Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Andaa 3m ya kubadilisha Engine!Ahahha mim nkiweka ka ist kangu gesi ya elfu 50 full natumia wiki 2 na nusu ndio naenda tena ubungo kujaza... wese nishasahau labda niwe na safar ya mkoa ndio najaza
Make hapo kwanza nchekeeeMpk IST unaweka gas,hali yako inatisha sana[emoji3][emoji3]
Petrol ni Tshs 3410 kwa lita 1
Dizeli ni Tsh 3322 kwa lita 1
Mafuta ya Taa ni Tsh 3765 kwa lita 1
VIWANGO HIVI NI KWA MUJIBU WA EWURA .
Bei hizi mpya zitaanza rasmi tarehe 3/08/2022 .
Mungu ibariki Tanzania .
Madelu included?
Wakulaumiwa ni PutinHali inazidi kuwa tete...maisha yanapanda kila uchao!!
Kama wabongo wana uwezo wa kulipia buku buku kwa mange kimambi na kushinda kutwa kwenye internet kufwatilia issue za akina Nandi, Kajala Diamond na mambo mengine ya hovyo wacha yapande tu haya sio sehemu ya matatizo ya watanzania.Petrol ni Tshs 3410 kwa lita 1
Dizeli ni Tsh 3322 kwa lita 1...
Billion 100 imeshalambwa tayari??Petrol ni Tshs 3410 kwa lita 1
Dizeli ni Tsh 3322 kwa lita 1
Mafuta ya Taa ni Tsh 3765 kwa lita 1
VIWANGO HIVI NI KWA MUJIBU WA EWURA .
Bei hizi mpya zitaanza rasmi tarehe 3/08/2022 .
Mungu ibariki Tanzania .
[emoji38][emoji38][emoji38]Kama wabongo wana uwezo wa kulipia buku buku kwa mange kimambi na kushinda kutwa kwenye internet kufwatilia issue za akina Nandi, Kajala Diamond na mambo mengine ya hovyo wacha yapande tu haya sio sehemu ya matatizo ya watanzania...
Bwana , bwana , bwana weeee !!!Billion 100 imeshalambwa tayari??