Mama aigize movie mpya kisha awatafute kina Mwijaku waende Zanzibar kutangaza utalii na kushawishi raia watembelee Serengeti.
Kisha baada ya hapo atembee nchi nyingine walau Ujerumani uko akalale wiki nzima kama alivyolala siku ngapi sijui uko Marekani na wageni wake.
Kisha serikali itunge kamati ya kutunga staili ya kutembea ya Watanzania, kama ambavyo kuna kamati ya kubuni vazi la taifa.
Kazi zipo nyingi tuachane na mambo ya mafuta maana "vitu vitazidi kupanda". Niliwahi dhani tutakuja kugundua Dr. Bashiru Kakurwa ni mjinga, ila sio mjinga sana kama tulivyofikiria