Ewe mzazi kama unaishi na mwanao au jamaa ambaye ni Jobless, basi zingatia haya

Ewe mzazi kama unaishi na mwanao au jamaa ambaye ni Jobless, basi zingatia haya

Mh. Raisi wa majobless pro max Intelligent businessman napenda kusema me nikataka kuoa nitawakodi maana kuna muongozo niliupata toka kwa katibu wa majobless pro max min -me kuwa mnaweza kuongea na wakwe ili muoaji asitoa mahali au ikishindakana basi apate punguzo la mahali, hilo ni ombi langu
Sure bro hilo lipo ndani ya uwezo wetu kabisa kaka
 
Mh. Raisi wa majobless pro max Intelligent businessman napenda kusema me nikataka kuoa nitawakodi maana kuna muongozo niliupata toka kwa katibu wa majobless pro max min -me kuwa mnaweza kuongea na wakwe ili muoaji asitoa mahali au ikishindakana basi apate punguzo la mahali, hilo ni ombi langu
Ondoa shaka kabisa, chama kita wapigania ma jobless.

Hiyo mbinu ya kupunguziwa au kuto kulipa mahari ni ya kawaida mno.
tuna weza wapa hela, halafu usiku Zika rudi kwetu 😂😆.
min -me, makutupora
 
Mh. Raisi wa majobless pro max Intelligent businessman napenda kusema me nikataka kuoa nitawakodi maana kuna muongozo niliupata toka kwa katibu wa majobless pro max min -me kuwa mnaweza kuongea na wakwe ili muoaji asitoa mahali au ikishindakana basi apate punguzo la mahali, hilo ni ombi langu
binti kiziwi njoo ucheke😂
 
Ondoa shaka kabisa, chama kita wapigania ma jobless.

Hiyo mbinu ya kupunguziwa au kuto kulipa mahari ni ya kawaida mno.
tuna weza wapa hela, halafu usiku Zika rudi kwetu 😂😆.
min -me, makutupora
Tuna mkakati sio tu wa kutolipa mahari Bali kuoa bure na Baba mkwe akakupa mtaji!

Msiwe na shaka
 
Back
Top Bottom