ni jambo dogo kwetu😆😊.Aaaiiiiiii 😂😂😂😂
You people!
Ndo kwanza tume Anza😂🔥😂😂😂😂 Hiki chama kidumu maana kinanivunja mbavu.
ambia mchumba, iamBasi anafanya kazi nzuri. 😂 Aendelee na moyo huo huo.
KidumuRaisi wa chama Cha ma jobless pro max ni Intelligent businessman.
makamu wake ni Bolotoba.
katibu wa ma jobless ni min -me, mratibu wa mipango ni Edo kissy.
waziri wa mambo ya ndani ni Thecoder, na msemaji wa chama Cha ma jobless pro max ni makutupora.
Kidumu chama Cha ma jobless pro max.
naam kidumu chama Cha ma jobless pro maxKidumu
Majobless ndio mmewafanya Moderators wawe wanakesha kufanya kazi ya kuhakiki kile kinachoandikwa na Majobless kinakuwa contentnaona moderators Wana hasira na sisi, uzi wetu una zungushwa huku na huko 😁
mkuu niki wapa mashavu yangu, mimi si Nita Baki Kama tumbili😆🤔Wape mashavu wana
Dr habari nafurah kukuona hapa!Unataka kusemaje mkuu.
NB.
Kuishia la saba ? Ndio kufeli Maisha? Brain you're eyes dunia imebadilika Sana Sanaa.
tuna unga free wi-fi za majirani zetu, Kama shemeji yangu binti kiziwiJobless mnapata wapi hela za bando?
NaamNimefadhaika sana, ujobless unauma kweli