Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mapacha hadi uombe pooh!😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watoto kumi na nne wote nawazaa au wengine 'tunaadapti'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapacha hadi uombe pooh!😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watoto kumi na nne wote nawazaa au wengine 'tunaadapti'
Navyopenda mapacha [emoji7][emoji7]Mapacha hadi uombe pooh![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ndipo!Naomba kadi ya chama.Navyopenda mapacha [emoji7][emoji7]
Njoo Lumumba mara kutakapokuchaHapo ndipo!Naomba kadi ya chama.
Dah!Kweli wanawake wana nguvu!Mimi na ubishi wangu nasubiri jua lichomoze.Njoo Lumumba mara kutakapokucha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] alishindwa Samson na minguvu yake we naniDah!Kweli wanawake wana nguvu!Mimi na ubishi wangu nasubiri jua lichomoze.
Dah!Mungu ni mwema sana.Hata Sauli alilitambua hilo baadaye.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] alishindwa Samson na minguvu yake we nani
Huwa wanaombaomba kwa Waarabu wenye vituo vya mafuta.Aibu sana.😂😂😂😂Makada wa chama wanauziwa kwa nusu bei. Unaonesha kadi yako tu pale petrostation unapewa fulltank
Ni lazima jirani yako akilia nawe ulie?Kwani Hali ya upandaji bei ya mafuta duniani/nchi nyingine za jirani ikoje? Embu tuwe tuna argue kwa facts na data.
Dah....binafsi nimejifungia ndani...wiki ya pili Sasa....natafuta namna ya kuishi bila mafuta 😂😂😂😂Hakika kwenye misafara wa Mamba wakizidi Kenge unakuwa sio misafara wa Mamba tena bali misafara wa kenge
Hata mafuta yataadhirisha watu
Sasa,si utaishiwa mafuta?Dah....binafsi nimejifungia ndani...wiki ya pili Sasa....natafuta namna ya kuishi bila mafuta 😂😂😂😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maisha ni ghali kule marekani kuliko hapa kwetu [emoji23][emoji23][emoji23]
Zanzibar wananunua wapi?Hayo ni mafuta ghafi mkuu.
Ni siasa za bara mbona Zanzibar yapo chini?Kupanda kwa bei ya Mafuta sio jambo la Ajabu, tunalalamika sana bila kufanya tafiti katika Nchi nyingie wakwemo majirani zetu na hata kule Ulaya na Marekani...
Pia USA mishahara ni mikubwa kuliko TZ.Mtambo wa gas ulifunga wapi ? Kiasi gani?
Ulaya na Marekani bei imeshuka kwa week 3 mfululizo.Kupanda kwa bei ya Mafuta sio jambo la Ajabu, tunalalamika sana bila kufanya tafiti katika Nchi nyingie wakwemo majirani zetu na hata kule Ulaya na Marekani...
Wanaojipangia bei wanazotaka wao, ukilalamika hawachelewi kukuambia hama nchiSerikali ya wafanya BIASHARA