Ewe mzazi kama unaishi na mwanao au jamaa ambaye ni Jobless, basi zingatia haya

Ewe mzazi kama unaishi na mwanao au jamaa ambaye ni Jobless, basi zingatia haya

Mh. Raisi wa majobless pro max Intelligent businessman napenda kusema me nikataka kuoa nitawakodi maana kuna muongozo niliupata toka kwa katibu wa majobless pro max min -me kuwa mnaweza kuongea na wakwe ili muoaji asitoa mahali au ikishindakana basi apate punguzo la mahali, hilo ni ombi langu
Mimi kama msemaji wa CHAMA hiki

Nikuhakikishie kuwa tupo mbioni kukamilisha utaratibu si tu wa kuoa bure au kupunguziwa mahari Bali kuoa bure na Baba mkwe kukupa mtaji.
 
Basi anafanya kazi nzuri. 😂 Aendelee na moyo huo huo.
ambia mchumba, iam
Screenshot_20250204-004916_1.jpg
 
Back
Top Bottom